Mnaumia Yanga kumtangaza Chama kwasababu mlitaka kudanganya mmemuacha Chama kwa kuandika barua ya thank you mchana wa jana lakini mmesahau hiyo tarehe ishapangwa kitambo. Utambulisho wa wachezaji hauna uhusiano wowote na msiba wa kiongozi mstaafu wa timu....poleni kwa kuumia
@wildlife5730
4 күн бұрын
Oruma sio mchambuzi
@emmanuelzwallo3933
5 күн бұрын
AIBU YAKO ,TUNAJUA UNAUMIA ORUMA
@emmanuelzwallo3933
5 күн бұрын
ULIBWABWAJA .ULIPATA WAPI UJASIRI WA KUSEMA CHAMA HAWEZI KWENDA YANGA?
@user-mg1yl2rl8s
5 күн бұрын
Sio kudanganywa ukweli ni kwamba utopolo wengi hamkutarajia kama Chama angeondoka na kujiunga na mabingwa Yanga
@emmanuelzwallo3933
5 күн бұрын
Mzee TUKUUE TU
@jumaseif2452
5 күн бұрын
SASA KAMA TUKITAFAKARI NDIO TUTAMFUFUA HUYO MANJI HACHA UCHOKO WEWE
@WestonMbuba-ff4jk
5 күн бұрын
Oruma hajawahi kupatia lolote kuhusu Yanga. Ni mchambuzi anayeichukia Yanga na kuipenda Kolo. Alisema Yanga itashika nafasi ya tatu ligi kuu, pia alisema masandawana wataifunga yanga kwa mkapa
@winchislausrweyongeza8184
6 күн бұрын
Club haipangiwi, ratiba razima ziendelee. Branding ni kitu muhimu
@user-pf5zc6xi9w
5 күн бұрын
Una lolote weye
@kasangalajoseph7162
5 күн бұрын
Ndio maana hyo maneno yako yalipaswa yaje nyuma! Unaposema hawezi unakua na uhakika, kma huna uhakika na kujua usajir, anything can happen unasemaje hayo mapema??
@proisolution7166
5 күн бұрын
hivi wewe kijana ,kwni mwinyi alipokufa tulilala?MANJI NI ANSWARI SOON HAWAWEKI MSIBA-ORUMAAAAAAAA SASA HIYO INAKUUMAJE,ILA KAMA WEWE NI OMELA KWELI MBONA NINYI KIPINDI CHA MSIBA MNACHEZA NGOMA.
@proisolution7166
5 күн бұрын
INAUMAAA JAMANI MTAONGEA MPAKA MAPOVU YAWATOKE,.
@proisolution7166
5 күн бұрын
ILE YA LIVERPOOL NA CHELSEA ILIKUWA BI CLUBDHIDI YA MAAMUZI YA MCHEZAJI USIRINGANISHE BUANAAA.
Пікірлер: 14