Habari yako kk Joel,mtu kaa huyu akiwa mmeo utafanya nini sasa.a have been in this situation for long,i now feel like I'm not okay. Coz dealing with this kind of people,is very hard. Tusaidie kk tujue Vile tuta fanya.
@priscerjohn5788
3 күн бұрын
Pole mahi Kwan hukushtukia mchezo mapema au ulijua atabadilika😢😢
@mohamedKudura
17 күн бұрын
Ninao wengi dah hongera Mr joil
@MosesFikiriIbrahimu
20 күн бұрын
Kweli kabisa ambacho Unasoma kiongozi ❤
@upendokiza6061
20 күн бұрын
Ni kweli mentor wangu, siku zote unacho kiongeaga uwa kina point kubwa sana yaani uwa na barikiwa sana kabisa.Mungu azidi kukubariki Mentor wangu.
@kuruthumukondo7149
20 күн бұрын
Shukrani kaka❤❤
@minaaminaa1781
20 күн бұрын
Narssicit ... my family
@florah-jw9wk
17 күн бұрын
Asante umenifusha sana Mimi lunamoja nilikuwa namsadia. Kwajili yawatoto shule. Mpaka wakamaliza. Chajabu nilikwama kidogo nikamwambia. Anisadie. Hatoamini. Hatamia hakunipa. Mpakaleo. Nimejifunza kitukaka kwako
@robertsweya
20 күн бұрын
Mtu mbinafisi mwambie ukweli kwamba aache ubinafi, najua ukweli unauma lakini ukweli unaponya, kumbuka sisi ni wanadamu sio wakamilifu kwa hiyo tunajifunza kila siku na tunabadika. Kwa maana hyo hata unaemuona ni mubinafisi anaweza kubadilika na akawa mwalimu wa wengine kikubwa tusichoke kuelimishana kwn watu wengi wameangamia kwa kukosa maarifa. Asnt sn na Mungu akubaliki kwa somo nzr naamini kama kna mubinafsi amekusikiliza itakuwa mwanzo wa kubadilika kwake najua tabia mbaya kuiacha ni ngumu lkn akiamua anaweza kuiacha na akajenga tabia nyingine nzr ya kutoa zaidi kuliko kupokea zaidi. Asnt
@Lukman_welfare_group
20 күн бұрын
Mr Joel umeongea kitu point I wish siku moja ningekutana na wewe face to face jinsi nnavokukubal sana I feel so happy kua namahasika sana na life wisdom yak
@edisontheonest
20 күн бұрын
Wapo tena ni wengi sana kwenye jamii zetu tunaishi nao
@francjose9596
16 күн бұрын
be blessed🤲🏽🙏🏾
@MechackBis
21 күн бұрын
Ubinafsi upo popote naku weka distance ni vigumu kwetu sisi ambo hatuja pata position nazani chakufanya hapo ni uvumilivu, asante tena kk❤❤
@priscerjohn5788
3 күн бұрын
Mwanaume mbinafs sana yule
@justinekereri7445
21 күн бұрын
Ndugu yangu watu wenye ubinafsi kupita kiasi usisahau pamoja na chuki wanaoongezeka sana namna pekee ya kuwakwepa ni keep distance mita mia haswa marafiki ndugu na jamaa zetu
@WINNERBOYKE
5 күн бұрын
Najifunza ❤❤mambo mengi
@user-et1uv8ek1p
21 күн бұрын
Hata mimi napitia hio Hali tena ndani ya familia inaumaa sana inafika hatua Mchele nlionunua kwa Hela yangu chakula kikipikwa kinafichwa kweny begi kubwa la nguo Kuna watu wabinafsi mnooo UVUMILIVU UNAHITAJIKA SANA ila ukipata nafasi nibora ukajitenga nao ili upumzike maumivu
@divineminister9699
20 күн бұрын
My dear hiyo sio ubinafsi tuuh ila kuna kuchukiwa na kukataliwa wanataka hata utoke ila kuna namna ya wao kushindwa kufanya direct. Very sorry
@shuwehaharuna6309
21 күн бұрын
Rafiki zangu niki waelezea mafanikio yangu wananuna ,,lakini nikiwalilia shida wanafurahi na hawanisaidii Nd maana sasahivi sina rafiki wala siwahitaji
@GraceSteven-qq5hn
19 күн бұрын
Asant
@SARAJOSEPHAT
21 күн бұрын
Tunaona sana
@AmaniRashidi-i9b
21 күн бұрын
From south Africa Durban jamani wabinafsi wapo ila tusi wachukie kama tume fahamu tunajua jinsi ya kuishi nao sasa
@brackskinyozi3280
20 күн бұрын
Wako...sana...Hawa watu br... Joel...harari xana... asante sana nimejifunza kitu
@salmazwallo5920
21 күн бұрын
Daaah ndugu zangu kabsaa hawaa aisee
@vanessasalema6087
19 күн бұрын
Noted.
@salomemrembo7482
21 күн бұрын
Morning hawa Watu wapo vile humesema..but hukiweza nikukaa bali Nao kiakili. Na kushungulika na mambo yako..ndiyo husipoteze focus yako. Na Maombi
@FaricevitusiNkane
20 күн бұрын
Kk uko vizuli sana na umekuwa msaada kwang nakushuklu sana
@FaricevitusiNkane
20 күн бұрын
mm ninae baba yangu mzazi
@medlucas5686
19 күн бұрын
Tunao natunaishi nao hatujui tunawachaje
@user-eb1im4dy7h
20 күн бұрын
Joeli huo mziki unaoweka unakuwa mkubwa kuzidi SAUTI kuskia inakua kipengele sana🖐
@shannarsaidSwahili
21 күн бұрын
Kweli kabisa
@allibhaislim5722
20 күн бұрын
Hausikiki vizur saut ya background ni kubw san
@goldiegranted5501
21 күн бұрын
Ubinafsi 💔 🙌🙌🙌
@Sumay228
21 күн бұрын
Mind your own business be private and keep distance
@victoriaabedinego190
21 күн бұрын
Yn n roommate wangu kazini yan hata huruma punje hana roho mbaya kama kachawi yan puuuh
@goldiegranted5501
21 күн бұрын
Nshakutana nao Sana tho zamani ilikuwa inanisumbua maana nshazoea kuishi Kwa upendo na uhalisia,,,,ila siku hizi na'deal nao hivi _sim'judge , sijiulizi maswali kwanini amefanifanyia vile ,tena kama ndiyo nlishawahi muambia juu ya hilo ,basi natulia na kujisemea kimoyomoyo,,,, hata nikikosa fursa/kitu Fulani sifi 😂,na kama IPO ,basi ipo tu😂
@goldiegranted5501
21 күн бұрын
Nshakututana nao Sana tho zamani ilikuwa inanisumbua maana nshazoea kuishi Kwa upendo na uhalisia,,,,ila siku hizi na'deal nao hivi _sim'judge , sijiulizi maswali kwanini amefanifanyia vile ,tena kama ndiyo nlishawahi muambia juu ya hilo ,basi natulia na kujisemea kimoyomoyo,,,, hata nikikosa fursa/kitu Fulani sifi 😂,na kama IPO ,basi ipo tu😂
Пікірлер: 42