Hahaha wanajeshi wao wameuawa na hamas sasa hivi wanalazimisha vijana wajiunge na jeshi
@lameckraphael3743
24 күн бұрын
Safu wanatudanganya eti wanajeshi wao 7 mara 2 wamekufa kumbe ni wengi wamekufa mpaka wameisha wanajeshi
@vintz338
24 күн бұрын
Hawa ndo wayahudi og kabisa hata muonekano wao tofaut na WA waziri wao yule mmarekani yule
@allahisone6386
24 күн бұрын
HHHH Ndiooo_🤦🏿♀️
@user-qq6mv6vh3e
24 күн бұрын
Kimeumama 😂😂
@user-ed1cf9nq5w
24 күн бұрын
Wao si ni taifa la Mungu nilidhani watatumiwa jeshi la malaika kutoka mbinguni kuja kuwasaidia😂😂😂😂
@user-qq6mv6vh3e
24 күн бұрын
😂😂😂eti eeh
@allahisone6386
24 күн бұрын
HHHH🏃🤦🏿🏃 HHHHH
@user-jf1xj4kr1s
24 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂❤
@evelynemugeni2369
24 күн бұрын
😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂chosen peoples 🤣🤣🤣🤣
@subrynerysegerow1323
23 күн бұрын
@elynemugeni2369 chosen devil's
@amemasudi5735
24 күн бұрын
Wanaanza kutafunana wenyewe kwa wenyewe kazi kwao
@wadantz123
23 күн бұрын
Kupeleka wenzao ty wao kwenda aaaaah 😂 Kamata wote peleka jeshini uko
@suleymuntar3544
24 күн бұрын
Kumbe wanajeshi wao wanakufa kimya kimya hawasemi sasa wameishiwa vijana jeshini mpaka watasema tu
@harithimahmoud1577
24 күн бұрын
MARA HII MASHOGA MPAKA WASEMEE
@MAHAN-SMART
24 күн бұрын
Wamegeuka ya wakenya sasa
@AliNassor-qt6fm
24 күн бұрын
Waende na waisrael weusi wakawasaidie😂😂😂
@user-tq4lx9si1n
24 күн бұрын
Minikiitajika nahenda hata kwanauri yangu
@user-ed1cf9nq5w
23 күн бұрын
@@user-tq4lx9si1n unaitajika sasa hivi nenda
@Shafikimanga7
24 күн бұрын
Hiyo ndio shida ya viongozi kutokukubali kushindwa. Kama vipi si waende wakapigane wao?
@user-nv6wt3nx5h
22 күн бұрын
Kizazi kipya kinazani nchi italindwa na maombi tu....biblia inawata wajenge na washike slaha...........
@davidngomeni2608
24 күн бұрын
hezbola wameonesha maeneo nyeti ya israeli kwa majira ya nukta na kwa picha kwa pa1. Kwanini wasipige kwa haraka, na wanatumia sana satelaiti za nani kufanya upelelezi huo?
@AliNassor-qt6fm
24 күн бұрын
Kumbe mikwala mingi sasa mnataka mpka wachungaji wa dini waingie vitani, wasisahau kuna hizbollah, wahouth wa yemen, islamic resistance in iraq,
@jeremiahevodius925
24 күн бұрын
Iv unajuwa Israel au unaongea TU awo watu ata wakija wahalabu wote awashindi awo ndo miamba ya vita
@mwawekomiuda9779
24 күн бұрын
@@jeremiahevodius925 wewe unabisha nini hata marekani na mataifa ya magharibi yamesema wazi izrael hawawezi kupigana na Hizbollah. Hujui kinachoendelea duniani.
@Bittertruth-u4n
24 күн бұрын
@@jeremiahevodius925 ndo ulivyodanganywaa na dunia
@allahisone6386
24 күн бұрын
HHHH🏃🤦🏿🏃 HHHHH
@allahisone6386
24 күн бұрын
EEWEEEEEH_🤔
@Yotekwayangagood5610
24 күн бұрын
Umu ndani kuna waisraeli weusi Na waarabu weusi ila juz m23 wameteka mji husikii wakisema udin umetutawala sana Mungu atusaidie tupendane watu weusi
@Awatee
24 күн бұрын
Ilo jina lako tuu nina wasi wasi nawe 😂dini imetuunganisha sisi waislam kua ndugu kabla lolote na taifa lolote lile kwa iyo huwezi kuzuia na marufuku muislam kumdharau ndugu yak
@paschaljuma3312
24 күн бұрын
Kwani tumechukuana kama watu weusi tungependana hao m23 ni weupe?
@paschaljuma3312
24 күн бұрын
Haha muislam ndugu yake muislam
@Grataaaaa
24 күн бұрын
Muislam ni ndugu na muislam na udugu wa kweli ni uislam kwa mujibu wa dini yetu
@HamzaMbasha-xs2ky
24 күн бұрын
Tatizo la Congo ndani ya serekali yao kuna watu wanaunga mkono m23 hile nchi ina matatizo mengi sana... Juzi hapa tu watu wameingia hadi ikulu sasa hapo kuna nchi..
@magorymara5515
24 күн бұрын
Aliyoyatabili Yesu siku alipokuwa anaingia Jerusalem na kuulilia mji huo ndiyo yanayoendelea huko nenden mkaiangalie video ile ili mweze kuziunganisha dot
@kwisa4899
23 күн бұрын
Do analysis b4 anything
@user-ed1cf9nq5w
24 күн бұрын
Imagine Hamas anawasumbua kiasi hichi je watamuweza Hizbullaah? Tuombe amani itawale mashariki ya kati na congo
@fatimajumaa2867
23 күн бұрын
wanajivunia Amerka hata hao Hamas wasinge subutu kuwarushia kombora bila msaada wa mataifa ya magharibi
Пікірлер: 45