MWANA FA ni lengend wa🎶 na pale ajaenda kama mbunge ,, steven unaropoka ovyo mambo ya vyama vinausiana nini na mziki, rudilia ngoma ya FA Mutazidi kuongea aliotowa 18/05/2009 ndio utajua kama jamaa ni Genius
@officallymbonde9257
2 жыл бұрын
ngoma inaitwaje mkuu
@esombommambelwa6809
2 жыл бұрын
Msiache kuongea
@imma_billy
2 жыл бұрын
Kwa speech hii… Nimegundua Steve hafai kuwa msemaji wa wana Muziki.
@bhaleeali8459
2 жыл бұрын
daah STEVE AKE anaongea sana yani huyu ni mwanasiasa 100%
@nicolenabintu2509
2 жыл бұрын
Yani nime liheshimu leo li tivu ake shikamo ♥️👌
@philej
2 жыл бұрын
Ndio uongee kama Nyerere sasa
@rajabdibwa6415
2 жыл бұрын
Usilazimishe Steve muungwana akivuliwa nguo huchutama. Achia ngazi kistaarabu
@silverman6930
2 жыл бұрын
This guy spoke so eloquently… and I’m sure he can do a great job 👏 🇬🇧
@sonnyr1899
2 жыл бұрын
Nahisi anapigwa vita kwa kuwa hana kipato kikubwa ila hata mimi naona huyu jama wakimpa nafasi anaweza fanya kitu.
@javanwatson6675
2 жыл бұрын
nope.. he's reading from the paper
@silverman6930
2 жыл бұрын
@@javanwatson6675 nothing wrong with that
@kwisa4899
2 жыл бұрын
Steve kaupiga mwingi sana watu watamwelewa baadae sana FQ akili nyingi sana 👍
@DurahRich
2 жыл бұрын
Sawa kaka Steve, umesema toka mwanzo ulikua huutaki huo usemaji baada ya ushawishi mkubwa ndo umekubali na ni sawa msemaji wa mziki hasemi yake bali anatumwa na bodi, sawa msemaji hana mshahara, lakini hao unaoenda kuwasemea HAWAKUTAKI kiungwana ungerudisha moyo wa kua msemaji uache wao wafanya mchakato wowote ule kumpata msemaji wao ili kuepusha matatizo, mfano vitu mbele vikiwa vinafeli watasema tuliwambia steve hatufai hata kama the cause-roots sio wewe, ko kama mpenda maendeleo kwa sanaa hii achia kiti kuna ulazima gani na unanifaika na nini kwenye hicho kiti??? Jishushe tu mzee
@silverman6930
2 жыл бұрын
He’s definitely msemaji Huyu jamaa … he deserves the Job 🇬🇧
@pichunakichuna2111
2 жыл бұрын
He is not on pay list is doing it for free
@silverman6930
2 жыл бұрын
@@pichunakichuna2111 true it’s like a charitable work
@erickzephania1030
2 жыл бұрын
Watanzania mnaelewa maana ya msemaji..? Au mnajua msemaji anaongea yanayotoka kichwani kwake..!?
@delphinkakudji
2 жыл бұрын
This one right here 🙌🏾 good question
@benjaminkangolo2017
2 жыл бұрын
Mimi kama mimi shabiki wa bongo flavor nime mchaguwa steve
@juliusone5348
2 жыл бұрын
Mchague tu aje akuongoze nyumbani kwako
@rockyvlogs2214
2 жыл бұрын
FA hakuongea kama mbunge aliongea kama mwana mziki wa Hiphop
@benjaminjulius8021
2 жыл бұрын
Mziki hauitaji siasa ila naona mwamba anapita kwenye siasa.
@pichunakichuna2111
2 жыл бұрын
Steve is the right man definitely, Huyu ndio msemaji sikachoka kumsikiliza 🔥🔥🔥👋👋👋❤️❤️
@kitarafrankee4851
2 жыл бұрын
Kaka hujui kitu wee kaa kimya kwa usemaji gani alokuwanao
@mikidadiyusuph8535
2 жыл бұрын
Sasa kama hulipwi wanakuhalibiaje ugari wako tivu?
@wardw3022
2 жыл бұрын
Wewe Steve kumbe siwe muungwana kabisa muungwana akivuliwa nguo huchutama hasimami wima akaonyesha uchi wake nakushangaa mie
@silverman6930
2 жыл бұрын
And I can see this helping this dude getting elected by the president very soon … she is watching 😃
@christercheru8328
2 жыл бұрын
Hongera Sir Nyerere . Toka Kenya
@timochazze9845
2 жыл бұрын
Ugali ni mbaya sana kweli njaa ni noma sana
@dullahyunusu3072
2 жыл бұрын
Imagine huyu ni mtu ambae baadhi ya viongozi huwa wanatamani apate nafasi flani ya uongozi hapa anabwabwaja tu Hana hoja zaidi ya kufoka mbama mwana fa na wakazi wamepinga kwa hoja na sio kwa makelele Kama haya anayopiga hapa.
@allymachejo2996
2 жыл бұрын
Make apo ngoja kwanz nicheke 😂😂😂 atak kung'atuka
@saumusalimuhassan2499
2 жыл бұрын
😀😀😀
@saumusalimuhassan2499
2 жыл бұрын
Ugali si mchezo 😀😀😀😀 Eti sing'atuki, anaongea sana mpaka anapoteza point 🤔
@messaabbas739
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣vichekesho aki but it's bongo,, always on funny,,poleni lakin uyu Steve hakustahili kabis kwa mtazamo tu I don't know why,, 😃😃😃😃
@BETConlineTVTZ
2 жыл бұрын
WATANZANIA WENZANGU TUMUUNGE MKONO STEVE SABABU ANAO UWEZO WA KUWAFIKIA WATATUZI WA MATATIZO YA SANAA NAMAANISHA MAMLAKA HUSIKA. HUYU ANAUWEZO WA KUKAA NA VIONGOZI WOTE NCHINI SABABU ANAJUA KUJISHUSHA. LET US FOCUS UPON HIS STRENGTH.
@ireneisack6671
2 жыл бұрын
Hawezi hawezi
@kambugarakim4840
2 жыл бұрын
Kwel nafasi inamfaaaa
@aishaally4831
2 жыл бұрын
Anafaa sana namkubali stivu
@mwanahawarajabu1837
2 жыл бұрын
Akupendae nan we
@abdullmajengo9690
2 жыл бұрын
Kama hamna masilahi mbona unang'ang'ania sasa
@joshmangi
2 жыл бұрын
Haya ni matokeo ya WaTZ kupenda mzaha sana, kila jambo limekaa kimchongo tu.
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA
2 жыл бұрын
I agree
@mussahancy6591
2 жыл бұрын
Wewe unaondoka wewe huwezi kuwa msemaji wa mchongo,wewe nenda kwenye bongo movie
@tumlakimwaitumule
2 жыл бұрын
Personal attack za nini? Hii sio siasa mzee baba Toka,hapa hakuna msemaji
@robertmisako9443
2 жыл бұрын
Asa wewe ndugu STEVE ni msanii umeimba nyimbo zipi ziko wapi,kwanin usinge enda ukawasemea watu wa movie? Achana na mziki wewe hawakutaki
@imanimtumbi9670
2 жыл бұрын
Kwenye hii Steve umekidhalikisha Chama cha Mapinduzi
@scholamodestus9386
2 жыл бұрын
Kanaongea haka dah ndio mana wanakadharau
@irakoze5268
2 жыл бұрын
Aca kusema sana kama vile uko unahubiri wamekukataa sasa kaka wapishe tu 😂😂😂😂 n najuwa roho inakuuma san🤣🤣😂😂
@mwanahawarajabu1837
2 жыл бұрын
Tatizo huna content
@mwanahawarajabu1837
2 жыл бұрын
Kama ulikataa naleo hutakiwi ondoka acha kujikomba bwana we we
@abdallahally1309
2 жыл бұрын
Mm nauliza jamani kwani apo Pana pesa kwa mwez bey gani mbona wanatoleana macho jamani lakin stive yupo full pakege chuki ya nn
@frankyohana208
2 жыл бұрын
Kuongoza kundi la watu ambao hawakuhitaji ni kazi sana" we steave haunakazi nyingine ya kufanya...???
@dullahyunusu3072
2 жыл бұрын
Kitendo Cha kung'ang'ania tu imeonesha dhahiri hupaswi kuwa kwenye nafasi hii
@christinenibampa2675
2 жыл бұрын
tivu ake ameupirwa nyingi, Big brain tivu
@allyrasi3515
2 жыл бұрын
Hii nchi inawatu wa ajabu Sana hakiri ndogo inalazimisha kuiongoza hakiri kubwa , unaongea ugoro tupu
@fatumasaidi2592
2 жыл бұрын
Yani na vile kifupi bc dah
@shedracksteven3183
2 жыл бұрын
Apo ngoja nicheke kwanza maana Steve ni wa hovyo Sana'a 😂😂😂😂😁😁😁😁😂😂
@raphaelmramba4573
2 жыл бұрын
Kwani mshahara wamekuandalia kias Gani mpaka iwe hivi kama vipi puuza achana nayo maana " SHIRIKISHO NDO WANGEONGEA ZAIDI KULIKO WEWE KUONGEREA KWA NGUVU "
@rsautoservice984
2 жыл бұрын
Steve tano TENA...
@suntzu8959
2 жыл бұрын
Siasa kwenye muziki
@denisimaliyaweni9183
2 жыл бұрын
Hakuna kung'atuka mzee huo ni ugari
@happynjukiz6495
2 жыл бұрын
Atatoka Tu kwani atalipwa na nani
@khadijambuya794
2 жыл бұрын
Me mwenyewe sikuelewi toka bhaana 😂😂
@mussahancy6591
2 жыл бұрын
Bongo flavour,ndio kiongozi wa wasanii wote ina 85% ya mziki woote wewe toka,huna sifa
@jcrackcrack1669
2 жыл бұрын
Inaitwa uongozi wa kihuni huu,twalazimishwa kuongozwa na mtu ambae Hana ufahamu na mziki
@yasminoluoch169
2 жыл бұрын
Ila anasema ukweli mbona hamtaki kukubali
@Zenny89
2 жыл бұрын
Huu ndo ujinga ambao wanamziki walikuwa hawataki..mziki kuwa Siasa.. Pua Pua zake
@dushudofficialnurudin9753
2 жыл бұрын
🤣🤣 kweli pua zake
@joshmangi
2 жыл бұрын
Wanamziki wengi wanapenda hizo, CCM wanawatumia mda wote.
@salimhassan3369
2 жыл бұрын
Waliaribu kuleta Uteam kama awapendani wenyewe kwa wenyewe wasanii 😂🤣😅
@fulgensirukula3922
2 жыл бұрын
Uteam ki-vipi hapo...?!
@salimhassan3369
2 жыл бұрын
@@fulgensirukula3922 Waona ni Nani anaeza pewa aka kosa kusemwa kutoka kwa Msanii yoyote,Bro music wa Bongo una vigisu mbya Sana kwa ugonjwa walio utengeneza wasanii wenyewe kujigawanya...
@EliahParpulisEvalyneMkulati
2 жыл бұрын
Kweli nafasi imempata msemaji 😂😂😂 #AhsanteSNSKwaKutusogezeaHabari!!
@mwanahawarajabu1837
2 жыл бұрын
Sifa ndio huna bwana
@nasseralhabsi4121
2 жыл бұрын
Mitano tena teve akeee🤣🤣🤣🤣🤣
@abdallahally1309
2 жыл бұрын
Sema stive mwaga cheche wakuache bule ww Usha chakuguliwa kinacho wachoma wao nn mbona chuki kwaz a unaweza broooo kuongea unajua una kemistri ya kutosha unapenwa na kusikilizwa Sasa wao achana nao fanya Kaz achana nao usitoke
@herikaniugu
2 жыл бұрын
Ubaya wasanii wananjaa sana, wanashindwa kutumia umaarufu wao kuwekeza kwenye biashara. Wanategemea serikali.
@othmankarigo1320
2 жыл бұрын
Its better aongelee kuhusu iyo industry na sio kumjadili mtu, then kam kiongoz ajarib ktumia lugha inayoendan na kiongoz na sio lugha za ajabu its not perfect at all. Any way he is deserv to be, apart from creteria.
@yasminoluoch169
2 жыл бұрын
Steve tano tenaaaaaaa🤣🤣🤣🤣
@swazi-bmzwabusarawysd8083
2 жыл бұрын
Napitisha mwana SNS USA 🇺🇸 Dayton OH
@abubakarjabir3132
2 жыл бұрын
Hapo tuu anamuigiza nyerere kwanza 😁😁, Anaigiza tuu
@josephgregory9843
2 жыл бұрын
We unataka kupeleka sias kwenye muziki ondoka tu hawakutaki
@mr.lawimagupa3914
2 жыл бұрын
Mbona hakuna sauti?!
@giftdumaboi9018
2 жыл бұрын
Sasa mbona unaleta siasa kwenye muziki?
@timochazze9845
2 жыл бұрын
Udashi wake 🤣🤣🤣🤣🤣🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
@mzeekara2370
2 жыл бұрын
Acha kulazimisha uwe wew promo zote zanani acha fitna zako
@jumambaraka988
2 жыл бұрын
Utakiwi wacha stori
@aminmohammed4249
2 жыл бұрын
Hapo anatumia sauti yake ya nyerere😁😁😁kasenge maji haka kajamaa
@mwanahawarajabu1837
2 жыл бұрын
Ondoka bwana huna content
@quridequku8606
2 жыл бұрын
😂😂😂
@husseinmdwangi8966
2 жыл бұрын
STIVE TAMBA KISAWASAWA HAO WASHAJICHANGANYA WENYEWE NA IKIWEZEKANA KILA BAADA YA MASAA 48 ITISHA WAANDISHI WA HABARI
@nassirmohamed8492
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@dusabenyirasenga5057
2 жыл бұрын
Mbona una somaaa??😂😂😂
@JimmySirya
2 жыл бұрын
Si ndo msemaje 😂😂😂😂😂😂
@famaqmaujanja
2 жыл бұрын
Siasa Na muziki n vitu V2 tofaut Huyu jamaa anazingua hajui kitu kuhus mziki hana hoja za kimsingi znazoendana na wadhifa alopewa Pengine angeangaliziwa nafasi nyingine ya kuchekesha au afanye comedy
@saidahj2543
2 жыл бұрын
Watakuelewa tu Steve..give them time
@johnmwasilu7087
2 жыл бұрын
Steve hutakiwi na wasanii utakuwaje msemaji wao? Fanya kazi nyingine
@rsautoservice984
2 жыл бұрын
Steve is right what is saying course is creating is on word or massege to the people or artists..is a messenger
@happynjukiz6495
2 жыл бұрын
Atoke tu
@giftdumaboi9018
2 жыл бұрын
😂😂😂😂ndio hawakutaki sasa
@Dj_anaetumia_kanda_AloyceG
2 жыл бұрын
Nani alikua analijua Shirikisho
@evelynmonica1019
2 жыл бұрын
Kiiii nimechekaa yaaan anajikutaa nyerereeeee 😂
@rockyvlogs2214
2 жыл бұрын
Wazee huu ni mziki sio siasa 😡
@suntzu8959
2 жыл бұрын
Nashangaa
@denicegabriel6616
2 жыл бұрын
Sawa mzee tetea ugali wako🤣🤣🤣🤣
@emanuelproty3444
2 жыл бұрын
Unasema wanaleta vyama sawa tuseme akina ney wa mitago wanaeleta vyama na mwana f a nae vp
@ilovejesus9303
2 жыл бұрын
Mbona Steve nyerere anaongea POINTS jamani? Kwanini watu wanamchukia huyu kaka toka zamani? Hakubaliki ila ana nondo sana kichwani. Ana sifa za uongozi
@wakatiwaapolineapoline5508
2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭
@aminahamisi2837
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣stive hawakutakiiiii
@nakakyumile798
2 жыл бұрын
Kicheki bichwa,toka hufai
@rogerioathumani9084
2 жыл бұрын
Yani wewe wala hukupaswa kuwajibu kwasababu wewe nimchekeshaji na unataka kujipendekeza kwenye vyama vyawatu moja kwa moja inaonyesha wewe unatumika na wanao kutumia wenyewe washaishiwa hawasikiki
Пікірлер: 153