Tuliokoka vita vyetu si vya nyama na Damu Bali ni za Roho Mtakatifu, tunaye mtetezi na mpiganizi wetu Aliye Hai Yesu Christo Amina
@marianaduncan6330
Жыл бұрын
YESU KRISTO ni BWANA na mwokozi na hakuna Mungu mwingine zaidi ya yeye Utukufu na heshima ni Kwa BWANA YESU KRISTO milele na milele amini ukombolewe
@designdesign4426
Жыл бұрын
Ata mjinga anazeeka ,usome uarabuni tena na osama alf ulivyoisoma iyo sura ,yani uchafu mtupu labda wapumbavu wenzako wakila kitu ,Amen, amen
@dodoted5033
Жыл бұрын
Wewe limbukeni,sasa design ndio jina gani? Ndio maana wajificha,kama mwanamme kamili ungeweka picha yako.
@pericymnyamoga3859
Жыл бұрын
Usiumie kaka hata wewe utaokolewa
@elizabethamon7454
Жыл бұрын
Pole acha makasiriko ukweli utajulikana tu
@abdullahmakubi7
Жыл бұрын
@@dodoted5033 ww Unataka kuiona sura yake ya nn
@koperawasona9551
Жыл бұрын
Yani osama alikuwa rais wa inchi gani?
@koperawasona9551
Жыл бұрын
Nikweli Muhamed alikuwa na kifafa alirongwa na mtu wa nyumbani kwake alipo sema kama nimtume akamjaribu uchawi ukamwingiya kirahisi ndipo alipomwambiya wewe siye mtume kama uchawi umekuiigiya kirahisi ivi siwezi kukufata
@drnow1528
Жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe
@Philipoupdates
Жыл бұрын
Amen amen za uzima
@leahkaruga5522
Жыл бұрын
Amen Amen Ameeeeeen
@patrickmaina5459
Жыл бұрын
Amina 🙏
@Sarahsaid2648
Жыл бұрын
Amen
@bobkariz5663
Жыл бұрын
Amina
@stejasatv7349
Жыл бұрын
Huyu mchugaji sio wakawaida ameonana Osama🖖🖖🖖
@mamananga2849
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@rebound2179
Жыл бұрын
Shekhe umefanya vizuri kufunua kuwa Uislamu una madhehebu na tofauti za imani, kwa sababu waislamu hujifanya kuwa hawana mgawanyiko. Pls thibitisha pia kuwa hata Quran ni aina nyingi😇😇😇😇😇
@mchopacalvin2986
Жыл бұрын
Yaani waislamu inawauma mpaka wanakataa
@highzacknnko9685
Жыл бұрын
Yaaaani nilikuwa namngoja huyu shehe kwa hamu leo washirikina watapasuka huku leo
@amishambar3418
Жыл бұрын
Umeonaee
@louisejeanne8306
Жыл бұрын
Kazi wanayo 😅😅waje kwa yesu hawajachelewa bado
@samjosh12
Жыл бұрын
Sheikh alikuwa na balaa sana, kila akiloga, ananaswa 🙂
@highzacknnko9685
Жыл бұрын
Mungu alikuwa anampenda sana ndio maana alikuwa anamfuatilia
@jafaryjey
Жыл бұрын
sio kila sehemu alikuwa anakamatwa bali wengine ambao hawana Yesu mioyoni mwao alikuwa anawafanya atakacho,
@mysskibe
Жыл бұрын
Hiyo siioni kama balaa ila kama bahati
@evelynekomba7216
Жыл бұрын
Yesu alikuwa anampenda
@khalidijumanne9655
Жыл бұрын
Shekh hasemi ukweli,na zote hizo ni laana za mambo ya kichawi.
@drnow1528
Жыл бұрын
Kazi nzuri Davista
@joelmutie2149
Жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe usahau kuwaambia wasiweke msalaba makanisani hata kuchora madhabauni Ni laana Ni hukumu
@flm1530
Жыл бұрын
Part 5 please
@Emanuela-edmund
Жыл бұрын
Full burudani na huu ushuhuda 🇳🇴🇳🇴
@simonnsengiyumva1000
Жыл бұрын
Kweli kabisa hiyo , nawakati wanavo iga jinsi yakumuuwa Osama hâta wale wanajeshi walikuwa wakijitayarisha bila kujuwa ninani wataenda kumuuwa,nayeye Osama aliitwa JERONIM ndiyo alivo itwa ,nikama hovo ,ndio kwamana walimuuwa Bila kujuwa. Nakufwata kutoka 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@veronicahkhaikwa4929
Жыл бұрын
Hata mimi nataka kuokoka nijue ni nani aliharibu ndoa yangu
@Sarahsaid2648
Жыл бұрын
Karibu sana mimi ni muislam lkn nlipata neema ya YESU NIKAKOKOLEWA
@evelynekomba7216
Жыл бұрын
Karibu, lkn usiende kwenye mafuta na maji
@aboudjuma523
Жыл бұрын
Sema mzee aneza kuandaa movies
@aboudjuma523
Жыл бұрын
Hapo sijajua vizur.. Anaongelewa Osama yupi😀
@isackserikali5096
Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@mamapanya9807
Жыл бұрын
Hili la waislam kusafiri kimiujiza ni kweli hata shekh walid alilithibitisha
@cynthiamuli7258
Жыл бұрын
Waislamu muokoke...acheni kujipumbaza na kukaa mnakataa ukweli....
@koperawasona9551
Жыл бұрын
Waislam karibuni wote niwachawi iyo aipigiki tena wazee wa kislamu uwa na lala kigono na wake wawatoto zao yani warekazi pili upenda kuowa watoto wadogo ili ukimtamani mkewake akuronge
@samjosh12
Жыл бұрын
DM, Je, akiwa Uarabuni alikuwa hafanyi uchawi na akina Osama?
@davidmikango4822
Жыл бұрын
19:00 anausema uchawii amemfanyia osama
@naserianmainoya5548
9 ай бұрын
Ni maneno gani mtume aliyasema alipokuwa kwenye hali ya kuanguka kifafa yaliyosababisha mgawanyiko wa madhehebu? Hukumalizia
@koperawasona9551
Жыл бұрын
Iyo nikweli ukweli saaaasssna kuna mama alitowa doctors Congo kwenda chukuwa dawa marekani sekunde moja uchawi upo
@commandorsrlo175
Жыл бұрын
Kitambo san huu jama ahsante kumleta ten hewani
@farajomar2902
Жыл бұрын
Huyu yale machafu aliowafanyia wenzie ile laana ndio yamuumbua sasa fikiria ww eti utoeke na mtt wa bilionea ndani saudi alafu kuwe kimyakimya tu hivi iko iyo kweli
@mamananga2849
Жыл бұрын
Ndio kwanza leo nasikia Muhammad ana kifafa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@petermwaibofu3260
Жыл бұрын
utasikia mengi,
@khalidyasinkhalid5944
Жыл бұрын
ALLAH akusikie na magonjwa unayomzushia nakurudishie hakika yeye yukaribu kuliko mishipa ya shingo
@habibadaudi8242
Жыл бұрын
Hakika
@highzacknnko9685
Жыл бұрын
@@habibadaudi8242 kwahyo mbona unapenda kutukana na kukashifu imani za watu jamani kama wewe muislamu umefuata nini huku
@henryosoro7696
Жыл бұрын
Khalid okoka ..ukule matunda ya mungu ya roho mtakatifu
@simonrevelian7278
Жыл бұрын
@@habibadaudi8242 Habiba bado hujaamini tu??? Victoria Msomali, Adam Haji, Shehe omary, Shehe Rashid, Shehe Mubarak na wengneo Kila mmoja amekutana na Jemedari na Mungu Mkuu Yesu kwa namna yake, wewe nani hata usiamini!!! Iko siku utakutana na Yesu na wewe utakuja kutushuhudia hapa..maana naona Yesu anakutafuta sana ila unaufanya moyo mgumu
@mchopacalvin2986
Жыл бұрын
Kwa Kweli ukweli unatabia ya kuumiza watu
@rithasimoni6212
Жыл бұрын
wakwanza
@abbyadams8691
Жыл бұрын
Muislamu akupeleke Mahakamani! Mbona mngemalizana hapo hapo.😄😄😄
@heritier5119
Жыл бұрын
Osama alikuwa mpumbavu tu badala ya kujenga mashule vyuo anajenga makundi ya kigaidi
@hamidgirrafe3708
Жыл бұрын
Wewe mzee umefata pesa uko tu halafu umerongwa wewe chizi mungu akulinde mchawi wewe
@juliuskalama2746
Жыл бұрын
Hata wewe Davista utaokoka kikweli kweli maana hizo shuhuda unazoshuhudiwa nawatumishi wenye shuhuda nzito hivyo utakuwa makini
@wazomyakinifu2301
Жыл бұрын
Pamoja na kupata shuhuda hizo bado siku kabebwa na wachawi bado akawa ati anaomba kwa la Yesu na la Mohammad ili wamuokoe. Tangu lini Mohammadi akawa sawa na nguvu ya Yesu?!
@michaelassam5789
Жыл бұрын
tunaomba hizo aya na sura husika ktk quran
@barick
Жыл бұрын
Jiepushe na kula au kunywa kwenye kamera . Kipindi unafanya dakika30 mnashindwaje kujizuia kunywa na kula?
@ZAMB334
Жыл бұрын
inamaana osama alikula ugali na mikebuka😂😂😂 kigoma
@henrysizya239
Жыл бұрын
Unashangaa Osama mbona hushangai waraabu waliopo hapa bongo ambao wanakula mpaka mrenda.
@florencerose859
Жыл бұрын
Kama Osama alikwa na huwezo hiyo mbona aliwuawa??
@habibadaudi8242
Жыл бұрын
Ndo hapo sasa
@highzacknnko9685
Жыл бұрын
@@habibadaudi8242 kwani kuna mtu anakosa mbabe wake? Kwani nguvu ya shetani mbona imezidiwa na walokole ,tukiomba washirikina wanakimbia na tunavunja vikao vyao
@f.alovely6419
Жыл бұрын
Maombi
@arthurdelisle3894
Жыл бұрын
kwaiyo wewe haujamsikiliza alivyosema watu walifanya maombi au?
@ndikumasabodiegovevo9091
Жыл бұрын
Kumb Osama kasha fika bongo😁😁😁
@mamananga2849
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@drnow1528
Жыл бұрын
Mchungaji huyu ana maono
@husseingabo5497
Жыл бұрын
Hakuna Aya wala Hadith hakuna hata katika vitabu vya historia kuwa muhamad ameshawahi anguka kifafa na kama sio muongu davista mwambie kesho atuletee ushahid wa Aya au Hadith inayosema kuwa muhamad kashawahi kuanguka kifafa muone kama ataleta hayo ni maneno yake tu kasema yeye hakuna kitu kama hicho kama huyo ni kidume kweli tuletee huo ushahid
@theresiakasandatedi5341
Жыл бұрын
Nyie wabishi sana nani aloe waroga?
@theresiakasandatedi5341
Жыл бұрын
Mpeni Yesu maisha
@husseingabo5497
Жыл бұрын
Sisi hatutaki blabla tunataka ushahid na SI vinginevyo hizo propaganda zenu zisizokuwa na ushahid hapa hazina nafasi hapa tunataka aje na evindance polojo tu bila evindance hapa hazina nafasi
@musaissa7463
Жыл бұрын
Muulize uhusiano wake na hayatola haminie ulkuaje,alvyokua iran?
@farajomar2902
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 bokoboko eti Michele na mchuzi mzito abujahal wa africa huyu hajielewi maskini mara mohd alikua na kifafa
@abisairobert4864
Жыл бұрын
NAWEWE MTANGAZAJI INABIDI UOKOKE SASA.
@davidmikango4822
Жыл бұрын
😂😂
@omarkombo3474
7 ай бұрын
du jamaa muongo sana yaani alimsomesha osama hata quran kusoma hajui huyu anasema quran imesema mtume alikua na kifafa , aseme jina la chuo alichosoma na usama, atoe ushahidi alipokua chuoni atoe na cheti aliposoma elimu hiyo .pia anasema muafrika peke yake, shame on this guy
@pazi8207
Жыл бұрын
Kwanza kusoma ujui
@Philipoupdates
Жыл бұрын
Nani hajui acha makasiriko okoka tubu Yesu anakupenda
@husseingabo5497
Жыл бұрын
@@Philipoupdates huyo ni muongo tu kama waongo wengine
@husseingabo5497
Жыл бұрын
Hakuna Aya wala Hadith na hakuna hata katika vitabu vya historia kuwa muhamad ameshawahi kuanguka kifafa hayo ni maneno yako mwenyewe na kama una ushahid wa kimaandiko tuletee kama we ni kidume kweli leta ushahid wa kimaandiko wapi mtume aliwahi kuanguka kifafa ? Kafiri mkubwa weee unataka kudanganya watu hapa
@Philipoupdates
Жыл бұрын
@@husseingabo5497 muhongo Ni wewe usiyetaka kuokoka na kukubali kwamba Mohamed na uislamu Ni uchawi
@highzacknnko9685
Жыл бұрын
@@husseingabo5497 kwani tukidanganywa utachomwa wewe jehanamu ya moto,utaenda kuzimu wewe kaka? Acha tuende kuzimu tukachome moto sisi? Kwani wewe nini kinakiuma sisi kwenda motoni
@rajabamis1135
Жыл бұрын
Huyu bwana jamani ni mrongo sana. Nadhani na huyo anaemuhoji simjinga wa historia za dini. Mimi ni mkiristo, akini mambo ya Dini ya ki Islam tunayajuwa. Huyo bwana anaongopea
@annaandrea2812
Жыл бұрын
Wewe ni mkristu
@rajabamis1135
Жыл бұрын
Mimi ni mKristo usijali jina. MKristo aliebatizwa kwa Jina la Yehshua Messiah.
@aprilking8250
Жыл бұрын
Sema Yesu achana na yeshua
@rajabamis1135
Жыл бұрын
Akini sasa King. Yesu ni jina la Muokozi Wetu kwa lugha ya kiswahili sio? Before His Name was translated into gentile languages, Mary pamoja na Joseph walimwita jina gani? Bila shaka walimwita Yeshua kwa kiyahudi. It's Ok, kumwita Yesu ninakubaliana no problem. Akini why una reject Yeshua?
@meenalaza2839
Жыл бұрын
I'm proud to be Muslim mpka kifo
@husseingabo5497
Жыл бұрын
Kitu kingine amechodanganya et mashia hawamuamin muhamad kama mtume wao davista ukamuuliza swali inakuwaje hawamuamin muhamad kama mtume wao na wakat katika ibada zao na swala zao wanatumia kitabu hicho hicho Cha muhamad ? Nyie wenyewe ni mashahid mmeona jinsi gani amevoshindwa kumjibu Davista ndio mjue njia ya muongo siku zote huwaga ni fupi yaani unadanganya mpaka unaumbuka ndio nini?
@highzacknnko9685
Жыл бұрын
Brooh acha kukataa kila kitu ni kweli kabisa washia na wasunj huwa hawaelewani lakini unajua lakini unakataa kabisa? Ngoja nikuulize je washia na wasuni huwa wanafanana kila kitu?
@husseingabo5497
Жыл бұрын
@@highzacknnko9685 wewe hujajibu hoja yangu inakuwaje mashia kuwa hawaamini muhamad kama ni mtume wao halafu mashia haohao watumie kitabu Cha muhamad kwenye ibada zao we unaona inaingia akilini ? hiyo ndio hoja unatakiwa uijibu na SI vinginevyo jibu hoja acha polojo
@husseingabo5497
Жыл бұрын
@@jesuspower2390 hoja yangu hamjajibu acheni kuluka luka
@highzacknnko9685
Жыл бұрын
@@husseingabo5497 " mimi siwezi kujibu hoja maana mimi sio muislamu na ukiachana na hilo nilikuwa nasikia washia na wasuni,na nilikuwa nasikia suala la hussein mjomba wake na mtume? Lakini ngoja nianze kufanya utafiti nitakujibu hapo mpaka nifuatilie maandiko na nakala mbalimbali?nitakurudia na kukujibu. Kusoma kitabu kimoja sio tija! Kama wanasoma kitabu kimoja mbona itikadi tofauti? Hawa wanavaa suruali fupi na hawa ndefu huo mgawanyo umetokea wap?
@farajimtoi9238
Жыл бұрын
@@highzacknnko9685 inatakiwa kwanza ujiulize kwanini walokole, sabato, roman na zingine. Je wanatumia vitabu tofauti, wana Yesu tofauti? Ukiwa unataka kupata elimu usitangulize hisia za imani yako ksb hutaelewa. Huyo mchungaji kwa mtu ambae sio muislamu atamuona yuko sahihi lakini kwa mtu muislamu anaona kabisa story ni ya kutengeneza ksb hata matamshi yake sio ya mtu aliesoma kwa elimu hiyo anayoitamka.
@abbyadams8691
Жыл бұрын
Muislamu akupeleke Mahakamani! Mbona mngemalizana hapo hapo.😄😄😄
Пікірлер: 142