Barikiwa sana mtumishi wa Mungu. Mungu akupe ulinzi. Malaika zake wakuzingile na panga za moto, mbele , nyuma, kulia na kushoto. Amen.
@charlesrweyemamu8352
3 ай бұрын
Asante sana bwana Cassian K kwa kuwa ujasiri; umetuwakilisha kusema kweli tena kweli tupu, barikiwa!
@goldermeirshoo1228
3 ай бұрын
Mkuu wa Mkoa safi saaana, Mtumishi Cassian uwaache Mungu awashughulikie wenyewe, kwani aliyowaumba anajua, Chalamila kwa upeo wake kashuhudiwa kuwa Kwa Mwamposa yupo Mungu, siyo kwa upeo wako, nimeona tatizo ulilonalo ni Huna Elimu na wengine woote wanaosema wenzao ni ukosefu wa ELIMU
@geeoutfitdesgner
3 ай бұрын
kweli kabisa,halafu nilichogungua huyu kadian anawivu anataman yeye ndo angekuwa BBM,,duh kwel watumishi wa mungu wanavita
Atuonyeshe Mungu wake na sio maneno tu. Hata Yesu alikuja na Neno lake na kulidhobitisha pia kwa matendo
@clarisbanza6066
3 ай бұрын
Nyinyi wote mnaopinga ukweli huu na kuteteya uyo agent wa shetani mwamposa nyinyi wote ni wajinga na vipofu wa kiroho
@FestoYohana-ll4wk
3 ай бұрын
ww ndio kipofu mbona yy kaz yake haionekani kaz mdomomdomo hata mgonjwa wamafua hajawahi kumuombea akapona
@ZachaliaJoseph-rp7nt
3 ай бұрын
Mungu akulinde mtumishi Cassian najua vita ipo juu yako lakini Mungu kasema vita ni vya BWANA piga nyundo
@samwelndaki201
2 ай бұрын
Mungu anahitaji mtu kama wewe mch Cassiani ubarikiwe sana
@agnesspaul1866
3 ай бұрын
❤❤Amina mtumishi wa Mungu Mungu awe nawe daima ponya nafusi za watu zinazopotea
@agnesspaul1866
3 ай бұрын
Hutabaki pekee yako tupo nyuma yako tunao jua Neno la Mungu Ubarikiwe sana Muny akulinde
@FrankBororo-dk1fv
3 ай бұрын
Hata waumini wenu sasa wanachoka na mahubiri yenu ya watu badala ya kuwasaidia matatizo yao. Wanakuja makanisa kumtafuta Mungu aliyewaahidi ahadi nyingi katika neno lake. Mungu ameahidi kuwaponya magonjwa yao,kuwainua na kuwatanirisha,kuwafungua kufungwa kwao,na wanataka waone hizo ahadi za Mungu zikifanyika kweli kwenye maisha yao. Sasa ikatokea hawajazipata chini yako,na wakaenda kwa huyo mnaemuita ana nguvu za shetani,na wakapokea hizo ahadi za Mungu,sahau kuwaona tena kwako. Mnamuinua sana shetani mpaka inashangaza! Mtu kapona uvimbe wewe unasema ni shetani! Mtu kapona kifafa wewe unasema ni shetani,mtu alikua fukara sasa kainuka wewe unasema ni shetani,watu wanafunguliwa mapemo na vifungo mbalimbali wewe unasema ni nguvu za shetani!
@christopherkaroli9365
3 ай бұрын
@@FrankBororo-dk1fv umeandika mambo mengi sana lkn itoshe kukuambia hivi kuwa hata shetani ana miuujiza yake, na palipo na Mungu wa kweli panajulikana tu, Mungu wetu anatafuta utakatifu sana na mengine yote tutazidishiwa je kwa nini mtu ahubiri injili ya mafanikio tu bila injili ya utakatifu? au kukemea dhambi pia nikuambie kuwa Mungu anajitegemea hatumii vitu mfano mafuta, maji mara udongo kumponya mtu, tumeambiwa kwa jina la Yesu tutatoa pepo na kuponya wagonjwa.
@PeterGabriel-vm5yy
3 ай бұрын
Ukiponywa magonjwa ukabaki kua mzinzi inakusaidia niji? Ukinunua mafuta na kwenda kunyunyiza baa na ukajaza wateja ukapata pesa inakusaidia nini? Ukipata pesa lakini ukawa hujui kumuheshimu Mungu kwa pesa zako inakusaidia nini? Miujiza yooote ikiwa jina lako halijaandikwa katika kitabu cha uzima ni bure. Na Mungu hutenda kwa wakati wake na hata asipotenda bado anabaki kua Mungu.
@joycelucas405
3 ай бұрын
Tatizo hajielewi na sio vizur kumsema mtumishi mwenzako vibaya.
@FestoYohana-ll4wk
3 ай бұрын
kama mnafikiri kasian yupo sawa mtajikuta mnaenda moron msihukumu maine mkahukumiwa mungu mwenyewe ndio anajua wakwake
@unileverldsengineering9541
3 ай бұрын
Dikika 53:32
@jovettedenise2591
3 ай бұрын
Mungu wambingu akulinde sana manaa maaduwi wataluwa wengi kwa sababu injili yako niya ukweli lakini watu sikuhizi hawapendi ukweli Mungu akuyinuwe❤❤❤❤
@ByamunguErnest
2 ай бұрын
Una nifuraishaka sana.unaongea vizuri🇨🇩🇨🇩🇨🇩🙏🙏🙏
@HeppyRafaeli
2 ай бұрын
Sawa Mtumishi wa Mungu. Ndio maana makanisani kunakuwa na michangoo Baba, nikwasabbu ya kununua vyombo vya kanisani na huduma kwa ujumla ya Mungu. Waombee watumishi unaowaona labd wanakosa . MaananMungu atawarejeshea yalio mema zidi. Lakini usigandamize kuwatuhimu kuwafanyia ukali ili wafukuzwe wafungiwe huduma za Kimungu. Sio vzr Baba. Watu wanapata Neema ya ukombozi huko. Kanisa la Nabii Dominiki arudiahiww huduma yake aendelee kumwinua Kristo. Vita Mungu hapendii vita na chukiii ila Mungu niwa Amani na Upatanisho
@christopherkaroli9365
3 ай бұрын
Mungu azidi kukuinua mtumishi wa Mungu, endelea kuwafua maajenti ya mashetani yote.
@bithiasizimwe660
3 ай бұрын
Damu ya Yesu ikufunike
@FrancisHaonga-mp8oy
3 ай бұрын
Wenye maskio na wasikie neno ilo mwenye macho watazame bwana yu karibu Mungu azidi kukupa maisha marefu mpaka kusudi lake litimie kwako
@AbelMsokwa
2 ай бұрын
Barikiwa Sana bb, Bwana akae nawe
@amanimushagalusa8752
3 ай бұрын
Naitwa Amani z naishi kwa inchi ya Africa ya kusini nakufatiliya kiumakini Sana Kazi zako naipenda sana Mungu anaendeya kutulinda nakukutiya nguvu
@SteveMulenga-i1c
3 ай бұрын
Mtumishi wa mungu paza sauti kukemea uovu Ili watoto wa mungu wasipotee Asante sana mtumishi wa mungu ubalikiwa na bwana.
@EstherjesseySenyagwa
3 ай бұрын
Ww baba uko sahihi toka nipo mdogo sijawahi kukanyaga madhabau za watumishi feki coz najua everything kuhusu shetani ni nani na watumishi wengi wanajificha ushetani wao usionekane ila sisi wenyewe macho ya rohon tunaona vingi
@NkorerimanaAugustin-vg8so
2 ай бұрын
Pascal mungu akuliiiind nakupend sana
@Filemonclemens
2 ай бұрын
Babapiga kazi yamungu usiludishwenyuma na wanaokupinga kwamaana atanuu aliwaubilia watu juu yakuacha zambi waliishia kumuona muoNgo lakini mwisho walipotelea kwenye galika
@SifaMwakisambwe-kn3yl
3 ай бұрын
Mwamposa ni mtumishi wa Mungu. Anamuhubiri Yesu hadharani kwa hekima kubwa Sanaa. Usiwe kama Baalamu na Baalack. Mungu alitumia punda kuubariki mji. Mkuu Mungu kamtumia kama punda kudhihirisha hakika huyu ni mtumishi wa Mungu. Usihukumu mbingu huna. Unapenda watumishi wa Mungu tuwe wanyongeee. Hubiri neno tukusikilize hii haijakaa sawa. Unampinga kristo.
@DicksonBuramba
3 ай бұрын
Huyu Cassian Huwa anasoma Neno ila hatafakari Neno hiyo ndio shida yake na Wala sio Mtumishi mbaya ila anahitaji Elimu tu ya Neno la MUNGU, roho wa BWANA ampatie HEKIMA yake, Ili kuyafikia mataifa ila sio katika njia hii Maana hataweza kuleta faida katika ufalme wa MUNGU, zaidi ni kupotosha...(Wanajuhudi katika MUNGU lakini si katika maarifa.
@osmondulotu2701
3 ай бұрын
Hakuna Mungu hapo kwa Mwamposa hakika, Tumaini la wanaadamu nimeangukia kwenye kutegemea mafuta ya Mwamposa , na kuacha kumtumaini Mungu, !!! Imefikia maali watu wanatembea na mafuta kwenye mikoba yao , Sikia wewe Mtu wa Mungu hakika huo Ni Ushirikina,!!!! Aina tofauti na mtu anayetembea na irizi,, !! Maana Tumaini lake huyo mtu lipo kwenye irizi aliyobeba,!!! Asikiaye Ujumbe huu na kuacha hizo aImani mbaya potofu, Ataokoka, Asema Bwana wa Majeshi,
@Namaize-lc8sh
3 ай бұрын
Hakika
@DaimonMwapelele
3 ай бұрын
Amin cassian ni mtumish wa mungu Tena akiwa na ujumbe wa bwana Kama unawaamin akina mwaposa jua umetekwa ma umepotea akinawamposa ndio manabii wa uongo waliotabiliwa
@barakaelias1116
3 ай бұрын
Mungu akusaidie ndio Maan anakuuzia mafuta
@JacklineMroso-gy6ej
3 ай бұрын
Paza sauti mtumishi wa Mungu hata wakati wa nuhu wapo waliomdharau lakini gharika ilivyokuja waliita sana Nuhu tufungulie lakini hawakupata msaada.Wenye kuokolewa kwa hudumu yako wataokolewa wengi usikate tamaa fanya hudumu uliyoitiwa na Mungu.
@ed2simon
3 ай бұрын
EV CASSIAN-- UMENENA VYEMA MUNGU AKUBARIKI SANA ZIDI KUFICHUA YALE YANAYOFANYA ILI KOMBOA NDUGU ZETU WANAO ANGAMIA HUKO
@NkorerimanaAugustin-vg8so
2 ай бұрын
Amen
@Filemonclemens
2 ай бұрын
Mungu akulinde baba
@geeoutfitdesgner
3 ай бұрын
anawivu huyuuuuuuuuu kaaah pole sana na kanisan kwako hatuji hutuacheee😂😂,mbona huwasemi dini zngine unasema wakristo wenzio acha wivu baba😂
@gilbertbidimbuka9104
3 ай бұрын
Hakuna Mkristo aliyesemaa hapo ila kawasema waganga wakienyeji na waovu wale wa mfuatao
@geeoutfitdesgner
3 ай бұрын
kwa kuna waganga wanaotaja jina la yesu????,au wakristo ndo huwa wanajata jina la yesu mkuu tafakar na uelewe bac
@AbelshedrackNnko
3 ай бұрын
Nyie msio elewa ndo mnapotea sasa na vile hamtaki kulielewa neno la MUNGU linasema nini mnajiona mko sawa kabisa
@KennedyNgusa
3 ай бұрын
Nakukubali sana mahubili Safi yasio goshiwa mtu imala tukopamoja
@CadiaOnesmo
3 ай бұрын
Ana mizaha sana huyu mkuu wa Mkoa hata kwenye mambo ya Mungu ajiiangalie sana ni bora afanyie kwingine lakini kwa Mungu amuulize Belteshaza
@jubilethfestourio450
3 ай бұрын
Sema kweli watu waponeDamu yayesu ikulindi mtmsh wa Mungu aliehai
@epifaniamilinga2848
3 ай бұрын
Mungu anasema.ombeni lolote.mtapata.Basi mwuombeeni Mwaposa.kuliko kukashifu.hapo hamna jibu.
@irenemuia2718
3 ай бұрын
DAMU ya YESU ikufunike daima 🙏🙏🙏
@barakaelias1116
3 ай бұрын
Amina niko na wew mtumishi niko zanzibar nakufatilia
@SifaMwakisambwe-kn3yl
3 ай бұрын
Usihukumu usije ukahukumiwa. Tukifika mbinguni utashangaa taji zao zinang'aaa. Mungu akusaidie mtu wa Mungu.
@NkorerimanaAugustin-vg8so
2 ай бұрын
Pascal Cassian ❤❤mungu akulind
@EnaraMfwango
3 ай бұрын
Nakupend xàn kak but tuhubilie nen la mungu usituhubilie abar za mwamposa tumechok ndug tuhubilie abàri za mungu na namn gan tutaingia mbinguni kil xik mwampox mpak tumechok mpak tut kuj tukuon unamuhubur mwampox
@Leeeeeeee-96
3 ай бұрын
kaka tuonyeshe mungu alie ndani yako na kazi zake zizihirike akuna aja ya kupambana na mwamposa wala manabiii wengine sioni kiutumishi kama inaleta afya
@GeofreyKalo-ot3we
3 ай бұрын
Huyu Jamaa ni mnafiki na wivu
@DamianUlaya
3 ай бұрын
Afya gan unaitaka wacha waseme ukwel
@misscesty5817
3 ай бұрын
@@GeofreyKalo-ot3wewanadamu hampendi ukweli ndio maana neno la mungu hamjisomei wenyewe
@WilsonEmmanuel-bs6op
3 ай бұрын
@@misscesty5817Amin umeongea ukwel dada
@Leeeeeeee-96
3 ай бұрын
@@DamianUlaya aendelee kuongea mdomo mali yake lkn kiutumishi kila mtu anatakiwa kuwa na hekima 😂😂😂😂😂
@jesusfirstchurch4162
3 ай бұрын
Kweli watu wengine ni mifano ya watu duniani..nafsi ziko kuzimu.. Mungu mtie nguvu na ULINZI mtumishi wako Cassiani . Siku za mwisho tunagundua mengi..maboxi yanaongoza watu duniani mpaka wapagani wanashangaa..Wana WA MUNGU tusonge mbele .tuzalishe Wana WA MUNGU Kona zote ..Agizo kuu linatusubiri Mathayo 28:19-21
@feddymwanga5462
3 ай бұрын
Kaka Acha Mungu awaumbue
@NaftalyNgeze
3 ай бұрын
mtumishi jukumu lako limekushinda mwisho wako 👉
@JanethMkala
3 ай бұрын
Mungu akulinde Kaaian
@WiltodiMgombela-cn2ec
3 ай бұрын
Amina kubwa mtumishi wengine wanaingia mikataba na shetani kupofosha watu Kwa maneno
@martinahlighare6495
3 ай бұрын
Kujaza watu na kutenda miujiza sio hoja, hoja ni kuhubiri neno la Mungu kikamilifu kwa moyo wako wote. Naam, baki mwenyewe kuihubiri haki ya Mungu kwa wahitaji wanaona kweli yako, nao waokoke na kufanyika wana wa Mungu. Mungu akutunze na akuepushe na adui.
@AGM19697
3 ай бұрын
10:18 Fika ukajionee mwenyewe usihadithiwe mitaani na vijiweni. Kila siku watu wanafungiliwa na kumpokea Yesu bila shida. Baada ya kujua kumbe Mungu ni halisia na sio maneno matupu
@AGM19697
3 ай бұрын
@@martinahlighare6495 Ndugu achana na story za vijiweni chukua hatua msikilize Mtumishi Mwamposa hata kwa utube ndio uncomment. Huwa anahubiri neno kwa ufasaha, anafungua watu vifungo vyao kwa njia rahisi kabisa, mwisho anaongoza watu sara ya toba kwa yeyote atakaye kumpokea Yesu. Mm nimwokoka na natokea mojawapo ya madhehebu makubwa ya kilokole, nimemsikiliza mara nyingi sana na sijaona wapi pa kumpigia mawe. Acha ushabiki chukua hatua binafsi kufatilia
Endelea Ku pasa sauti Zaidi na Zaidi. Tunakuombea Mungu Aendelee kukusimamia
@PROPHETLWITIKO-rr4gc
3 ай бұрын
BROTHER Pasco kasiani acha kuchafua MTUMISHI WA MUNGU BONIFACE MWAMPOSA mimi namjua BONIFACE MWAMPOSA akiwa anatumiwa na MUNGU zaidi ya miaka 20 iliyo pita MBEYA miaka iliyopita nimemuona MUNGU Akimtumia BONIFACE MWAMPOSA brother wewe ndiye unsye halibu kazi ya MUNGU uengeenderea kiimba tuu
@CatherineDaniel-t5b
3 ай бұрын
@@PROPHETLWITIKO-rr4gc KUMJUA MTU SIYO TATIZO MPENDWA MOYO WA MWANADAMU NI KICHAKA
@valenakomba9218
3 ай бұрын
KWELIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII. MORE GRACE KWAKO MCHUNGAJI.
@dorahisinika7576
3 ай бұрын
Mathew 14:13b-16..[.I LOVE JESUS SO MUCH ] ❤
@SeluyaPhilimon
3 ай бұрын
Kwanini hatutaki kusoma neno la Mungu . Binadamu tusimame kwa neno la Mungu mbona linatufundisha vizuri.
@goldermeirshoo1228
3 ай бұрын
Wanaokwenda huko wanalijua neno , ina maana Mungu anaongea na wewe tu duniani, watumishi woote hawaendi anavyopenda Mungu, jichunguzeee vizuri mtumishi, ina maana dunia hii ni wewe tu unaejua neno la Mungu
@BeatriceRobi-j5q
3 ай бұрын
soma BIBLIA utaona kwaba anasema ukweli
@clarisbanza6066
3 ай бұрын
@goldermeirhoo1228 wewe ni ibilisi isiye jitambuwa kuwa makini ujuwe kwamba hapa ni mazabauni pia MUNGU atakupiga vibaya kama utoacha kizarau neno la kweli
@julianajeremiah4353
3 ай бұрын
Nawe unapenda kukosoa sana Sasa we ndio umetumwa na Mungu kila kitu unakosoa umewaita wewe? Na ukifika Mungu hayuko hivyo we inuka hubiria injili watu waokoke unadhani ukisema ivyo ndio utazuia? Na Bado unataka michango ya watu ukianza kuhubiri injili tutachanga lkn kukandia watu hapana
@agnesspaul1866
3 ай бұрын
Ukweli ndo huo na haupingiki Muñgu alishakazaza vileo casssia mtumishi ubarikiwe
@goldermeirshoo1228
3 ай бұрын
@@clarisbanza6066 Mungu Ahache kukupiga wewe unae simama na madhabahu za wenzako, ACHA KUSIMAMA NA MADHABAHU ZA WATUMISHI WENGINE, HUBIRI NENO, ACHA KUHUBIRI MADHABAHU ZINGINE HATA KAMA HAWAENDI MBINGUNI SI UWAACHE
@PiusMaira
3 ай бұрын
SoMa maandiko mtumishi , Mwamposa anafuata maandiko , acha kashifa unatenda dhambi na usipo badilika utakinyea kikombe. Na tutajuaje umetumwa na Mungu make inaonesha hufahamu neno .
@Berenaldo77
3 ай бұрын
No
@Leeeeeeee-96
3 ай бұрын
una akili sana kuna manabiii wanaomsema kana kwamba anatumia biblia ya kuzimu kila mtu na wito wake naona angezingatia kuhubiri zaidi wati wafunguliwe
@JanetMwaijumba
3 ай бұрын
Hata waumini wko walienda Kwa mtumishi WA mungu mwamposa mpakwa mafuta
@bernardmushi4869
3 ай бұрын
Kukusanya watu wengi hata MICHAEL JACKSON alikusanya watu wengi sana lakini usingeweza kusema MICHAEL JACKSON ni MTUMISHI WA MUNGU.PASCHAL CASSIAN AMETUMWA NA MUNGU,WENYE JICHO LA ROHO MTAKATIFU TUNAONA.WENGI WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA.
@christianmwasakogo5579
3 ай бұрын
You're right
@laurentraphael5470
3 ай бұрын
Hawa manabii wa uongo waabudu mashetani watakokota wengi kuzimu. Wateule tuwe macho, Yesu yu karibu malangoni.
@DicksonBuramba
2 ай бұрын
Acha kujihesabia haki
@SamweliMango
3 ай бұрын
Cassian una ujinga sanaaa jaribu kuishi maisha yako unadhan nawe umekamilika? Jianglie nafs yako
@JosephineWiliam
3 ай бұрын
Wee ni mtumishi wa Mungu kweli au inakuwaje acha ujinga fanya yako Uwe ni Mkesha wa kishetani au wa Mungu haikuhusu 😮😮😮😮😮
@DicksonBuramba
3 ай бұрын
Wewe una roho ya mpinga kristo ndani yako, nahisi roho wa MUNGU alisha kuacha umebakiza maneno yasiyo na nguvu.
@TimilaiGuga
3 ай бұрын
Sio kweli nafikir ww biblia husomi
@WilsonEmmanuel-bs6op
3 ай бұрын
Achaseme ukwel watu waende mbingun wew
@JJTSUPERCLEANER
3 ай бұрын
Acha kumsema mtumishi wa Mungu vibaya je unataka na wewe uhalalishe kuwa pombe ni soda😊?
@GeofreyKalo-ot3we
3 ай бұрын
@@DicksonBuramba ndugu yangu Mimi nilishaona Muda mrefu sana kuwa huyu mtu ni mpinga Kristo anaejificha kwenye uinjilist
@deniskilumile612
3 ай бұрын
No .paschal yuko sahihi..na ukiona kitu kinaongelewa jua kipo au kipo njiani..au know that kuna something wrong
@andreachanai6658
3 ай бұрын
watumishi wa Mungu mnatuchanganya sana badala la ya kuhubiri neno mnatumia muda mwingi kusemana nyie watumishi we hubiri neno watakakufuata watakufuata lakn sio kutupiana madongo kwa kuwataja watu majina hapo unakosea mtumishi
@geeoutfitdesgner
3 ай бұрын
kweli
@chrisophermazanza6499
3 ай бұрын
Kasome biblia yohana mbatizaji alikuwa akifanya Nini juu yaungoz
@DeusdeditMichael
2 ай бұрын
Soma Neno la Mungu, usijiegemeze kwenye wanadamu, wala hutachanganyikiwa.
@Pendopasilika
3 ай бұрын
Mweeee!! Jamani😢😢😢😢 pamoja na cheo alicho nacho lakini shetani anasema sikuachii lazima unitukuze
@justinocarlitosduas7357
3 ай бұрын
Wewe umebarikiwa na mungu ntumisi
@LucianSanga-q8j
3 ай бұрын
Mkuu wa Mkoa sio Mtumishi Wa MUNGU Yeye ni Mtumishi wa Selikali Na jua Yeye Ha muamini Mungu kwa imani yako Wewe kwake kila kitu sawatu Makahaba ni Mali ya MUNGU Walevi pia Yeye ndie Aliye Waumba
@isacksimonmahungilo
3 ай бұрын
Iko Sawa hapa naona machawa wanawaka wazee wa mikate na bia piga nyundo Kaka usiangalie mashabiki Hata akiwa mmoja mtu nmuhimu kuliko Hao vipofu
@AGM19697
3 ай бұрын
Z 10:18 humo humo kwenye mikate na bia watu wamepata neema ya kumjua Kristo
@Akinyisafi
3 ай бұрын
Mimi husoma tu comment za watu lakini acheni niwaambie watu ambao mnatusi huyu mtumishi wa BWANA na ametumwa jueni ya kwamba mnajichimbia kaburi lenyu wenyewe na ndo huwa mnasikia watu wakisema tumerogwa na kumbe ni nyinyi wenyewe mnajiroga kwa kutukama mtumishi wa MUNGU huyu MWINJILISTI Cassian ametumwa na BWANA Aliye hai so endeleeni kukaidi mtakipata cha kwenu Amen God cannot be mocked ukweli utajulikana as soon as possible
@GeorgeChitemo-kt8sw
3 ай бұрын
@@Akinyisafi Acha kusema mtumishi WA Mungu wakati muadu rusifa
@cellinamuro6872
3 ай бұрын
Hizi ni zilebnyakati mbaya wanakuja kama kondoo lakini ndani ni mbwa mwitu asikiae na afahamu kuwa hu ni ule wakati wa manabii wa uongo ndio huyoooooo watu watasombwa sana kuzimu hata wateule biblia imesema
@YOSHUAMWAMPETA
3 ай бұрын
CASSIAN PASCHAL anampinga Mungu hakuna aliyempinga Mungu akafanikiwa . NAJUA HILO TOKEA KITAMBO NA Nimemshauri sana kwa njia hii AMESHUPAZA SHINGO.NAMWACHIA MUNGU ATAMJIBU KWA WAKATI NA MAJIRA YAKE
@CharlesMisungwi-f8t
3 ай бұрын
shetani hana chamkuuwa mkoawala wafalme wala wenye akili baali ana vivutio vyakukupeleka kwenye aanguko akiwemo namwenyewe swalanikujua kweli yaneno huge nimkuuwa moka wakuzimu siwaraiawa wa jamuhuri ya Tanzania hatagamoliayake hata viongoziwakeanawadhalilisha hatofautishi mvinyowa wayahudi wa wakatiule navyakula vyao vyamikate hiyo walishushia kunywa juice zabibuiliziwasaidie kupatahajakubwa kwa urahisi saanyingine niushamba uliopitiliza kutamukamaneno sawanamatapishi yakomwrnyewe mbele yaumawadunia nzima halafu unadhalilisha walikuteua kujaza watusisikitu chakipimo chawenye hekima wewe. Charamila mpingakiristo uliwahikuona analoga? au anajifanya yeyekamakiristo ...hujifanya yeyenizaidi ya Mungu hivyo chungasana ulimiwako we ye jamii. Wananchi wanaujuzuzi kulikowewe chukuahilo.
@MaryMichaelMaryMichael-i7o
3 ай бұрын
Yahn watu wako tayari kujaa kwenye maovu na cyo kutubu uovu wao😢😢😢ole wa inchi na wote wakaao juu yakee..mwamposaa siend mybe niwe maiti at Roho mt amenishuhudia saana alishaasi.njia ya msalaba tulianza naye maimoriaa. Akiwa na hema na mikesha ya maombi alikua vizuri.after kufika dar basii iman ya kwel aliichia mosh😢😢😢😢jamn watu mkikanywa msikiee
@SeluyaPhilimon
3 ай бұрын
Nyesu ni Mtoto wa Mungu alijaribiwa na shetani lakini Yesu alimushinda shetani kwa Neno la Mungu .
@CatherineDaniel-t5b
3 ай бұрын
@@SeluyaPhilimon Hee! 😳😳Nyesu tena
@MathayoKakanyi
3 ай бұрын
Hubiri neno la mungu achana na watu simamia malengo yako
@Anza_tz
3 ай бұрын
Sasa kaka pascal hivi unashindwa kuongea bila kukioromesha hiyo sauti yako watu tunasikia vizuri tuu ukiongea kwa ukawaida wako maana sauti mpaka tunasahau ulianzia wapi na umeishia wapi....Jambo lingine kama ni kweli Roho wa Mungu amekuambia mwamposa sio mtumishi wake basi mimi ninakupa support 100000% lakini mtumishi kama una hubiri kwa hisia zako nataka nikupe tuu onyo kuna siku unachokiumba kitakurudia na wewe kuna watu watainuka juu yako kwa maana auae kwa upanga atapigwa sawa sawa
@ShukraniChomolla
3 ай бұрын
Kwani lazima ukihubiri utaje watumishi wengin sasa mwamposa anaingiaje hapo badala uwahubirie watu neno la Mungu
@justinmayback5552
3 ай бұрын
huyu jamaa anajiona yeye yuko sahihi mpuuz sana anaongelea watumishi tu
@ShukraniChomolla
3 ай бұрын
@@justinmayback5552 yeye ahubirie watu wapone na si kutaja watumishi wengine bana
@MeshackDaniely
3 ай бұрын
Mungu tusaidie kabisa mana duniani kunatisha
@WinbirdFrancis
3 ай бұрын
Mungu hakuweke milele
@asteriashios1852
3 ай бұрын
Pambaneni Mimi sipo nacomment tuu hapo wanangangania sadaka 😅😅😅
@epifaniamilinga2848
3 ай бұрын
Mnahukumu ninyi ni Mungu?
@CassianNziku
3 ай бұрын
Huyu mwamposa sii mtumishi wa bwana sii kila anaye litaja jina la yesu ni mtumishi wa bwana kuna na mna yakulitaja jina la yesu wewe tazama tuu na anavyo litaja jina la yesu unaona analitaja kishkaji hii ya kikawaida kawaida lakini tafuta mtumishi wa bwana uangalie jinsi anavyo litaja jina la yesu anapolitaja unasikia kabisa sauti ya imebeba authority ndani yake sasa tazama yeye au tafuta kusoma biblia juu ya habari za wale wana wa skewa walipo enda kumkemea mtu mwenye pepo kwa jina la yesu na lile pepo lilivyo sema lili sema paul tuna mfahamu na yesu tunamjua na sasa nyinyi niakina nani sii kila anaye litaja jina la yesu niwa yesu kuna neno linasema sikuile wapo watakao sema bwana bwana nilitoa pepo kwa jina lako niliponya kwa jina lako lakini yesu aliwajibu siwajui mimi nyinyi mtendao maovu na sii kila muujiza anaufanya mungu Mathayo 24:24 kwa maana watatokea makristo wa uongo na manabii wa uongo naowatatoa ishara kubwa na maajabu wapate kuwapoteza kama yamkini hata walio wateule" kwahiyo sii kila muuji anafanya mungu hizi nisiku za mwisho yesu anarudi nasawa sawa nayaliyo andikwa kwenye Mathayo 24:24 ndiyo yanayo yendeka sasa hivi tulio wateule wa mungu tukaeni macho siku zimekwisha na ambao macho yamefungwa na roho za udanganyifu zimepita kwao na kujenga katika fikra zao ngome na elimu iliyo kinyume na elimu ya mungu kwa jina la yesu kristo wa Nazareth hizo ngome na elimu zika vunjike na hizo roho za udanga nyifu zikawa ache kwa jina la yesu na huoupofu walioingiwa nao kwenye macho yao unaosababisha wasione sawa sawa tunakiangusha hicho kiambaza kwa damu ya yesu.
@EnockMozess
3 ай бұрын
Mungu akutunze mutumishi
@NiceWatson-r7f
3 ай бұрын
Ushindwe kwa damu ya yesu na ushindwe na mazabao yako
@jedidahbintidaudi8241
3 ай бұрын
jmni huyu mchungaji kasema kweli kwa kweli..natamani Albert Chalamila asikie hili Mungu wangu..Mama Samia ni mama mwenye hekima mno mama huyu..35:02-41:32 dah kwa kweli. Mtumishi wa Mungu Paskali, tunaomba umege kipande hiki ikweke kwa channel yako ili kiongozi wetu Chalamila awezek kusikia..titled "Maoni ya Rais mama Samia kwa kijana wake Mh Chalamila" tutashukuru sana mchungaji wetu
@PatrickTimoth
3 ай бұрын
Mi naona haina haja ya kuongelea watumishi wote kikubwa Mungu ndiye anaejua nakila mtu ataenda kwa wakati wake Mungu tu atusaidie
@DeusdeditMichael
2 ай бұрын
HAONGELEI WATUMISHI WA MUNGU
@EmmanuelErnest-r7g
3 ай бұрын
Chapa kazi baba kemea fundisha onya, watu wengi hawaitaki kwel wanatak mahubiri ya mafanikio tu
@goldermeirshoo1228
3 ай бұрын
Hawa unaowazungumzia mtumishi hawana mbingu, achana na habari zao, wewe hubiri neno la Mungu bila kuwataja watu majina yao, kweni huwezi kutoa neno bila wao,labda hawamuabudu Mungu wako, wewe hubiri neno la Mungu, Chalamila ni Mroma, wanaruhusiwa kunywa, hubiri neno achana na Mambo ya watu
@jeniphermyingajeniphermyin8029
3 ай бұрын
Binafsi namwamini huongea vinginr kweli,lkn kwann wnahubiri kwamajina yawatu jamani,ama WOTE waongo YEYE ndiye mkweli PEKEE.,mmmh ALISEMA MTU mmoja SK zinakuja wakristo mtapigana wenyewe kwawenyewe.
@Leeeeeeee-96
3 ай бұрын
basi dunia n nzima yeye ndo wa kweli umeongea point sana kila madhabahu anaisema 😊@@jeniphermyingajeniphermyin8029🎉🎉🎉🎉
@mwakatimbamahenge3196
3 ай бұрын
Umenena vema sana, yaani kama yeye ametumwa kuwaokoa watu basi awahubirie watu hata siku moja. Anasema tusiwaamini hawa sawa enhe tusipowaamini tukamwamini yeye then anatuhubiria nini sasa?
@eliagospel
3 ай бұрын
Cassia Yuko sahihi
@eliagospel
3 ай бұрын
Jaman Cassian ametumwa tusipuuze ipo siku huyu mtumishi atakumbukwa na mungu ana makusudi naye
@Davidgeorge-xq8me
3 ай бұрын
Jamani tunaishi nyakati za hatari,msiambiwe YESU Yuko huku,mara kule mkasadiki,wateule muwe macho ,YESU yuko hapo ulipo ni wewe kumwamini tu na muombe MUNGU lolote kwa jina la YESU utapewa
@kolechuma1249
2 ай бұрын
Chapati kazikassian walevi wabadike
@SeluyaPhilimon
3 ай бұрын
Njia ni mobility za kwenda mbinguni tukumbuke njia nyembamba watakao ingia ni wachache . Na njia pana watakao ingia ni wengi.
@Aziz-p6s
3 ай бұрын
Kazi imeanza wao kwa wao
@samweljoseph-kp8ne
3 ай бұрын
Yesu akusimamie mtumishi sema ukweli
@pastormichaelkayombopendec2497
3 ай бұрын
Tunakupenda tuko pamoja na wewe kupigwa sio kosa acha wakupinge lkn kweli imefika
@renatus5687
3 ай бұрын
Wewe casian muhuni tu sem unajua wa tz wanapenda umbeya ndo maana unawapiga kanisa ulilokuwa ukiomba sadaka umalizie kulijenga liko wapi kama n ww sio muhuni tena unachuki sana ww jamaa na wivu mkubwa
@victorngimbwa5558
3 ай бұрын
Wewe kweli unaona,Wewee Ni kipofu ambaye hujui kama kipofu
@bonifacedanielmwakisunga9638
3 ай бұрын
Nenda Kanye mavi una lolote we nenda subiri kanisani kwako sio kusema watumishu wa mungu
@christopherkaroli9365
3 ай бұрын
Ni kweli watumishi wa mungu, umeashilia ni mungu wa kuzimu ndo maana hata umemwandika kwa herufi ndogo lakini Mungu aliye juu tunaanza na herufi kubwa, hivyo wewe pia ni ajenti wa shetani kama mwamposa wako
@GiftMkwizu
3 ай бұрын
Mungu akubariki
@GiftMkwizu
3 ай бұрын
Amen mungu akubariki
@shakuratradeservices5919
3 ай бұрын
Mungu gani kamtuma mtumishi kushambulia wengine kila siku? TUJITAFAKARI
@GraceMollel
3 ай бұрын
MUNGU ana watu wengi sana
@mussamathayomadole8401
3 ай бұрын
Songa mbele kuisema kweli ya JEHOVA mtumishi, tuko pamoja.
@kayombotv9758
3 ай бұрын
Hatukuelewi una hubiri enjili au kazi yako kuwasema watu. Tena untumia hasira nyingi sana ya nini ndugu.
@feddymwanga5462
3 ай бұрын
Cassian hubiri neno
@GeofreyKalo-ot3we
3 ай бұрын
Acha wivu imekuuma sanaaaaa! Na bado
@christopherkaroli9365
3 ай бұрын
Acha mpigwe na shetani wenu
@costofamily4861
3 ай бұрын
Kuna siku Cassian watakukumbuka ni kweli unaonekana kama umechanganyikiwa lakin hawajui kuwa hiyo ni hasira ya Mungu inawaka Ndani yako!!! piga Injili
@AGM19697
3 ай бұрын
@@costofamily4861 Mwamposa anachukiwa zaidi na watu wa aina tatu au nne. 1. Wenye wivu nakuona hawawezi kufikia viwango vyake vya imani na mamlaka ktk jina la Yesu. 2. Watumishi wanaodhani washiriki wao ni mali yao na sio wa Mungu. 3. Wachawi na washirikina anaowaharibia kazi zao na kuwaabisha hadharani kwa kufungua watu na kuchoma tunguri na uchawi wao adharani. 3. Watumishi wanaoona watu wakienda kwa Mwamposa sadaka zinapungua kwao
@jesusfirstchurch4162
3 ай бұрын
Wanaalika watu kwenye maadhimisho ya ugonjwa wa figo na tunaambiwa pombe ni chanzo kikuu wanadai matibabu ni gharama kubwa na watu wanakufa leo kiongozi anahamasisha kweupeee..si uislamu wala ukristo unakubaliana na kauli hiyo.. Mungu akutane nae uso kwa uso
@FudidohwcbOfficial
3 ай бұрын
Mimi siwezi kukusikirizi chizi Kama wewe paschal wewe sio mtumishi WA mungu yani wewe ndo mtumishi WA watu WA bifu
@JofreyJofrey-t3m
3 ай бұрын
Umeshamsikiliza Alaf mm naweza kukuamin lakin kama una rafik Ako mwamposa ww ni mwiz au mchaw tatzo mwamposa ni shetan
@FudidohwcbOfficial
3 ай бұрын
@@JofreyJofrey-t3m paschal sio shetani mafundisho yake ni la bifu na lakutafuta makiki kwa watu au anaogopa watu wake kukimbia kanisa kwake
@haloterinternant
3 ай бұрын
Achaa unafiki we ubili neno la MUNGU Achana na mwamposa mtumishi wa MUNGU
@renatus5687
3 ай бұрын
Iyo mazabahu ipo geton kwake kama anabisha mwambieni aionyeshe wakati alikua akiomba sadaka za kujenga kanisa
@MgeniNyela
3 ай бұрын
Sasa wewe shida iko wapi km Chalamila na mwamposa wanamamakosa wewe sio Jaji muachie Mungu mwenyewe unaweza wewe ukakuta una makosa wivu anao Mungu wewe nyamaza unampenda mama Samia wengine hawampendi acha wivu mchungaji
@bernardmakengochuma5989
3 ай бұрын
Acha hzo ww Cassian unawivu sana huna lolote hujui bible Sasa ww mkuu wa mkoa amekukosea nn mwambosa amekuzidi Kila kitu ww unawivu kwa sababu huna waumini alafu ujue kumkashifu mtu nikosa kisheria ww ni mpuuz sana
@mashakalupindo
3 ай бұрын
Wewe inaonekana mtu mwenye wivu mkubwa sana na huduma za watumishi wenzio, Fanya kile MUNGU amekuitia. Lakini wivu utakupoteza katika huduma Yako.
@WilsonEmmanuel-bs6op
3 ай бұрын
Muache aseme ukwel mungu hamemuita kusema ukwel
@irenemuia2718
3 ай бұрын
JAMANI Vijana na WATOTO wetu ,eee MUNGU wa huruma tuhurumieee 😭😭😭😭😭
@IbuGang
2 ай бұрын
Nunua mwenyewe vyombo vya mziki ,wivu tu ulionao Mwamposa ni mteule wa Mungu
Пікірлер: 495