Sijaelewa Mungu atakuletea mwanaume au mwanamke mwingne kama utaachwa sijaelewa hapo na Mungu amesemaje mke mmoja na mume moja mpaka kifo sijaelewa mtumishi labda nisaidiwe
@user-im8pr5cj3n
Ай бұрын
Amina,umenitia moyo kwakweli wa kuto kukata tamaa najua nitashinda katika jalibu ninalo pitia kwa sasa 🙏🙏🙏🙏🙏
@EdmundMkombwe
Ай бұрын
kazi yako ni nzuri barikiwa
@dorcasdavid2247
Ай бұрын
Ameen Mtumishi wa Mungu,nakumbuka sn Ulipopitia na Ulipo sasa kwa kweli Acha Mungu Aitwe Mungu Tuuu.kweli Naamini Ni Marufuku Kukata Tamaaa.
@FhDg-mg1gn
Ай бұрын
Kweli wewe ni ushuhuda Tosha mtumishi wamungu kabisa mungo akubariki sana amen
@pascalinamukui8400
Ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu kwa kunitia moyo naomba mungu anibariki na ndoa ya heshima sitakata tamaa tena🙏
@KADALAtv255
Ай бұрын
Ninapokuona namuona Mungu lakini pia namuona Mh. Makonda daah Mungu ni mwema sana. Mke gani katoroka mbona alivumilia magumu yale jamani🥰🥰
@user-ii1qk9xn9z
Ай бұрын
Faith is a pillar. Never giver up even in a worse situation. kilichopangwa na Mungu lazima kitokee kwa wale wasiokata tumaini. Amina mtumishi, neema ya Bwana ikutoshe na uzidi kuelimisha ulimwengu.
@AnnaKanje-tw2rz
23 күн бұрын
Ahsante kunitia moyo Baba
@blessingsgeneral93
Ай бұрын
Mtumainie bwana mwenye nguvu na hakuna asilo liweza❤
@Shalom2018
Ай бұрын
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu kwa ushauri mzuri wa kutokukata tamaa
@re.emmanuelmdoe3345
Ай бұрын
Utukufu kwa Mungu juu Mbinguni atukutukuzwe Sanaaaa Yesu Kristo, Namshukuru Mungu kwaajili Yako P. Cassian
@FaithHozza
Ай бұрын
Pole sana kaka Mungu akutetee
@AidaRaphael
Ай бұрын
Asante YESU, barikiwa kwa ujumbe wa kututia moyo
@roselyneezekiel
Ай бұрын
I thank God for ever knowing you Paschal...... Be blessed always 🙏
@jameskilowoko7153
Ай бұрын
Pastor p.c.nakuelewa sanaaa na nafuatilia sana ideas zako.❤
@mafunzo
Ай бұрын
sijaelewa maana somo linasema sababu za mke wangu kukimbia alafu ndani ya somo nikutiana Moyo tu kulikoni kwani
@user-jo3cs3yu3o
Ай бұрын
Hapo umeongea Neno. Kukata tamaa ndo shida kubwa!!!
@EricMaingi-f8b
24 күн бұрын
Sitakata tamaa, ahsante kwa ushauri.
@scolarjapheth3249
16 күн бұрын
Barikiwa mtumish hakika nimepata nguvu mpya 🙏🙏🙏🙏
@FortinaLyaumi-br1ze
Ай бұрын
Amina ubarikiwe sana mtumishi
@user-vk5qp5gy2u
Ай бұрын
Kama umeweza kuishi mbali na wazazi wako. Utashindwa vipi kuishi kwa ajil ya mke au mme kakuacha wakat mmekutana ukubwan
@robertnkaragano298
Ай бұрын
Mungu akubariki sana Ev.
@NaomiAlai
Ай бұрын
Usiache uchungu upite bila malipo.umetisha mtumishi
@daudimichael7338
Ай бұрын
Hii naona wengi hawajaelewa, ni huyu mke wanaemfahamu aliyekuvumilia kipindi cha kukuuguza ulipopata ajali ndiye amekukimbia au ni mchumba wa awali uliyemchumbia ndiye alikukimbia, ndipo ukampta huyu aliyekuvumilia kipindi cha kukuuguza ulipopata ajali? Labda uje ufafanue zaidi.
@zuwenasalim2794
Ай бұрын
Huyo alikuwa yule mwanamke wakwanza
@bibishemartha4378
Ай бұрын
Mungu amupe zamiri ya kukuomba msamaha
@RozaliaSanka-kv5dy
14 күн бұрын
Nashukuru sana kwakunitia moyo
@jovettedenise2591
Ай бұрын
Mungu azidi kukubariki
@Janetyjanety-sj5gw
22 күн бұрын
Bibi yupi alietoroka ju tunae. Mjua alivumilia mangumu yote uliyo pitia na mungu amuzidishie niwachache kama yeye
@NaomiAlai
Ай бұрын
Tunis maumivu Kama kazi.big Up mtumishi
@JacquelineMamboya-we8on
Ай бұрын
Jamani Pascal Cassian,niliyekuwa namwona Msimbazi Centre miaka hiyo? Ee Mungu nakushukuru maana hamna kukata tamaa kweli.
@StahimiliMohele
Ай бұрын
Ubarikiwe sana
@TitoRufizi-xb2ub
Ай бұрын
Nimekuelewa sana,Mungu akubariki sana
@Stanley-vh6nz
Ай бұрын
Umenena vyema Mtumishi
@VivianMkumbo
Ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi.
@elizabethmwinzi342
Ай бұрын
Wow amen amen and aki najaribu God bless
@benadatemumelo8884
Ай бұрын
Waaaaau this is nice . Watching from Qatar
@benjaminwafula
Ай бұрын
Lipa ubaya kwa wema hiyo point naipenda mbarikiwa sana papaa
@Mathias-yi5bo
Ай бұрын
Kwa mara ya kwanza leo najua kuhusiana na 7up
@erickmpangala1814
Ай бұрын
Namimi aiseeee
@FaustineTz
26 күн бұрын
Ujumbe mzuri sana
@Sangaligospel
Ай бұрын
Barikiwa kwakunitia moyo
@janemhangomhango5841
Ай бұрын
Nakuelewa Sana Pascal
@NTEMI-OBURUDANI
Ай бұрын
Asante sana mtumishi wa mungu nimejengeka bara bara❤❤
@apostleelisha2994
Ай бұрын
Amina Amina natiwa nguvu
@AlfredJoseph-xx1nh
Ай бұрын
Mungu yupo nawe
@neemamsanga253
20 күн бұрын
kama ayubu,,,Kwa Imani alishinda wakina mtemani waliongea hakujal
@wilkisteregesa4845
Ай бұрын
Sifa na utukufu ni kwa Mungu mkuu
@judithnjunwa6668
Ай бұрын
Amen amen Iam beautiful 🎉
@sautiyamunguduniani4620
Ай бұрын
Amen sana
@user-mb4hv3ss1x
Ай бұрын
Ubalikiwe mtumishi
@PurityJohn-if4ei
Ай бұрын
Yeye mwenyewe bado hajatoka huko
@TwitikeMwakyonde
Ай бұрын
Amina,mtumishi,
@HalimaNgenzi
18 күн бұрын
Angalau umejiongelea hujawaponda watumish
@azizafrancine301
Ай бұрын
Nikweri mungi akumbariki
@jeanettegloria6244
16 күн бұрын
Amen
@directorwilly
Ай бұрын
Hakika haitatokea siku nikate tamaaa
@user-jx5ze9wz8e
Ай бұрын
Vizuri san
@ANYELWISYEGODWIN
20 күн бұрын
Kuna siku makonda alikabidhiwa mchango na Mtume MWAMPOSA Tsh m. 10 MIONGONI MWA wagonjwa aliowaombea na wewe ulikuwa ni MMOJA wapo. Unalikumbuka Hili mtumishi? Nami nilihudhulia ibada hiyo. Makonda kukabdhiwa. Mungu akutie nguvu.
@agnessndabhalu
Ай бұрын
Mungu azidi kikupigia na kukuinua hatua nyingine zaidi.
@agnessndabhalu
Ай бұрын
YESU AKUTETEE MTUMISHI NA ZAIDI HUDUMA YAKO IZIDI KUINULIWA.
@ABIGAIL67-tria
Ай бұрын
*My situation right now😢 I'm asking myself why my parents didn't work hard gor my better life now iam working for my kids and the same time working to take care of my mum . because no property my dad left😢
@abelsonda4486
21 күн бұрын
Hapa ndo Huwa wananichanganya watumishi ktk biblia hakuna kuoa tena labda mmoja wa Wana ndoa afariki......
@christinephilip5043
Ай бұрын
Amen amen🙏 🙏 🙏 🙏
@user-ep9by3ui1v
Ай бұрын
🤔mungu azidi kukulinda kaka
@germainndayishimiye8684
Ай бұрын
Amen Amen 🙏
@JaphetMwaipaja
Ай бұрын
Wewe mtu siyo wa kawaida
@AdamJonas-sx4mi
27 күн бұрын
Acha ujinga bana sasa kama ameona humufai tena chakufanya akae kwenye moto nikipi we naye
@GRACEOFJESUSCHANNEL357
Ай бұрын
Ameeeeeeen ameeen
@magneticofficialtz
Ай бұрын
Amen🎉🎉🎉
@user-dz8qh6yb2x
Ай бұрын
Amen🙏🙏🤝
@user-nl8os7lr5q
Ай бұрын
AMEN AMEN
@azizafrancine301
Ай бұрын
Amena mungu akuongezae
@erickmpangala1814
Ай бұрын
Nakuelewa saaaana EV Paschal Cassian.....Napenda saana Kazi zako Kakangu. Mungu akubariki saaana Kaka.
@nonveroniquejohn
9 күн бұрын
Siwezi ku jikatia tamah ao kuikatia tamaha jambo lolote
@FelistaFloriani
Ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi nimejifunza kitu
@King_Of_Everything
Ай бұрын
✌️👍🙏.
@BarakaSenior
Ай бұрын
Living testimony
@jeremiahcharles6027
Ай бұрын
Ameeeeeeen
@floraflora9490
Ай бұрын
Mbona hakukimbia ulipokua na pipe mtumishi uongo dhambi
@user-ub1jp3xv8n
Ай бұрын
Sasa uongo wake uko wapi huwezi jua yote
@estherkinyaga5172
Ай бұрын
Kasema mke wake wa kwanza hata hajawa maarufu. Nahisi baadae alikuja kuoa mke mwingine. Muwe mnasikiliza na kuelewa vizuri
@ButoyiMuseya
Ай бұрын
Mungu Haku bariki
@StahimiliMohele
Ай бұрын
Ubarikiwe sana
@SuzyMuhando-yf8do
Ай бұрын
Mungu nisaidiye kuwa Imani kama hii kaka paschal sitakata tamaa
Пікірлер: 88