Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Tanga limepitisha rasimu ya Sheria ndogo zitakazo kwenda Mkoani na Tamisemi Ili ziweze kupitiwa kabla ya kutangazwa kwenye gazeti la Serikali na kuweza kutumika mwaka 2024.
Akizungumza wakati wa kikao maalum Cha baraza Mstahiki Meya wa Jiji la Mhe.Abdulrahman Shiloow amesema kuwa wajumbe wamepitisha rasimu ya Sheria na hivyo wanasubiri taratibu nyingine.
Wakati huohuo Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga Mheshimiwa Abdulrahman Shiloow amekanusha tuhuma za kununua mitambo hewani nyenye thamani ya Bil. 1.6 ambapo ameeleza hapa ameeleza zaidi.
*****
Негізгі бет HALMASHAURI YA TANGA YAKANUSHA UNUNUAJI WA MITAMBO HEWA HUKU BARAZA LIKIPITISHA RASIMU YA SHERIA
Пікірлер