😁 Mchungaji Ananja anatikisa kichwa kwa kusikitika 😁 Huyu mchungaji anaongeaga ukweli bhana
@kenanimwakanemela483
Жыл бұрын
"Huduma ya kinabii ipo ila ofis ya kinabii haipo". It takes maturity in God's word to understand this, Hongera pastor
@amonsekajingo6996
2 ай бұрын
Gifted man of God . Keep it up! Such 'minds' should at times be teaching in bible colleges.
@hastatz
Жыл бұрын
Huyu mzee akamatwe apimwe akili asije kua ni YESU amerejea😂😂 mbona anasema ukweli sana
@PreciousMwajombo
9 ай бұрын
Hey you spare my ribs
@VeronicaEugen
9 ай бұрын
For sure 😂😂😂😂
@paulinamariki3371
9 ай бұрын
Keel ndgu yang
@nellyhortensia2407
6 ай бұрын
😂😂😂😂
@ibrahimcharles9842
6 ай бұрын
😂😂😂😂 nimefurah sana comment ako😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@hermanfrank6727
Жыл бұрын
Mchungaji Hananja ninakupenda kutoka moyoni Kwa sababu ya ukweli wako kuhusu Biblia na umejitahidi kumeza maandiko,unatema nono la Mungu sio maneno.Wewe ni mfano wa kuigwa aisee❤
@user-nl8hs2nx9p
5 ай бұрын
Mungu akubariki Mchungaji kwa ukweli wa Mungu unaoleza.
@mbukumagiubukumagu406
Жыл бұрын
Yupo vizuri sana na anaujuwa ukiristo karibu katika uislamu
@matunzojr4862
Жыл бұрын
huyu jamaa geneous sana mchungaj pekee aliyebaki kusimama kwenye ukweli
@samweljumanne-wo2pu
Жыл бұрын
Mchungaji Hananja Ni Proffesor akili mingi kichwa kimejaa mistari mitakatifu iliyojaa ukweli ndani yake hongera baba
@user-zz4wg1kv1b
5 ай бұрын
Mzee una madini mengi Sana God bless you
@user-ef8py8bt6r
6 ай бұрын
Mimi ni muislam,ila nampenda Sana huyu baba🎉
@phelisterswamalwa3295
7 ай бұрын
Yote yatapita Neno la Mungu litasimama litangaze muchungaji,I like it
@theophilwhiteheart1997
Жыл бұрын
😂 sipingi hata kitu kimoja hapa father umemaliza kila kitu God bless you
@isackmachiyanshoka6754
Жыл бұрын
Mchungaji hananja upo sahihi Mungu akutunze sana!🙏🤝
@mathiasswai7006
Жыл бұрын
Nice baba mchungaji,anabidi apewe PhD, ya heshima, na chuo kikuku
@mariakibwana3700
Жыл бұрын
Mchungaji Hananja, nakupenda sana kwa maelekezo.
@bonnymwajombe779
Жыл бұрын
👍very nice Hananja
@victorbugobola2276
Жыл бұрын
Kwl kila mtu anawakati wake saiv n wakati wa Hananja Kutrend hakika anatrend kwa ukwl wake,....Mungu akubarik ❤️ mtumishi AMINA...
@ElipendoElias-no6ki
Жыл бұрын
😅😅😅😅nimefurahishwa sana na maelezo ya mtumish huyu wa Mungu ana hekima yakimungu kwakwel..
@ahmedalfan8075
Жыл бұрын
😂😂😂😂 dah uyu mchungaji comedian sana 😅 water skukuu
@rajabamis1135
5 ай бұрын
Huyu mzee mwenzangu Hananja ni real. Ni pastor wa kweli❤
@gertrudenyandwi8218
3 ай бұрын
Asante sana mtumishi waMungu barikiwa sana
@meshackkazimil6837
Жыл бұрын
Hongera sana baba! Mimi nakuelewa sana sana
@ibrahimumtera7943
5 ай бұрын
Safi saana mchungaji sana apo uko sawa mimi ni mwadventista
@NemesiYustina-ye2vs
5 ай бұрын
❤❤❤nimefarijika na ujumbe wako muadventista
@yolbul1616
Жыл бұрын
Daah unapendeza sana dada love from south sudaness 🇸🇸🇸🇸🇸🇸
@lucasprochesi
7 ай бұрын
Huyu mtu ana akili kuliko kawaida.. jinsi ya kushika hayo maandiko tu inatosha kuwa umefunuliwa
@deekibonga
Жыл бұрын
Huyu baba apewe TV tuelimishwe zaidi
@bainolatino3412
Жыл бұрын
Sawa Sawa ilibidi waliona hilo japo wasafi au clouds au eatv au yeyote tuu a pate na masponsor
@georgemlonda4174
Жыл бұрын
Mungu akubariki ! Cjapoteza bando langu bure
@lionking3015
Жыл бұрын
Napenda swagga ya huyu mzee yani anaongea kama wimbo yani anapiga verse Kisha anaweka chorus Enheeee Enheeeee😂😂
@PreciousMwajombo
9 ай бұрын
😂😂😂 akh eeeeh
@user-lm3xb9xy6z
4 ай бұрын
Nice teaching always mchungaji
@florencemwanansao834
Жыл бұрын
Mungu akubariki mchungji
@RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny
6 ай бұрын
Shukrani sana mzee wetu nakukubali pia❤❤❤❤
@gracesanga6489
3 ай бұрын
amina mchungaji napenda sana mafundisho yako yananitoa hatua kwenda hatua nyingine
@salomedarema304
4 ай бұрын
Eti kweli mtume anamikiki prado na kiyoyozi wakati paulo alijichimbia mahandaki akakaa huko yaani mmh hii mitume na manabii hewa Mungu awashughulikie
@sostentulian9462
Жыл бұрын
Namkubali sana mzee hananja
@mosesmtomo4311
3 ай бұрын
Upo vizur sana aisee
@oscarngata5672
8 ай бұрын
Mungu akubarki mchungaji❤❤❤❤❤❤❤❤
@engelbertkiondo4014
7 ай бұрын
mwalimu Hananja asante. watu hawasomi Biblia kabisa. wanakariri vimistari vichache
@charlesmuyabi-nu9sv
3 ай бұрын
hongera mchunguji kwa elimu nzur
@dankhany3385
Жыл бұрын
maisha marefu hananja ♡♡♡
@obotelaurent1359
3 ай бұрын
Mashallah...
@gracekagoma3231
Жыл бұрын
Huyu ndugu anaongea ukweli Siyo mnafiki❤
@amissitundula8568
Жыл бұрын
Namuelewa sana mzee wangu
@jacquelinebaitani8370
Жыл бұрын
Mungu unaye mbona kwenda kuchukua maji? Omba Mungu wako akuponye huwezi chukua vifaa vya kiroho hata upewe kinyesi chukua upone.Maana wewe hiamini Mungu uliyenaye kama ni muweza wa yote.
@catherinenicander7468
Жыл бұрын
Naye kanisa lake mbona anataka sadaka kwani,kanisa litaendeshwaje.hakuna nabii anayewalazimisha watu kutoa sadaka ni unavyoona wewe mwenyewe.kama anafunga wakati anaandama wenzake,si awaache Tu .kila MTU si atabeba mizigo wake,waache watumishi wa bwana.
@tojotv6414
Жыл бұрын
Mwandishi Leo umependeza tofauti na unavyovaaga
@kassianwilliam8257
Жыл бұрын
Hapa nimeondoka na kitu chema na kikubwa sn, asnt Baba Mchungaji.
@salmoncelestine6840
Жыл бұрын
Live long baba,,unasema ukweli siku zote.I love you
@rosendanshau2674
Жыл бұрын
Uko vizuri baba unajua neno songa mbele
@AnneSampegete
Жыл бұрын
Hii ni kweli kabisa jamani tufunguke
@fadhilichristine7734
Жыл бұрын
Amen 🙏🙏
@JaphetPeter-sc3pe
Жыл бұрын
Ameeeeeeeeeeen mzeeeee wang,
@khalid6264
9 ай бұрын
ubarike sana ,mungu akuongoze
@user-qc7ih4yi8p
9 ай бұрын
god bless u
@gracekagoma3231
Жыл бұрын
Mimi ninafuatilia sana maongezi yake Hananja.Anaongea logic na mantic.Siyo mnafiki
@user-yk3yr2yt6o
5 ай бұрын
Agabo ni nabii agano jipya, ,huduma, ministry na ofisi , office, hapo ni lugha imekuchega mzee, manabii wapo na mitume wapo , isaya alienda kwa hezekia, elisha kumfufua mtoto wa mshunami, yesu aliitwa nabii, yohana 9:1___, paulo hata leso wagonjwa waliponywa , mafuta ya upako ,marko ,6:13, kwa nini musa anakabidhiwa fimbo na alitumia zaidi ya mara moja , kwanini eliya alitumia vazi zaidi ya mara moja, manabii ninachokiona wataurithi ufalme ,wachungaji wamejaa kujihesabia haki ,
@gertrudenyandwi8218
3 ай бұрын
Uko vizuri sana mtumishi
@heronimomsefya3190
7 ай бұрын
Safi sana barikiwa daima
@servantofalmightygoddranth2511
Жыл бұрын
Na kuhusu mwisho wa nabii, nabii wa mwisho aliyemtabiri YESU ALIE HAI na kunyosha mapito na kitengeneza njia nabii wa mwisho ni YOHANA Mbatizaji
@dausonedius4100
Жыл бұрын
kweli kuna ukwel ndan yake baba amen
@sirpleasureb
6 ай бұрын
binti hongera kwa kujistiri kwako
@fredybanda2861
Жыл бұрын
Kkkkkkkkkkkk moto kimbunga moto kkkkkkkk niubunifu kkkkkkkk you are the best
@user-ny7vl2jr8s
3 ай бұрын
Nakubali sana mzee wangu
@princessprecious6995
Жыл бұрын
Upo sahihi kabisa na Mungu akutunze kabisa hujaongopa wakorinto 8.8. chakula kwaajili ya tumbo na tumbo kwaajili ya chakula tusipokula hatupungukiwi kitu tukila hatupungukiwi kitu
@gracekagoma3231
Жыл бұрын
Ahsante sa n a baba
@user-nf5zo5nm7p
6 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@Kobe_254
Жыл бұрын
Huo ni ukweli mtupu kuhusu dini 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏
@athumanmbaraka5192
3 ай бұрын
Nampendagasana uyu dingiii❤❤❤
@frankmushi8892
Жыл бұрын
Nikweli kabisaaa
@damasjoachim4451
Жыл бұрын
Mchungaji umekosea sana, matendo ya Mitume inasema,imani yetu imejengwa juu ya mwamba wake Kristo mitume n'a manabii, hapo mchungaji hajatajwa, Petro aligawa vitambaa n'a kupelekwa kwa wagonjwa n'a kipona, Mchungaji unakosea sana unapokosoa maono ya watumishi wa Mungu, Yesu alitumia udongo kuweka jichoni n'a kupona n'a mengi sana, hayo ni maono unakosea sana
@vaghoghontweki9827
6 ай бұрын
Acha kutuhumu mtu..ww ni ndugu yake Mungu hadi ufikie huko na kujua sana et.....
@GeorgeMkumbe
3 ай бұрын
Amen
@user-sy8dc6yx4h
6 ай бұрын
🙏 🙏
@JonathanJustin-qu4pz
8 ай бұрын
Ahsante sana
@FrorianiMlandali-zi5vd
Жыл бұрын
Kweli mchungaji hananja anajua sana ukimsikilza kam wew ni kiongoz wa din unaweza ukazan anakutusi ila huo ndo ukweli na hajitungii coz vyote vipo kwnye bible
@estonmnthali3719
5 ай бұрын
Amina kweri kabisa
@chiaseeds6919
Жыл бұрын
Nakukubali sana mpendwa
@brendamontego6059
Жыл бұрын
I love his teachings
@Peacemollel
5 ай бұрын
Jaman!!!
@user-ss1bj4yj2q
8 ай бұрын
Bigup Mchungaji
@user-xx5vs2dy7g
4 ай бұрын
Hananja uko juu
@lucasprochesi
7 ай бұрын
❤
@zebedayokatamaduni9676
5 ай бұрын
Safi sana mtumishi
@user-xj5ro3ze2x
5 ай бұрын
,kweli baba
@lucaschisamalo2852
Жыл бұрын
Mm nilishudia mke wa boss wangu kontena lilishika moto akatoa mafuta kila akimwaga moto unazidi zimamoto wakamwambia mama moto hauzimwi kwa mafuta
@Cianadvd1
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@bonifaceferdinand566
Жыл бұрын
Ila kweli mchungaji hananja,Yani Imani za Sasa hivi ushirikina,njoo na udongo tuuombee,
@margarethpolepole7438
Жыл бұрын
KZitem zenu bila kumhoji huyo baba biashara hampati huyo baba mchungaji ni kiboko
@angeldejoice3202
Жыл бұрын
Sasa Sasa unapinga asihojiwe ?
@joycejackson2320
Жыл бұрын
Kufunga ni kati ya mimi na Mungu wangu!! na wala sio kubadilisha muda wa kula! Mungu aliumba mchana na usiku kwa maana kubwa! usiku viungo vinapumzika ukivifanyisha kazi havifanyi kwa sababu ndio maumbile bure utaamka umechoka kwa mzigo uliobeba!! Majivu Hananja ni ukumbusho tu wa kwamba mimi ni majivu na mavumbini nitarudi! kama wewe unavyovaa mavazi ya rangi mbalimbali ukiwa kwenye lbada kama mchungaji yana maana mbalimbali! ni ishara flan so kila mtu ana theolojia yake hatuwezi kufanana kwa kila kitu! cha msingi ni kutenda matendo mema yale Mungu anapenda
@manjaruu1575
Жыл бұрын
Mzee we nomaa
@user-ry3ck2ms7c
4 ай бұрын
Wee mzee wakupe maua yako manabiii waongooo
@geofreymkwelele3588
Жыл бұрын
Msema kweli
@juliusroko3051
Жыл бұрын
Ubarikiwe kwa ufafanuzi mzuri kuhusu mfungo Mchungani.
@NelsonNorman-hm9vi
Жыл бұрын
Hawatotokea mitume wala manabii bali kutazaliwa watoto wenye vipawa
@ashtray1512
Жыл бұрын
Siwezi kwa kweli😂😂
@fatimafatima6796
Жыл бұрын
Kweli kabisa mtumishi wa mungu 🙏🙏
@mehboobdosa3719
Жыл бұрын
Safi sana
@joycekalembo2225
Жыл бұрын
Dah nimefarijika sana..unajitahd sana kuwaeleza wakristo ukweli,tatizo letu ckuhzi hatusomi biblia,jamani WAKRISTO BIBLIA ndio nguzo yetu sehem ya majibu yetu..jaman tusidanganyike na haya manabii wa uongo wanaotumia shetani.jaman jaman?!!
@katembenduto9560
6 ай бұрын
Mafunzo bora kwa watu bora na wenye hekima.
@sophiamhando7281
5 ай бұрын
Manabii wa siku hizi wanakukula hela alafu wanasema tunapeleka kwa baba ,watu wanavua hadi nguo eti nabii apite akanyage,eti na maaskari wanamlinda jamani .. Nachekaga mm😅😅😅😂😂😂😂
Пікірлер: 245