Good news kwetu hongera Tanzania na hongera viongozi wetu kwa kuipambania nchi yetu kwa kuipaisha kiuchumi
@clementmsenga2485
13 күн бұрын
watamsema sana Mzee Magufuli, lakini alipambana sana kulinyanyua taifa kutoka katika umasikini.
@salimmadafa4840
20 күн бұрын
Am not surprised Russia being Higher income but am surprised China being Upper Middle income....
@achimoali5839
18 күн бұрын
Sns, umishindwa kutaja Mozambique ata Kuwa jirani
@jkifutu7936
24 күн бұрын
Nawakubali sana wadogo zangu
@AliBakar-sx7lu
24 күн бұрын
Safi sana
@vocalizertz6868
19 күн бұрын
India lazima iwe kama Tanzania kwa sababu ya population kubwa ,
@swalehemusa4546
16 күн бұрын
Sio benk ya dunia hii ni benk ya majambaz duniani
@TuairMbalaua-il5sd
17 күн бұрын
Kaká mbona mozambique Au taj😂😂
@nkeshimanayuda1115
24 күн бұрын
Russia pamoja na vikwazo lakini bado iko juu kwa kipato. Safi sana
@GeorgeAkasha-zx2rj
24 күн бұрын
Sasa hivi Russia wanakitu inaitwa capital control na oligarches ndo wanaumia zaidi.
@RaymondPaul-bs7su
20 күн бұрын
@@GeorgeAkasha-zx2rj Hiyo ndio kitu gani capital control na oligarches??
@MathewNathan-yb2bz
19 күн бұрын
Unaishangaa urusi kuwa higher income ,je Ukraine nayo si umeona nayo imeorodhesha kwenye nchi za higher income.
@GeorgeAkasha-zx2rj
19 күн бұрын
@@RaymondPaul-bs7su Capital control maana yake ni kwamba kama ww ni mrusi na umewekeza ndani ya urusi na faida inayopatikana ndani ya urusi huwezi kuitoa nje zaidi ya $ elfu kumi kwa mwaka, maana yake ni kwamba pesa nyingi zitabakia nchini.Pia oligarches ni wale matajiri waliofaidika na kuanguka kwa USSR(1989-1992) yaani kipindi Cha ubinafsishaji wa rasilimali umma kuwa z watu binafsi, hao matajiri walinunua kwa Bei ya kutupwa(Ndogo) kuliko thamani yake halisi na baadae ndo matajiri wakubwa wa sasa hivi nchini urusi na duniani pia.Hao oligarches ndo wanaumia sababu wao ndo wawekezaji wakubwa nchini urusi na pesa zao zaidi ya $ elfu kumi hazitoki nje ya urusi.
@GeorgeAkasha-zx2rj
19 күн бұрын
@@MathewNathan-yb2bz Capital control and high interest rates for Russian oligarches.
@jacksonjudicate9388
23 күн бұрын
Brother @Sky let's call a spade a spade, THE LATE HON.JPM MADE AN ECONOMIC CHANGE IN TZ, tukapanda kuwa uchumi wa Kati wa chini.... Bila Sisi km taifa kujifungia ndani Na kupambana kuwezesha wafanya BIASHARA wa ndani we WONT MAKE IT.
@eliasaNgahehwa-l2f
24 күн бұрын
Russia hawawazi hayo bro wapo na league yao bro
@ajsmainde5138
23 күн бұрын
wamejifungia kisha wakaja na takwimu zao, tuache kupokea huu upuuzi km waafrica.
@user-ei8mz8ck9q
24 күн бұрын
Thank u so much for the updates! Je unaweza ukaandaa kipindi cha malezo zaidi namna gani wamegawanya mapato ya nchi husika mpaka kuziweka ncho zote duniani katika makundi hayo manne. Poa inakuwaje China sio high income ikiwa ndo nchi yenye viwanda vingi na uchumi unaokuwa kwa kasi?
@rumdeesonsoa1811
24 күн бұрын
Mbona ni rahisi tu? China pamoja na kuwa ni nchi ya pili yenye pato kubwa zaidi duniani, lakin hilo pato lao ukiligawanya kwa idadi ya watu wake, jibu linakuja kuwa kila mwananchi wa China amechangia kiasi kidogo cha pato la taifa kuliko mwananchi mmoja mmoja wa Urusi, Marekani, au Canada. Mfano mwingne ni huu hapa 👇 Kundi letu tupo 100, tukichanga elfu 5 elfu 5 inakuja laki 5. Kundi lenu mko 10, mkichanga elfu kumi kumi inakuja laki moja. Tukiangalia mtu mmoja mmoja kundi lenu litaonekana watu wake wana kipato kikubwa zaidi kuliko kundi letu kwa sababu ninyi mko kumi ila mna uwezo wa kuchanga elfu 10 elfu 10. Sisi tutaonekana kwa sababu tuna uwezo wa kuchanga elfu 5 elfu 5 tu. Japo ukiangalia kundi kama kundi la litakuwa limechanga hela nyingi zaidi ambayo ni laki 5 ila sisi kundi letu tumechanga laki moja tu. Ila tukihesabu mtu mmoja mmoja kundi lenu limechanga hela nyingi zaidi ambayo ni elfu 10 elfu 10 ila sisi ni elfu 5 elfu 5 tu
@JamaliUssene-di1qm
24 күн бұрын
Kk mm naskiliza kutoka moçambique 🇲🇿 mbona ss aujatu taja apo tujuwe tupo kwenye maps gani
@user-dg7wf6fg2j
23 күн бұрын
Subili ya mwakani
@mlelwatv5831
24 күн бұрын
China watu ni wengi sana so ukichukua kipato Cha nchi ukigawanya kwa idadi ya watu unapata per capital income ndogo Ila Pato lake ni kubwa sana
@salimmadafa4840
20 күн бұрын
May be this explained...thank u @mlelwatv5831
@VexMaizoOfficial
24 күн бұрын
🧭🤳 Skay Mozambiki 🇲🇿 haipo au kwenye ramani?? Maana haijatajwa.
@djafro8729
24 күн бұрын
Dj sma wachana na kenya.
@hopechidera
24 күн бұрын
Wenae wachana na dj Sma,huyu sie....
@thamani5842
18 күн бұрын
@@hopechideraUyo Dj sma mwenyewe ata hamjui, kwa lipi nalo ata iachwe
@abel_esam
23 күн бұрын
Kinachoangaliwa ni Per capita income ambayo ni ratio ya pato la taifa (GDP) kwa idadi ya watu CHINA ina watu takribani billion 1.4 Pato lake la taifa ni zaidi ya USD trillion 17. Europen union yote pato lake ni kama USD 16 tillion. Hii ni kama nchi 27 hivi za ulaya na idadi ya watu wao haifiki million 500. Idadi yao ni kama moja ya tatu tu ya idadi ya wachina. Hii ndio sababu ila kiujumla uchumi wa china ni mkubwa kuliko uchumi wa nchi zote za ulaya
@officiallugano8991
21 күн бұрын
Umechambua vizuri sana
@user-fl1xz3ln3c
24 күн бұрын
Vyote havina maana kikubwa uzima
@MathewNathan-yb2bz
19 күн бұрын
Ina maana hata Ukraine pia nayo iko higher income pamoja na vita vya miaka 2
@stevenlugojeremia2323
18 күн бұрын
Hizi twakimu ni za wazungu wenyewe wao ndio wanachagua nani apande nani ashuke na ndio Maana Ukraine 🇺🇦 ipo juu kuliko nchi nyengine
@jumamohamedkidiaunga9224
24 күн бұрын
Data zao nyingi nizakuangalia sura....kuna bias kubwaa hapo
@tomleetz3525
20 күн бұрын
Angalia vizuri iko low income
@josephkostans9128
23 күн бұрын
Takwimu zao hazijawahi kuwa za kweli wanatufanya wajinga akili zetu ziwaze feza TU na sio kuwaza utajili tulionao tofauti na fedha na sasa mrusi kaamuwa kuwaonyesha ukweli anatumia raslimali zake na uchumi unasonga higher level na sisi Africa tujifunze kwa mrusi tuwaze kutumia raslimali zetu na sio kuwaza mikopo TU na mikopo ni utumwa. Ukopae ni mtumwa wa akopeshae vitabu vitakatifu havidanganyi
@josephwilliam5813
20 күн бұрын
Russia today wamechapisha habari iyo na wameweka chanzo Cha HABARI iyo YAANI world bank,,,wewe unapinga world bank HALAFU unasifia uchumi WA URUSI ambao umechapishwa KWENYE world bank AMBAYO URUSI wameikubali
@Chettymlambalipsi-lb9km
24 күн бұрын
Upuuzi mtupu
@mohammedkombo9798
20 күн бұрын
IMF ndo waliipoteza Tanzania 🇹🇿 shilling baada ya nchi Mapepari kutengeneza War 1978/79 … Tanzania tuamake? My …. ??
@nelsontemba-zc4zt
19 күн бұрын
Vita IP mdau
@hitngwasutv971
24 күн бұрын
Acha kutwambia upuzi wa BBC Bado nawew naukubwa ulionawo Bado unakubali upuzi cnn
@rumdeesonsoa1811
24 күн бұрын
Tuletee za kwako ambazo ni za kuaminika.
@djafro8729
24 күн бұрын
Dj sma kwani wewe ni muuaji kama ruto
@hopechidera
24 күн бұрын
Kwan dj Sma umemsikia wapi ndani ya iyi video???
@PAULNYANDILE
24 күн бұрын
achana nalo chizi Hilo linamuwaza Dj smah@@hopechidera
Пікірлер: 47