Busati Tv Fans WhatsApp 👇👇 chat.whatsapp.com/EXedjPddrA9C1XIkEg36JP
@modestazaver
4 күн бұрын
Oyooooo
@ElizabethBaraka-ml9yy
4 күн бұрын
Hongereni.sana
@modestazaver
4 күн бұрын
Twende ivi ivi nasio kutuwekea watu ambao hawana vibe afu hatupendi izo mambo
@modestazaver
4 күн бұрын
Twende ivi ivi nasio kutuwekea watu ambao hawana vibe afu hatupendi izo mambo
@user-vz7qe8im6d
4 күн бұрын
Duh Safari hii watu wamechachamaa kumtafuta zuu sio mchezo si bibi si sania si bamkwe we famchezo safari hii lazima apatikane dadek weka like apa kama unaamini watampata zuu
@DinahNish-bm9sr
4 күн бұрын
Zuu apatikane tu mambo yaende poa
@user-pp2xh5cg1m
4 күн бұрын
Atleast Leo kuna improvement 🎉🎉🎉🎉🎉 zuu apatikane haraka iwezekanavyo🎉🎉
@AdamZainab-mb7qj
4 күн бұрын
Umeona enh
@user-pp2xh5cg1m
4 күн бұрын
@@AdamZainab-mb7qj yea
@ChochoteTv
4 күн бұрын
Dah kumbe ukibonyeza comment mara tatu inajicopy🤚🏼🔥
@mamume710
4 күн бұрын
Unataka like tu nyau ww😂
@JudyDee-dt2fe
4 күн бұрын
😂😂😂😂😂 walai
@user-wu7ho7sx8q
4 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣
@Realme-xm3sh
4 күн бұрын
Yan wew umejua kutuuza kweli 😅
@ElizabettEmanuel
4 күн бұрын
Nimekustukia unataka like muombe bibike zuuuuu😅😅😅😅😅
@JumaAmani-uh4vq
4 күн бұрын
Ata mutume saa ngap tuko macho watu wangu wa gulf tujuane😂😂😂tuna lala leo tuna amka leo
@BintTatu
4 күн бұрын
😂😂😂😂hii kal wallah
@JumaAmani-uh4vq
4 күн бұрын
@@BintTatu au sio mtu wangu 😅😅😅
@mwanarusmwakauzwa6118
4 күн бұрын
Umeongea kabx😂😂😂
@user-qj2xc8gd5w
4 күн бұрын
😂😂😂😂
@user-bz3kq3ph1s
4 күн бұрын
@@user-qj2xc8gd5wno kulala hapa
@MymunaMuna-qn5lo
4 күн бұрын
Kuna gali like limedondoka hapo wahinii jamni mbona huba hamuombi jua kali hamuombi mnatowa maoni tu huku hakuna hoja ni like tui😢😢
@neemamnyazi
4 күн бұрын
Candy mwana kuyasearch mwana kuyafound,,,ulikuwa na mbio ata ulikuwa hushikiki haya tulia ulee kitumbo sasa😂😂😂😂ila sania nawe ni moto kilà mtu kwako sawa huogopi zinaa wewe
@user-hb2nn6ud2d
3 күн бұрын
Hao jua kali na huba wasenge wanazingua wacha tukomae na hii hii ni tamu tuu
@MymunaMuna-qn5lo
3 күн бұрын
@@user-hb2nn6ud2d kama sukali wapi kendy
@Marlenapilikitsao-gk9je
4 күн бұрын
Mizimu ya nyanya inafanya kazi hapo chacha nyanya zuu apatikane❤❤❤❤❤
@user-jl8kp7gu7x
4 күн бұрын
Wakwanza Leo Ni Mm nipeni like nzangu from USA ❤❤❤❤
@user-hf7pk2lx4v
4 күн бұрын
Team candy ona venye kimemramba dada yetu mungu asaidie zuu arudie hali yake ya kawaida watching from saudi
@PurityWaithira-ud2vj
3 күн бұрын
Nimechelewa mie 😢😢kazi mingi huku gulf,naomba na like mie tafadhali
@user-uk4fd1rp3w
3 күн бұрын
Nani ana upendo wa dhati Kwa zuu Kam alivo baba Kai naomba tujuwan Kwa like hapa!!
@Asmachima-dx5gb
4 күн бұрын
Kazi nzur Lkn tujifunze kua mtoto hatowi mwanamke ila anaetowa ni mungu pekee
@DamarisDammie
4 күн бұрын
Hayah Leo nimewahi ila mashoga ugomvi ndio huu umeanza Sasa Siri zitafichuka jameni 😂😂😂 enjoying from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@LINDAKARANI-jx3dr
4 күн бұрын
Me too 🥰 from Kenya
@user-jr1qx1sj8t
4 күн бұрын
Kula chuma icho hakuna siri ya wa2 wawili ngoja muone best yenu candy atakavyozalilishwa na best yake
@user-gu2yu2wp1z
4 күн бұрын
Mida gn jaman hii😂😂😂😂lkn kibwagizo cha leo n zuuu,,,halafu leo bodaboda kachinja nn.........warereeeeee nawapenda snaa ❤
@IBUTUNDU
4 күн бұрын
jaman namm leo sijachelewa sana naombeni japo like kidogo tu
@medinamathayo3798
4 күн бұрын
Kwani hizi like ni chakula jamani
@GetrudeChengula
3 күн бұрын
Hahahaha saw kipenzi tunakupenda❤❤❤
@IBUTUNDU
3 күн бұрын
@@GetrudeChengula 😂😂
@user-ri5xw2rs4n
4 күн бұрын
Tim sania mpoo naomben like zenu jaman
@MaryMbithi-nw5sr
4 күн бұрын
Guys namiss zuu please naomba kesho kumuona aky maua yenu haya🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉kenya 🇰🇪 we love our neighbour ❤❤❤❤❤
@user-dp3fv2kh4l
4 күн бұрын
Hii iko moto mpaka karibu watu wote wana mtafuta zuu kwakweli atapatikana na akipatikana kichaa kwisha❤❤❤
@user-jp3dr9nt8t
4 күн бұрын
Nimechelewa lakn nimefika naomba like zenu jmn❤❤❤❤
@AliceBensoni
4 күн бұрын
Baba Kai ni mbonge la HB maan nimemuona kweny series ya koneksheni NI mwendo wa suti tuu, yuk vzr
@user-cg8ti1re1t
4 күн бұрын
waah kila mtu anamtafuta zuu .jaman mizimu y bibi inafanya kaz❤❤❤ munipee like bx
@macrinafuraha-zg3mi
4 күн бұрын
Cheza na mapenzi wewe sania fanya uwezalo zuu akue sawa umpeleke kwa kai roho safi hii ni kali buana natamani iishe 2030😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@happinessmalombo9275
4 күн бұрын
Mm nilikuwa naona nimerauka kumbe wenzangu mumelala hapa😂😂😂
@has1039
4 күн бұрын
Leo wakwanza nipewe like zangu
@Kibumpenda
4 күн бұрын
Likes 🎉🎉
@Khadija-bu9ou
4 күн бұрын
Likes zangu na mimi jamani Leo mPema nimewai
@user-sy9cu5ef5q
4 күн бұрын
Pole sana dada ambaye huzai usikate tamaa kuzaa ni majaliwa ya mungu
@user-mv6vi1gv6f
4 күн бұрын
Mwenye bahati mbaya atalike sipati
@silviaamakweliukweliutajul8395
4 күн бұрын
Upate like umeigiza ww? acha shobo bwana
@user-mv6vi1gv6f
4 күн бұрын
Jak@@silviaamakweliukweliutajul8395jajunya cha nyambutavyuvya biragucha😂😂😂
@aishaomar2287
4 күн бұрын
Ila candy bana,ati kwan nyie mmeamua kufanya kweli😂😂😂 🙌, aaaaweeeeh 😅...ushoga umekua uyogaaa😊 ama kweli udugu kazi ushoga heka heka # bodaa nawe umenikosha,tania auza mchele ataka mteja aende na mfuko,khaaa! Busati tv hatareeee🎉🎉🎉🎉
Eeeh number 10 Leo mungu asifiwe sana❤❤❤❤Nawapenda sana nyie wote
@HidayaMbodze
4 күн бұрын
Kuna scene zengine wanaongea sana director please angalia hili juu target ya mda inaisha haraka na inaisha tayari
@Nashoni1996
4 күн бұрын
Ni keeping visivyo vya msingi wanavipa mda mrefu
@HidayaMbodze
4 күн бұрын
@@Nashoni1996 kabisa yani
@irinemmasy8387
4 күн бұрын
Hili tumeliongea Sana lakini hata hawarekebishi
@juliethrobart9430
3 күн бұрын
Kabisaa wanaongea mpaka wanaboa
@GermaineZabibh
4 күн бұрын
Ni lazma Leo mnikome nimekuwa wa kwanza ku comment
@aminah574
4 күн бұрын
Jamani munipee like na mm leo basi 🙏🙏hata tano
@MwanamisiSuleiman
4 күн бұрын
Wakwanzaaaaa hiooooo❤❤❤❤
@Scolayusuph558
4 күн бұрын
Wachawi wa imaya ya busati mnatupostia move usku usku 😅 kaz nzur maua yenu 🎉🎉
@YasintaMakweta
4 күн бұрын
Hatari
@suleabtigigis6932
4 күн бұрын
Zuu 😢ako wapi tafadhalinii tupate zuu plss apone ❤ yule mama boss wakeko roho unyama ............sana mungu awalaniii...milele 😢😢😢😢
@OneniMahenge-wm8ji
3 күн бұрын
Omba omba wa like mumesha Anza kuomba angalien move
@DanielaSanka
4 күн бұрын
Jamani house girl ni nzuri ila jitahidini kutoa kwa wakati naombeni ikiwezekana hata vipande viwili kwa siku
@juliethrobart9430
3 күн бұрын
❤❤❤
@zeynab7617
4 күн бұрын
Leo nimewahi like zangu jamani ❤❤❤
@12omochildren
4 күн бұрын
Hata mkituma sakumi ya asubuhi tupo tayari kibisa,shoga mwenzi kishamramba😂😂
@MymunaMuna-qn5lo
4 күн бұрын
Hahaha kazi anayoooo
@ZuenaStanley-fx6ce
3 күн бұрын
Achen kuomba like ndo maana zuu apon 😢 naomben likee
@user-sk7un6ls2t
4 күн бұрын
Tangu muombe like mumenunua magari mangapi 😂😂😂😂😂
@user-ln3nu4tt5y
4 күн бұрын
Hahahaha wapo kwenye folen wanafata magari yao
@user-sk7un6ls2t
4 күн бұрын
@@user-ln3nu4tt5y ahahaha jaman 🤣🤣🤣
@ElizabethDennis-qv9nx
4 күн бұрын
Nipeni like zangu hatakama nimechelewa
@MamayaoRiziki
4 күн бұрын
Nc movie ❤❤
@ChaguVeeNovida
4 күн бұрын
Hapa Zuuh sisi Tunamleta, We mzee utazunguka saana, 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Zuuh yupo zake kule amemeza Panadol Za Kenya😂😂😂 👽👽
@gmichano113
4 күн бұрын
😂😂😂😂Mnaomba sana like, si muangalie kwanza
@Phoebenafula
4 күн бұрын
Waambie
@gmichano113
4 күн бұрын
@@Phoebenafula yaani ni changamoto
@AllyBabu-kr6lg
4 күн бұрын
Konde boy coming number one yau yau🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@AdestiraNgede
4 күн бұрын
Sisi timu zuu tuko kimy wameanza kugeukana wenyewe tunasubiri mabomu yao yalipuke
@Mwana85Mwana85-wz1ol
3 күн бұрын
Tu pmoja my
@user-rp3hf9oi7v
4 күн бұрын
Nampenda kendy sababu amevaa uhusika wake vilivyo alafu ananhaya😂😂😂 kiukweli wanifurahisha dada❤
@user-fo6zw6ru9e
4 күн бұрын
Nani anae tamani kai jinsi anavo mnyemelea zuuu chumbani kwake
@Phoebenafula
4 күн бұрын
Hongereni sana busati tv🎉🎉🎉❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪
@zainabzain3434
4 күн бұрын
Chiko hata kama tumia busara basi maneno makali kwa mkeo ye sio muumbaji tambua
@hlimaa5182
4 күн бұрын
Chiko chiko chiko nime kwita mara 3 😢😢😢kuwa na hofu ya Allah basi unatoa maneno makali kiasia hicho kwa mkeo kweli😢😢😢😢😢😢masha Allah navile uko na mke mrembo 🥰🥰🥰
@user-oy5fn8du4u
4 күн бұрын
Huyu chiku nae anavyo mjibu mkewe 😢ajui km kuzaa nimajaliwa ya allah 😢😢mungu awafanyie wepesi wanawake nyote ambao amjapata watoto Kuna wengine wanapitia changa moto Sana
@Restuta-o8h
4 күн бұрын
Mpo bize kuomba like Mgumba anataka kupewa mudathiri Yahya
@JosianeHabarugira
4 күн бұрын
Nilikuwa nasubiri kabisa !
@esterester3628
4 күн бұрын
Nyanya kaendea mjukuu wake.kweli uchungu WA mwana aujuaye mzazi❤❤❤🎉🎉🎉
@AnicethaLaurent
4 күн бұрын
Huu sasa ndo utamu wa move, move imefika patamu sana tunaomba msitucheleweshee sehemu inayofuata jamani tunaisubli kwa hamu
@Zainabu-xn3vd
4 күн бұрын
Candy kitakurambaaa ss anyway lipe like hata kumi please🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@user-ki9le1jy8e
4 күн бұрын
Kaz nzuriiii ila wanachelewa bhn unawek kibando chako ukija mzigo bado 😅😅ila ndo Ivo na enjoy tyuu
@janatmapenzi5264
4 күн бұрын
Daaah hii kali nawapenda sana gyz inakaribiea nlipotarajia❤
@kadzo5594
4 күн бұрын
😂😂yani sema mnajua kurauka Sana🙌
@ministerlightnessrobert5342
4 күн бұрын
Wenye wababa like apa
@jedenecosta
4 күн бұрын
Kazi Njema Nimependa Kazi Yenu
@busatitv
4 күн бұрын
Asante sana 🙏🙏🙏
@MariahJuliuss
4 күн бұрын
Daaaah nimeisubili Sana jamni Ahsantee kwailo ❤❤🎉❤🎉❤🎉
@fhgj261
3 күн бұрын
Namu ❤❤nimependa sana kabisa🎉🎉aduwi wa rafiki yako ni rafiki yako❤❤ongera san🎉🎉🎉
@buru1235
4 күн бұрын
Baba sikia vile unaambiwa mm naona Sania atakulea zuu kuwa mpole team bangi uku wangapi jmn😊😊
@mwanaidindaro-ze6ow
4 күн бұрын
I love you kai
@user-gv6zd5el9c
4 күн бұрын
Jamani cand ameyakanyaga
@alinedushimirimana-ei7jh
4 күн бұрын
Na mm leo nimejitahid kuw wakarib san nawapend saan mno 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@RizikiZiki
4 күн бұрын
Haya sasa mutu n'a shoga yake mambo yanataka kunoga apa ndo patamu sasa ❤❤❤
@bintrashid5108
4 күн бұрын
Team Zuu mko wapi? Naona akipona
@maryamtanzania9743
4 күн бұрын
Pole mwanamke mwenzagu kwa kusakwama kwa sababu ya kuzaa
@AishaRashed-m5o
4 күн бұрын
Mpo vzr san Alf Kendy anajichekesha chelesh litamukut jambo
@Alinekwizerimana-sg1th
4 күн бұрын
Jamani leo wa kwanza muache roho mbaya nataka like zangu😢
@AnyesiKonga
4 күн бұрын
Ili upeleke wapii
@rosesyombua4100
4 күн бұрын
Asante sana❤
@Phely039
4 күн бұрын
Kumekuchaa😁😁😁like vipi wadau
@Rehemamakuka
4 күн бұрын
Toeni maoni sio nipeni like kila mtu anaomba like
@Mrplatforms11
4 күн бұрын
Jaman zuuu wangu ni the best woman nakubali kichizi love this girl
@user-jj8vq5qr9f
4 күн бұрын
Mnaoomba like mushike adabu zenu ombeni pesa ndo chamaana shenzi nyny
@mamume710
4 күн бұрын
😂😂
@MaryTsuma-j3q
3 күн бұрын
Movie yenye Iko simati sana n nimeipenda sana
@DivineIngabire-lj3sr
4 күн бұрын
Sania basi akanuaga we candy nilikwambia kam bitakurudia ngoja sasa kidogo lakin busati munatufanya tusilale kabisa 😂😂😂😂
@FatmaAmour-w6u
4 күн бұрын
Wa kwanza leo
@HidayaMbodze
4 күн бұрын
Sawa
@sofiakinyia2734
3 күн бұрын
Hi ndo house girl ukisikia nyegne photocopy🎉🎉🎉
@ginafaruque5335
4 күн бұрын
Cendy mchezi kabisa EP 33
@Kibumpenda
4 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉Leo ni leo
@jackilinekaini8744
4 күн бұрын
Ya leo tamu Sana jaman nyie noma❤❤
@MariamAlly-xw6ms
4 күн бұрын
Sania bwana et moto umewashwa sherry
@nurusofia-od4kj
4 күн бұрын
Yani watu hawalali wanasubiri Hadi Saa nane😂
@user-yk3ew1bw1q
4 күн бұрын
Asant san Ira munawek usik saan kwer mubadir kwer vipnz ❤
@FahidaSalim
4 күн бұрын
Zuu lazima apatikane mimi nataka candy aibike😂😅 kicheko Cha candy iko
@user-wn3nj5np5n
4 күн бұрын
Yani hii house girl ni tamu sn plz iende mpaka mpaka zuu afunge ndoa na kai
@NeemaMwotela
4 күн бұрын
Nawapenda wote wa shabiki wa busati TV❤
@GraceMbulu-rp8ko
3 күн бұрын
Nimekupenda bure sania❤❤❤❤
@user-fw2zn2os8g
4 күн бұрын
mnaomba likes tu kutoa ushauli Ahaaah🎉
@user-kr4xr7ix1u
4 күн бұрын
Nimefika mapema 🎉😊
@MawazoJustin-fw2ws
4 күн бұрын
Candy siku dawaitafeli utajiona wabure sana wewe nakuchukiya candy 😏😏😏😏😏
@DianaMuyoka
4 күн бұрын
Naona kuna Moto kunaenda kiwaka episode 33
@user-ge3tn7zs8r
4 күн бұрын
Chiko nakupa usia mkeo yuwakupenda sana na ujue kuzaha majaliwa kuna kupa na kukosa chiko mkeo ni mtu mwaminifu sana .ila candy kitakuramba baba .langu dicho
Пікірлер: 484