Duhhh!! Mashaka yanatukwamisha wengi!! MUNGU akubariki mtumishi wa MUNGU aliye hai.
@NiceMuro
Ай бұрын
Barikiwa mtumishi Kwa ujumbe mzuri umenikumbusha mbali sana kwani maisha ninayoishi Kwa sasa NI Kwa vile niliona mashaka Kama nisingeona mashaka ningekuwa vizuri kimaisha
@lizpallangyo8057
29 күн бұрын
Mchungaji Mungu akubariki sana,tunakwama na kushindwa kuthubutu sababu ya kuona mashaka
Пікірлер: 9