According to me, Muhammad alitumwa aokolewe, but YESU alitumwa aokoe
@Emanuela-edmund
Жыл бұрын
Asante kwakuniokoa Bwana Yesu ,ninakuelewa sana mtumishi na Mungu akubariki sana 🙏🏾🇳🇴🇳🇴
@djumawilondja5850
Жыл бұрын
Asante kwa Ushuuda, Swali iwapo Unamavi mikononi na miguuni inanuka aho Ahinuki??
@koperawasona9551
Жыл бұрын
Amina toka kwenye uchawi amini yesu utaokoka
@koperawasona9551
Жыл бұрын
I’m from USA 🇺🇸 I love you Paul
@drnow1528
Жыл бұрын
Mchungaji huyu Yuko makini baraka za mungu ziwe nawe
@neemamsalege6325
Жыл бұрын
Davista ubarikuwe na ulindwa kwa Damu ya Yesu,tunasubiri mwendelezo mtumishi.
@Sarahsaid2648
Жыл бұрын
Nakili kwa kinywa changu ....Kwa YESU kuna raha nyie sijawahi kujuta tangu niokoke💃💃💃💃🙏🙏🙏
@princesysilivester5662
Жыл бұрын
Amen
@princesysilivester5662
Жыл бұрын
Atukuzwe mungu aliyeziumba mbingu na nchi mungu mwenye enzi yote
@abduomar8438
Жыл бұрын
Hata sisi wa mtume yesu kuna raha endelea kumuabudia mwanadamu mwenzako aliyekuwa hajakamilika km ww
@abduomar8438
Жыл бұрын
Ww unajisumbuwa ashura usikurupuke soma vitabu wewe mwenyewe utaona ukweli
@evalynenyambaka1002
Жыл бұрын
Thank you Jesus u are worthy to be praised
@rukiaosman18
Жыл бұрын
Nyinyi muna ukweli gani makafiri
@rukiaosman18
Жыл бұрын
But huyu akiwa hukujali dini kaye Atajali dini yenu no
@rukiaosman18
Жыл бұрын
Nyinyi dini yenu muna nunua watu Huyo sahi mpeni pesa mukikoma pesa zikiisha atarudi alfu yy atawa tusi nyinyi Makafiri
@rukiaosman18
Жыл бұрын
Eti munatusi uislamu huyo isa nimtume Wajinga nyinyi isa ni muislamu halalahi Washenizi wakubwa
@rukiaosman18
Жыл бұрын
Makafiri balaa subhanallah
@kingalyeko7576
Жыл бұрын
Waislam tupo pamoja 😂😂😂😂 baada ya hii story nita okoka kabisa aiseeee❤❤❤❤❤
@joycekaphevemba7215
Жыл бұрын
Ooh yes! Jina la Mungu litukuzwe
@slavohussein4494
Жыл бұрын
Itabid ukamiliwe jipu🤣🤣
@kingalyeko7576
Жыл бұрын
@@slavohussein4494 😂😂😂😂😂😂
@rukiaosman18
Жыл бұрын
Ww ninshenzi sana keleb mkubwa ww
@rukiaosman18
Жыл бұрын
Uliona waislamu tutakusiya ww Kafiri mkubwa ww
@plastidiacasmiry2234
9 ай бұрын
AMEN AMEN
@safiamother1202
Жыл бұрын
Endelea kutuletea Watumishi aina hii Davista channel hii itasababisha wengi kuokoka
@ngendakumanalewis1472
Жыл бұрын
Hii kweli kabisa ""Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako. Nasi tumekutuma kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha""
@ruthkithome7265
Жыл бұрын
Thank you ,may the lord bless you and empower you to continue sharing the truerh amen
@maxjofrey70
Жыл бұрын
Wahislam wao wanacho juaga nikubishana tu awapendagi kujifunza ndio mana mi uwa nawahacha wapige kelele iwengine uwanawapiga neno mbaka wana elewa 🙏
@husenimareja1907
Жыл бұрын
Alhamndulillah kwa kua muislam na Mungu kunipa fahamu ya kujua vitimbi vya shetani ila vitimbi hivi vitafika mwisho tu maana uongo haudumu.
@peterkitsao9429
Жыл бұрын
Ndugu fungua macho na akili tafakari kwa kina kisha utajua hujui.
@sumamelody6197
Жыл бұрын
Haya ndio matatizo yaku kufuru
@rebound2179
Жыл бұрын
Kutoa ujinga na upumbavu uliotawala akili za waliopotea kunawezekana tu Mungu akiingilia kati; awatoe kwenye minyororo ya Shetani. Wamefungwa, na hata ukiwaeleza ukweli, hawawezi kuelewa!😇😇😇
@drnow1528
Жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe
@dadafrida9202
Жыл бұрын
Ameeeeen
@naketizainabu7803
Жыл бұрын
Amen
@dodoted5033
Жыл бұрын
Asante Sana Mtumishi Paul,kuna mkristo sasa alokuwa mwislam ni mtumishi sasa na ni mkristo,aitwa Christian Prince yuko KZitem pia yeye amesema haya anayosema Mtumishi Paul. God bless,and let the truth be known
@joycekaphevemba7215
Жыл бұрын
Aamen utukufu tunampa Mungu
@drnow1528
Жыл бұрын
Tunabarikiwa Amen tunabarikiwa
@djwinnertz9787
Жыл бұрын
Yesu kuzimu ndio nyumbani kwake kwa sababu watu wake wote anawachukuwa kuzimu anaga uwezo wa kuwachukuwa waislamu wa kawaida uwezo uwo ana tuletee shuhuda ambayo yesu ajamtoa mchungaji wake kuzimu
@Monika-cp2gk
Жыл бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 asante kwa ushuhuda
@euphemiachaochao3171
Жыл бұрын
watching from Jordan
@drnow1528
Жыл бұрын
Hallelujah mtumishi Hallelujah
@fatumatandika6220
7 ай бұрын
Na ile Qur an kareem aliiandikaje kama sio Allah. Na Islam inamtambua Yesu kama ilivyo ktk maandiko na inamuheshimu
@jamesautomajorjimmy7895
Жыл бұрын
Kazi nzuri,niulize Tu Mohamed alikiwa ameoa na alikua na watoto ama
@eaglecrown1101
Жыл бұрын
Hayuko pekee yake alietoka uislam iran wakko warabu wengi wameacha uislam wale walioshindwa kuhama dini wameamia dhehebu la dini ya washia waislam wasiomfuata mtume mwamedi na wala hawamkubali mtume mwamedi.....
@jeniphatemu2937
Жыл бұрын
SIO UWASAIDIE WAISLAMU TU MTUMISHI WA BWANA, WOTE TUNAPOKEA MAZITO, HAKIKA NENO LA KRISTO NI WOTEEE, TUNAKULA MANONO MEZANI PA BWANA WETU YESU KRISTO.MBARIKIWE KWA KUTOA KWELI, TUNAPATA UHURU TOKA KIFUNGONI NA KUTEKWA.
@joelmutie2149
Жыл бұрын
Ubarikiwe Sana Mubarak
@ombeninnko9332
Жыл бұрын
Kuna watu wanavuliwa nguo hapa,wanajijua,nimeipenda hii😀
@habibadaudi8242
Жыл бұрын
Yani hata hunishtui
@lilhydon452
7 ай бұрын
Hehehe 😅😅 shekhe unamaanisha Muhammad alikua Marioo😂😂😂
@flm1530
Жыл бұрын
Part 6 please
@baranyikwamohammedamorosso5080
Жыл бұрын
Na wewe DAVISTA tumekushtukiya tayari mwanzo ulituzuga na contents za GAMBUSHI 😀 but nowadays tunakuona Sana contents zako zime base wapi, we unafkiri Hakuna wakristo waliosilimu na wanaweza kukupa ushuhuda wao na aya na adisi?? Watu wengi wanaskiya kile kinawapendezesha kuskiya but true is true bro! Muslim for life and we are safe bcz we knows we're we are...!
@shepherd1x84
Жыл бұрын
Ningependa kusema Muhammed alikufa ..hayupo popote aombewe msaada...he's a dead man only Christ died and rose again period!!
@williamuphilipo7447
Жыл бұрын
Imo nguvu ya ajabu ndani ya Jina la YESU
@joelmutie2149
Жыл бұрын
Mubarak anasema ukweli lazima waokoke
@rebound2179
Жыл бұрын
Kama Osama alikuwa anatokezea popote alipotajwa akipangiwa kuangamizwa, je, angetajwa katika zaidi ya kikao kimoja, angefika vipi kwote?
@monicasimpilu6257
Жыл бұрын
Mchungaji anaongea kwa hekima sana Mungu weru Muumba Mbingu na Nchi aendelee kuwatunza. Kwa kwel uchawi upo sana mikoa yote. Ila kigoma ni mwisho wa reli sijui sababu wapo jirani na Congo?
@abduomar8438
Жыл бұрын
Hahaha 🤣 wakiristo jamani hebu someni au njoni niwasomeshe bibilia na quran sio munadanganywa
@ngendakumanalewis1472
Жыл бұрын
Ndugu zangu huu Pastor mkweli sana kwa sababu mimi nilikuwa nikienda nae sambamba na haya zote alizo zitamka yaani ni ukweli mtupu , mheri ni anayetii maagizo yake maana anaongea na busara Pia na roho wa MUNGU
@ericfelician7996
11 ай бұрын
Nimeelewa kitu ,kumbe ndo maana waislamu ukimsema muhamadi vibaya wanapigana
@zuberkasim7150
Жыл бұрын
Nimekusikiliza kidogotu nimegundua elimu yako nindogo Sana acha kudanganya watu
@marianaduncan6330
Жыл бұрын
Nakupenda sana BABA yangu wa mbinguni YESU KRISTO milele na milele,usiniache mokozi wangu
@princesysilivester5662
Жыл бұрын
Yesu nakupenda ww watosha maishani mwangu hakuna kama ww yesu asante kwa kunikomboa
@Ali-ui7qh
11 ай бұрын
WW UNASIFA TATU MUONGO MNAFIK NA MWANDAAZIM HUNA AKILI UMESOMA KIARABU LAKINI.MATAMSHI HUYUI BROKEN WADANGANYE WASIOJUA NA UNASOMA YOTE HAKUNA KATIKA UISLAM HAYO MUONGO WW NJAA ISHAKUTOA AKILI UGALI TU MUONGO WW
@davydmlay3264
Жыл бұрын
Jinga sana hili jamaa na muongo
@ericfelician7996
11 ай бұрын
Usitukane leta hoja
@hamisikitwana7957
Жыл бұрын
MNAONA UONGO WANAONA LUGHA HAIN ANAONGEA
@lulumurphy9462
Жыл бұрын
Sorry, Kama kaamua kubadili DINI , is ok kila mtu Ana Uhuru wakufuata anacho kipenda, lakini asimponde kipezi chetu, Mtume wetu S.A.W Please
@athumanmpagama6259
Жыл бұрын
Ninaomba namba ya simu mubarakah
@janenjenga5639
Жыл бұрын
Hii injili naiwafikiye wengi waliyo fungwa kwa dini potevu.
@abduomar8438
Жыл бұрын
Ktk bibilia hakuna injili
@janenjenga5639
Жыл бұрын
@@abduomar8438 ni sawa siwezi bishana nawe
@JaneDoe-hf3zy
Жыл бұрын
Wewe sio Shekhar Tena wewe ume kombolewa Kwa neema ya mungu
@Ali-ui7qh
11 ай бұрын
MUONGO WW UMESOMA KIARABU NA MATAMSHI YAKO BROKEN MUONGO WW
@bonifasiemanueli21
Жыл бұрын
Davista hapo ktk Osama umerusha,ktk makubaliano ya Osama,
Wakat wa mwisho tutajua kwel tuchague wenyew sasa pakwendaa
@barakaharony4396
Жыл бұрын
Wamebananishwa waislamu kumbe kuna sulat Jini🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@arthurdelisle3894
Жыл бұрын
😂😂😂
@mwarabu55
Жыл бұрын
Sasa huyu anatoa simulizi au ana hubiri din.ekesha iyo quraan yenyewe kusoma haijui
@stejasatv7349
Жыл бұрын
Tupige kazi kama huyu mchugaji yesu mbele Kwa mbele
@obillaezra6205
Жыл бұрын
Osama Bin Laden Kumbe aliwahi fika Bongo Duh” hivyo hivyo Che quavara naye alifika, Fidel Castro, Mummar Gaddafi, na Yasser Arafat wote hao Ardhi ya Tanzania Wanaijua vyema”
@mamananga2849
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣alikula ugali na migebuka
@mysskibe
Жыл бұрын
Hitler pia alienda chuo gambosh 😅😅 Tanzania ni ma bingwa kwa uchawi lakini vile vile nafurahi kuona Mungu anafanya jambo Tanzania. So many of them are getting delivered from the kingdom of darkness and they're coming out to expose the devil! Hili jambo lanifurahisha moyo sana na napenda sana kuwasikiliza maana wanaelimisha kiasi hata hawawezi elewa. Mungu awabariki na awalinde 🙏🏾 ndilo ombi langu kubwa
@petermangale9314
Жыл бұрын
KUMBE TUNAELEWA
@juliuskalama2746
Жыл бұрын
@@mysskibe na haki dadangu umesema ukweli mtupu
@henrysizya239
Жыл бұрын
@@mysskibe kumbe Hitler nae alikula shule?
@cyantess8423
Жыл бұрын
eti unalewa 40 years? nenda bar hapa duniani we only live once useless heaven nimecheka kishenzi🤣🤣🤣
@musaissa7463
Жыл бұрын
Mpe Yesu maishaaa🖐️🖐️🖐️
@deadcrush
Жыл бұрын
Msalabani ni Kaka yake yesu. Yesu mkubwa alikimbia. Japan. Bado anafundisaha hindu na budhuisism. Jesus alikuwa totna familia yemnye watoto 46.
@elizabethmuia9839
Жыл бұрын
Kumbe Muhammad alikuwa MARIOO WA HADIJA 🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
@abduomar8438
Жыл бұрын
Tafuta bibilia na quran nije nikifamishe sio kusikia to
@nassircholo
Жыл бұрын
Shika adabuzako Davistar kama utaendelea kuleta watu waongo kama huyu basi utaona kitachokufika mimi nimefatilia kipindi chako muda mrefu na sasa imekuwa wazi kabisa kama unaipinga dini ya Uislamu. Itafika siku na wewe utapata adhabu yako kwa kushirika na hao walio nyuma yako walokuwa wanakusapoti
@igurusitv6553
Жыл бұрын
Duuh, uchawi wa kiislam ndio unaanzia hapa, ehee kwa hio kitamkuta nini?🤣🤣🤣
@Sarahsaid2648
Жыл бұрын
We nae mpumbavu ukiweza na wew si ulete watakaoupinga ukristo mimi mwenyew nilikuwa muislam km jina langu linavyosomeka lkn tangu mwaka 2019 nineokoka hakika nimemuona Yesu akitenda mambo makubwa na ya ajabu.......sijapungukiwa na kitu chochote nang'ara kila siku haleluyaaaaaaa🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@josephngunzu6473
Жыл бұрын
Naomba umhulize mtumishi, tangu aokoke je, katika familia yao ni wangapi waliokubali kumfuata?
@Sarahsaid2648
Жыл бұрын
Anaweza asiokoke mtu yeyote kwenye familia yake kwasababu uokovu ni neema mtumishi
@abduomar8438
Жыл бұрын
@@Sarahsaid2648 huyo ni muongo tu anawadanganya km nyinyi musiosoma
@elizabethmuia9839
Жыл бұрын
Mchugaji kuna Mtoto uko kwenu TZ, anaitwa Eunice litokewa na Maria mamake yesu, je ni kweli Mariam guvu zake sinatumika?
@musaissa7463
Жыл бұрын
Hiyo ilikua ni illusion mariam hajapewa mamlaka yakuwatokea wanadam so hiyo nisura ilokuja kwajina la mariam
@musaissa7463
Жыл бұрын
Thts was illusion
@peterpendaeli3989
Жыл бұрын
Nakusaidia mungu ni mmoja na yesu ni mwan wa mungu so yesu pekee ndio njia ya kweli na uzima wa milele
@annkim2690
Жыл бұрын
Huyo mtoto alitokewa na malkia wa mbingu sikiza ushuda wa Linda rika katika promover TV akisema Mariam ako mbinguni akicheza na watoto
@musaissa7463
Жыл бұрын
kwenye biblia hakunaga malkia wa mbinguni hizo ila yuko Mfalme wa wafalme hizo nistory tu zakusadikika.
@mamananga2849
Жыл бұрын
Mwisho wa story anatangaza kanisa lake
@farajomar2902
Жыл бұрын
Huyu ile laana ya machafu alioyafanya itamtesa sana haya yaskize hayamaneno 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 zuzuuuuu
@baranyikwamohammedamorosso5080
Жыл бұрын
Hapo ndipo Elimu yke inaishiya! Ninani alishawai kusema nauza au natangaza bizaa yangu nimbaya?? Muhammad is best ever and forever 👶 👧
@lulumurphy9462
Жыл бұрын
Kama umebadilli nichaguo lako kila mtu yuko huru. Lakini usitupondee mtume wetu sallalahu allah wasalam . Please
@chidrashid3797
Жыл бұрын
Uyu jamaa muongo tena mnafik na haya anayoongea apa atakuja kuyajibu sehem husika maana hana analoongea zaid ya uchonganish wa kidini anakosea sana uyu tapeli
@JaneDoe-hf3zy
Жыл бұрын
Ukweli una uma ila Kula dawa
@aprilking8250
Жыл бұрын
Waislam wote naokoka munasema ni waongo
@josephmusagasa5566
Жыл бұрын
Alilipiwa mahali au hakulipiwa? Ooh,marioo
@abduomar8438
Жыл бұрын
@@JaneDoe-hf3zy hahaha 🤣🤣 et ukweli wewe quran huijuw bibilia kidogo tu unaijuwa sasa kusoma hutaki sasa utajuwaje kasema ukweli
@slimshah9460
Жыл бұрын
Hebu tuonyeshe picha yako wwe na Osama mlipokua chuo mnafik wwe
@peterpendaeli3989
Жыл бұрын
Hàaaa he ww mungu awe mwongozo wa hatua zako najua ipo siku utaijua kweli na iyo kweli itakuweka huru mungu anakupenda sana
@juliuskalama2746
Жыл бұрын
Njoo kwa Yesu dadangu
@khalidyasinkhalid5944
Жыл бұрын
Yote yanini hata vyeti tu vya ivyo vyuo alivyosoma
@abumutwaira4892
Жыл бұрын
Quran yenyew hajuii
@obillaezra6205
Жыл бұрын
Mtu amesoma Elimu ya Dini ya kiislamu hadi kiwango cha PhD unasema hajui Quran? Unataka ajuaje? Wewe una kiwango kumzidi? Kiarabu anakiongea kama Kiswahili” Msikilize Kwa Makini ubishi weka kando kwanza”
@benjaminkiteleke8458
Жыл бұрын
@@obillaezra6205 ndio hajui, ( anesema walaa khalactul jinna wali insi ila liyaabuduni badala yakusema wamaa khalactul jinna wali inssa ila liyaabuduni) Davista kwa nini unapowaleta hawa wachawi usimtafute na shehe mmoja wakuwa anajibu uongo wa hawa watu tatizo hapo davista upo na side tayari. Either umtafute mpagai au muwe wawili katika kupindi. Pia kuwe na muislam mwenye elimu ili na yeye aulize maswali kwa hawa psycho/ maniac,
@wilsonmatunda4937
Жыл бұрын
Hii story haileweki kabisa!Hakuna ushahidi wa Bin Laden kutembelea Zanzibar! Mara Gadafi,hata Saddam naye huko huko, hebu nyoosheni hii story jamani!
@farajomar2902
Жыл бұрын
Ajabu yani hajielewi huyu
@cutecute5269
Жыл бұрын
kumamamayo nyote wawili wewe davista endelea tuu kuhoji wehu na vichaa kuna Siku na wewe utachizika mwisho na wewe uje kuhojiwa nyamafu nyinyi
@josephmusagasa5566
Жыл бұрын
Marioo
@magubomagubo2157
Жыл бұрын
Acha kutisha watu okoka
@josephmusagasa5566
Жыл бұрын
Ndo maana tunawaambia hiyo dini yenu ni kizungumkuti,sasa matusi ya nini? Unamtukana mtu mzima na msomi wa kiislamu,hujioni kama unakitu kinakupungua?
@eaglecrown1101
Жыл бұрын
Mumsamehe jaman sio yeye Mohammed aliwahikusemaa kwenye Quran kwamba majini yanalalla kwenye mapua yao waislam woote sasa inawezekanaa sio yeye anae tukana ni majini hayo ndio yanayotukana alisahau kuyatoa puani asubuhi😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣😜😜😜😜😜😜
@nyambochristelle7640
Жыл бұрын
Damu y’a Yesu naikuoshe na ayo matusi 🙏!!!
@saidissa8899
Жыл бұрын
Davista wewe mwenywe na akili zako haya maneno kweli yana kuingia kwa kichwa?
@designdesign4426
Жыл бұрын
yamuingie wapi mtu anamadigree n'a mi PHD ya dini yakiisla anasoma kolohani km kibogoyo alf anasoma,, huwa inahifadhiwa kichwani
@farajomar2902
Жыл бұрын
Maskini qurani yenyewe yamuumbua huwezi eti ulikua shekhe alafu urudi usome quran hivo upsidedown baba la wajinga kumbe pia ni tapeli
@officialkamdudu
Жыл бұрын
huyu tapeli bado anaendekeza utapeli wake wa toka miaka hio ?😅 halafu hiki kipindi mpaka matapeli wanakitumia kwa stories za kutunga ?
@petermwaibofu3260
Жыл бұрын
pole mkuu, wacha kipindi kipite!
@petermwaibofu3260
Жыл бұрын
huyo siyo tapeli alikuwa shehe mkubwa miaka hiyo ambaye ameokoka na kumkiri YESU kuwa BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA
@highzacknnko9685
Жыл бұрын
Kwani utaenda kuzimu wewe utaenda kuchomwa motoni wewe!!! Utachomwa wewe acha tukafie motoni kwa kumuamini Yesu kristo. Dharau tukana kashifu Mimi sitomuacha Yesu kristo nitasimama nae daima
@highzacknnko9685
Жыл бұрын
@@petermwaibofu3260 sasa anasikiliza utapeli wa nini? Leo wamekutana na mkali wao
@highzacknnko9685
Жыл бұрын
@@victorbeno leo wamekutana na mkali wao anapiga kote kote quruan na biblia!!! Jeshini tunasema juu kuna moto chini kuna miba
Пікірлер: 207