Yesu tuokoe wakati tunapozani kuwa tupo salama kumbe adui anatumia kazi ya mikono yetu kututenga na Mungu eeh Mungu tusaidie😢
@jamessimkonda-ox8cb
18 күн бұрын
Mungu akubaliki misholi nakupenda kutoka moyoni mungu akusaidie uje sumbawanga utoe injili
@lebahatiminyali8136
Күн бұрын
Huyu Mtumishi Mungu amtunze mno.
@agnesskyando4018
Күн бұрын
Ubarikiwe Kwa injili unayohubiri mchungaji hiyo injili hakuna anayehubiri naipenda kuisikia na kuiishi
@motivatorngoma4816
15 күн бұрын
Hii injili imetoka katika moyo, roho na akili halisi ya Yesu Kristo. Ubarikiwe Pastor.
@straitnews3441
Күн бұрын
Hapa ni wengi noma san
@user-fk4mq4ou6k
3 күн бұрын
Mungu akutunzee mchungaji.
@denisbongore3098
18 күн бұрын
Yesu naomba unibadilish niache dhambi ya mazoea naomba neema ya kukuheshimi ili niweze kuwa mwaminifu kwako
@andrewmukuru6357
17 күн бұрын
Amina,YESU ANAWEZA,YESU NI BWANA!!!!!!!
@AbihudiMbekomize-uy7kp
2 күн бұрын
Amen
@gabriellmbwille184
12 сағат бұрын
Aminaaaaaa mtumishiii
@eliyasamwel1087
Күн бұрын
Amen kubwa
@user-fk2co4qn8s
2 күн бұрын
Amin mtumishi
@mahirmohd1931
15 күн бұрын
Injiri safi kbsa 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏 injiri kama izi kwa Dunia tulio nayo ni zakutafta sana..yote kwa yote barikiwa sana baba MUNGU azidi kukutumia 🙏
@alphaxadackim
3 сағат бұрын
✍️✍️
@happyalbert5089
17 күн бұрын
Barikiwa baba
@user-bd6ci7tn4y
17 күн бұрын
Amen uniombee
@nicholausrwezaura1971
14 күн бұрын
Natamani sana niwe mshirika wako Injili hivi naipenda sana
@rhinakiza
15 күн бұрын
Sema kweli baba mimi mwenyewe mwizi wa kikumi😭😭😭🙏🏼 Yesu wangu ni semehe
@TeleziaSimbeye-fm3zw
Күн бұрын
😂😂😂 Abiud!!!!!!!!!!
@RuthKerubo-ux5br
2 күн бұрын
True gospel am telling you pastors don't tell the truth God use me to tell the truth
@AgnessIbrahim-nt1kr
15 күн бұрын
Amen amen,, Mungu akubariki sana
@agnesyjoseph3906
15 күн бұрын
Asantee mtumishi kwa kutwambia ukweli ili tuwe salama
@tituslucas2348
15 күн бұрын
Wewe ni mfano wangu! Niombee naitwa Titus Lucas najenga kanisa niombee nimalize Baba!!
@pastoremmanuelmwabulambo8260
16 күн бұрын
Mathayo 17:24-27;Warumi 13:7-Hiki ni kipindi cha kuliandaa kanisa Takatifu, pia nimecheka😂😂😂😂😂😂 autaki kufa tena, Ubarikiwe sana Mtumishi.
@utakatifunahaki5095
4 күн бұрын
😂😂😂😂😂Imeingia hiyo baba chiiiii!! 😂😂
@DanielChomo
9 күн бұрын
Asante sana kwa kuweka wazi mambo yayobeba asilimia kuu katika maisha yetu .
@omanqqwe4061
15 күн бұрын
Mungu akubariki baba
@hamurabani5386
13 күн бұрын
Amen and Amen
@barakamhenga6195
15 күн бұрын
Hakika siku za mwisho zimekaribia na watumishi wa MUNGU wa viwango hivi hawapo kabisa duniani,,, Mungu azidi kukupaka mafuta ya shangwe.
@EmanuelSolomon-ij1is
17 күн бұрын
❤💪💪
@shukraniwillisoni8512
13 күн бұрын
Ubarikiwe baba
@happyalbert5089
17 күн бұрын
Amen amen amen
@super_boy_tz
3 күн бұрын
Mchungaji mungu azidi kukupa mzima tufaidi mahubili yako. Mungu athurumie
@user-ye1dt2eb8u
2 күн бұрын
Na wanyoa viduku, je????wake Kwa waumd, are we going or not pastor, and there are there
@mch.abiudmisholi
16 сағат бұрын
Ameen
@kasangagregory5747
11 күн бұрын
Mmmmh Mungu niokoe
@Kelvinchristopher072
18 күн бұрын
Amina.
@emmanuelmanga3478
16 күн бұрын
Hapo mtumishi umeshukiwa na roho kwelikweli
@user-bd6ci7tn4y
17 күн бұрын
Ni past bonn kutoka kenya uniombee
@andrewmukuru6357
17 күн бұрын
Asante kwa ukweli,ni dawa ya ajabu!!!
@StanleyMwaipopo
17 күн бұрын
Amina mtumishi umeongea ukweli
@BillionairesPrinting
17 күн бұрын
Hapa mtumishi Mungu atusaidie sana
@nesielias9493
14 сағат бұрын
Ukiona mtu ni muhalifu au anatabia fulani ujue kuna mahali kairithi haijaanzia kwake, hawa tunaosema viongozi ni wahalifu kuliko wananchi
@mwambakibucheche1119
11 күн бұрын
Duuh!!?
@flm1530
17 күн бұрын
Kweli kabisa
@lucymsigwa443
9 күн бұрын
Mtaji wangu ni ml20,faida napata 200000,kodi inachukuliwa kwenye ml20 nitafika hapo kweli
@festusmutiso476
18 күн бұрын
Dawa iooo
@CastoryKapinga-nb7ht
7 күн бұрын
UYU MZEEW ABARIKIWE KABAKI YEYE TU MẞEMA KWELI WENXAKE WOTE ASILIMIA KUBWA WANAPITIWA NA EURO
@istermariol2158
17 күн бұрын
Huyu Roho wa Bwana ndani yake
@EdwinMbwilo-fj6bf
11 күн бұрын
Mch unachotaka ni utakatifu naomba ukae nao wafanyabiashara ulionao humo ndani uwaulize kwa nini wanadanganya ndipo utoe hilo tamko lako, maana chanzo ni TRA wenyewe vinginevyo tuliookoka tusifanye biashara.
@user-ti8fw5wm8f
7 сағат бұрын
Chanzo ni watu wa TRA
@BillionairesPrinting
17 күн бұрын
Wengi ss ni wezi
@MarrySalama
17 күн бұрын
Ameeeeeen
@hebronijaluomahuvi1025
17 күн бұрын
❤❤❤
@LucasKaik-xt8qe
15 күн бұрын
Hapo sasa naanza kukuelewa.
@AgnessIbrahim-nt1kr
15 күн бұрын
Hahahaaa
@regnethmtemanyongo2237
18 күн бұрын
❤😅❤
@mbilikadyson
17 күн бұрын
Sindano ya moto
@hebronijaluomahuvi1025
17 күн бұрын
utaishi
@evelynmollel9720
17 күн бұрын
Sindano imeingia hata kama inauma watu wapone. bado kuna wafanyabiashara wanaotumia mizani isiyo ya haki
@elijahayoyi7191
14 күн бұрын
Nahisi uchungu wa moyo
@user-zg4bt4it2p
17 күн бұрын
Seba wawiza, napandeka isomo lyakunilanga hatale noo
@paulmushi2428
2 күн бұрын
Gete gete
@lawrencemsangi3837
14 күн бұрын
Mtumishi unachokiongea ni kweli lakini ukweli mazingira ya kodi kwenye nchi yetu Ndo yanasababisha yote hayo imagine ulipe Leseni, ulipe makadirio TRA kwa wale wanaofanya biashara zinazo toka nje ya nchi mzigo ukifika bandarini au mpakani kuna kodi za mipakani zinazo umiza hawa watu wao wataishije?
@lawrencemsangi3837
14 күн бұрын
Serikali iangalie wafanyibiashara hawana Furaha kwenye maisha yao
Пікірлер: 68