Ameeen baba nakupata kutoka zanzbar unguja wew ni zaidi ya almasi katika kipind hiki ambacho wachungaj wengi wameacha kusema kweli ya Mungu
@hildermmbosh4793
5 ай бұрын
Hallelujah Hallelujah Amen na Mungu akujazie neema zaidi ya kunena kweli wake kwa nguvu, mtumishi barikiwa sana, na Mungu atusaidie sana, maana ata mm sai nikitazama dunia nahisi najawa na uoga.
@JudithJacob-e8f
2 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi lazima watu woote wajue YESU analudi
@FloraMasika
4 ай бұрын
Ameen ameeen .barikiwa mtumishi
@RehemaZephania-t5l
5 ай бұрын
Mungu azidi kukutumia mtumishi wake
@NuruMpyanga
5 ай бұрын
Mungu akubariki baba
@mariamgaya4206
5 ай бұрын
MUNGU akuepushe na mabaya na kwa injili hii MUNGU akutunze kwa ajili yetu kujifunza zaidi sababu tunazitamani kuzisikia injili za hivi kila saa
@KeflinSingogo
5 ай бұрын
Nikisikiliza nyimbo zako , mahubir yako najikuta kujua hata jinsi ya kupambana na adui hata nikiw pekeangu
@amosijohn987
4 ай бұрын
Ameni ameni💚
@fredykiluka6606
5 ай бұрын
Amen mtumishi nipo nawe mpaka mwisho
@mkalma-i4q
5 ай бұрын
Amen 🙏🙏
@RobsonEnock
Ай бұрын
Pambana mpendwa ktk kuihubiri injili maana ni nyakati za kurudi kristo yesu endeles😮 kuisema kweli ya mungu.
@JudithJacob-e8f
2 ай бұрын
Injili yamilele isonge mbele watu woote wajue YESU analudi
@mkalma-i4q
5 ай бұрын
Mimi ni mkenya niko saudi nimeamua kumpokea YESU na kazi zake zote😭😭🙏🙏
@mch.abiudmisholi
5 ай бұрын
Ameen,Mungu akubariki sana. Zidi kusimama katika imani
@GervasProsper
5 ай бұрын
Mungo akubariki baba tuko pamoja
@MagrethFabian-ly8lq
5 ай бұрын
Amina 🙏🙏
@queenelizabeth-kg9jj
5 ай бұрын
Amina
@LucyKapinga-fg4dk
5 ай бұрын
Ameeen
@Deuselectronic007
5 ай бұрын
MUNGU azidi kukutunza baba yetu wa kiroho, 🙏
@mch.abiudmisholi
5 ай бұрын
Ameen,Nawe pia
@hildermmbosh4793
5 ай бұрын
Hallelujah Hallelujah Amen na Mungu akujazie neema zaidi ya kunena kweli wake kwa nguvu, mtumishi barikiwa sana, na Mungu atusaidie sana, maana ata mm sai nikitazama dunia nahisi najawa na uoga.
Пікірлер: 22