Wadau wa sekta ya uvuvi na bahari wamepatiwa mafunzo ya kulinda na kuhifadhi rasilimali za baharini na kufanya uvuvi wenye jita na faida bila kuleta madhara kwenye viumbe vingine.
Akizungumza na wadau hao mkuu wa mkoa wa Tanga Mhe. Dkt Batilda Burian wakati wa uzinduzi wa mafunzo hayo amewataka wadau hao kulinda matumbawe ya samaki Ili uhai wa bahari uendelee kuwepo na kukuza uchumi wa nchi kupitia mazao ya bahari.
Негізгі бет RASILIMALI ZA BAHARI ZILINDWE KWA MANUFAA YA VIUMBE VYA BAHARINI
Пікірлер