Katika mapokezi ya katibu mkuu wa chama Cha mapinduzi CCM alipowasili mkoani Tanga
Akijibu maombi ya mbunge wa Korogwe katibu mkuu CCM Daniel Chongolo amesema atahakikisha Korogwe inapata mradi wa mabwawa ya umwagiliaji ikiwa Dhamira ya serikali ya kujenga miradi ya mabwawa kwa ajili ya umwagiliaji mkomazi inakamilika na kuanza kazi.
Негізгі бет KOROGWE WAPENYEZA NENO KWA KATIBU MKUU CHONGOLO.
Пікірлер