Asante sana Pastor nakufatiya apa RDC sijuwi tapataje kitabu
@raelsarange638
11 ай бұрын
Great I'm proud of my DADDY in heaven i surrender all to him niko Iraq nimeona mkono wake kwenye maisha yangu through pastor mmbaga teachings,sina hofu kusema I'm delivered by God's grace I av got life testimony at times nalia kilio cha furaha ❤❤
@fedrickyohana7433
2 ай бұрын
Amen mchungaji umejua kunifundisha kitu kizuri
@NyamariFaith-qu1jm
6 ай бұрын
Am so blessed for ur powerful sermon pastor b blessed with ur family $all ur group in Jesus name 🙏
@faithmoraa4542
11 ай бұрын
Pr, am Faith moraa from Kenya, Help me to pray for my girl FABRACIA FATUMA anayeelekekea kufanya mtihani wake wa kidato Cha nne (K.C.S.E) Mungu amfanye mshindi aweze kupata hitaji la moyo wake.(A-) Na MUNGU amshindie kabisa AMEN🙏
@dorisgesare7707
5 ай бұрын
Exactly like me I talk God as a loving father and He has done much
@tracysally-im7fw
11 ай бұрын
Pastor niombee nibarikiwe na mume wangu amkubali YESU na apate kazi ambayo haimsumbui kumlipa,na nirudi kwa wanangu ntashukuru sana
@user-xe9yd5pr3k
11 ай бұрын
Mchungaji ubarikiwe kwa jina la yesu.,familia yangu naomba maombezi, watoto wangu wawili hawajapata watoto, wengine hawajapata wachumba Mungu wangu aifungue familia yangu.
@elina4113
9 ай бұрын
Nimekuwa nafuatilia vipindi vysko Pastor Mmbaga, vinanibariki kila siku . Ombi langu Naomba niombee mwanangu wa kwanza ghafla hatakii kuongea nami bila sababu yeyote,nami siko nao kwa muda wa miaka minne niko kazini Nchini Oman,na tulikuwa na mawasiliano mazuri kill mara. Nahisi amejiunga na vikundi vilivyo kinyume na mapenzi ya Mungu.
@dorisgesare7707
5 ай бұрын
One day I was bleeding for along time I prayed by faith and God healed me and showed me sadaka ya shukurani ya kupeleka kanisani ambayo ilikuwa maziwa mara na mafuta taa
@dorisgesare7707
5 ай бұрын
I was childless I and my husband prayed by faith and now we have children
@dorisgesare7707
5 ай бұрын
Mungu ni mwaminifu siku moja alinijibu kwa sauti nikiwa ninaomba God is a live and near us
@slamafamily5720
8 ай бұрын
Amen pastor mm.naamini mungu atatendà kabisa yani pastor barikiwa sana kwa mafundisho yako
@rogerkambale9998
10 ай бұрын
Asante Sana mtumishi,ninashida kwenye unyumba wangu,naomba uniombeye,Niko congo
@lennyfrank
6 ай бұрын
Ameen Ameen
@RamazaniLumbu
9 ай бұрын
Mchungaji mungu asifiwe tena akubariki saaaana nalitowa hoja yangu kuhusu ugonjwa ivi alipita ku opération Na leo eko mzuma mungu asifiwe kwa maombi yenu mutuombee mungu atubariki katika viashara yangu
@ericksonsteve4075
11 ай бұрын
Kwa maombi pamoja nawe ipo siku nitakuwa shujaa katika nchi yanguh na Dunia Kwa ujumla Kwa jina la yesu kristo Amina.
@user-id6vb9rc8m
11 ай бұрын
Mchungaji tuombeeee familia yangu tuweze kutoka Geita na kurudi Sengerema Amina
@TeleziaSimbeye-fm3zw
10 ай бұрын
Hata mi nimesoma baadhi ya vitabu vya kisabato vimenisaidia sana na mi ni Mkaatoriki ubariwe sana mchungaji
@ngenamangala2559
9 ай бұрын
Amen Amen
@user-gs1ld5vd6e
7 ай бұрын
Shalom pastor, nabarikiwa sana na mafundisho, natamani sana niwe kama unavyofundisha mungu aniwezeshe naomba niombee
Asante mtumishi wa Mungu, somo linaeleweka barikiwa mtumishi
@rosekemunto660
11 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu naomba ,uniombe nipate mchumba mcha mungu na shida na laana za jaamii sikafungwe na kuchomwa kwa nguvu za mungu. Just pray for me. From kenya .
@PaulShunda-
11 ай бұрын
Ok you good
@douglasonchari4407
11 ай бұрын
Noonde igaa
@rosekemunto660
11 ай бұрын
@@douglasonchari4407 than you very much for your prayer.
@chalzjuniour3495
11 ай бұрын
Habari za mchana, Naomba nikushauri kitu,maamuzi ya muhimu zaidi kufanya kwenye maisha ya mwanadamu ni kumpokea yesu kuwa bwana na mwokozi wa maisha yakoo na maamuzi ya pili ni kumchagua mwenza wa maisha, Kama Maamuzi ya muhimu zaidi kwa mwanadamu kufanya ya wokovu Mungu akuchagulii sembuse ili la pili ndo akuchagulie!! Mungu akuchagulii mchumba tafuta maarifa ya kumjua mtu sahihi kwenye maisha yakoo na muombe Mungu akusaidie upate maarifa sahihi, ubarikiwe sanaa🙏
@naturelle1097
8 ай бұрын
Amen
@damaryjohn6985
9 ай бұрын
Ninabarikiwa jamaniii
@user-id6vb9rc8m
11 ай бұрын
Mchungaji Mimi naomba unisaidie kuomba tumetoka Sengerema na Kuja Geita mchungaji naomba unisaidie tuweze kurudi Sengerema kule ndiko mungu alikoweza kutubariki na kutuneemesha mambo yake huku mchungaji Geita sio kuzr afu nyumba inabaki pekee yake mchungaji naomba unisaidie kuomba turudi Sengerema
@renatuskanuthy5743
11 ай бұрын
Ashukuriwe Mungu alieponya kupitia kwa mtumishi wake mmbaga
@MarekelaMarekela-cg4ch
6 ай бұрын
God bless all
@elienew3788
10 ай бұрын
Ameen asante sana
@user-id6vb9rc8m
11 ай бұрын
Mchungaji niombeeee nipate mchumba mwenye hofu ya mungu na mwanaume wa imani s.d.a Kwa umri wangu nimepitia changamoto nyingi kwenye uhusiano nahitaji kuwa na ndoa takatifu ifungwe kwenye mimbari ya wadventista wasabato ni imani yangu mchungaji nimepata mchumba na tutahama kutoka Sengerema na kurudi geita .
@DONATUSKomba-pu1bk
8 ай бұрын
Pastor,MUNGU aendelee kukutumia siku zote.Kwa kweli kupitia kwako, najifunza mengi.Uniombee,nisiendle kuwa nyuma kimawazo
@maximilianstephano9578
11 ай бұрын
Asante kwa somo lako mchungaji naomba utuombee mimi na mke wangu tuweze kupata mtoto. Maana hatujafanikiwa kupata hata mtoto moja.
@upendoloondokalembekela7748
11 ай бұрын
Mwenyezi Mungu ameshawapa haja ya mioyo yenu, fanyeni maombi mkisema Asante Bwana yesu kristo kwakuwa umetupa uzao tayari amen.
@molooanne
10 ай бұрын
Amen pasta tunabalikiwa sana
@EdinaMbilinyi-hm6no
11 ай бұрын
Ubarikiwe mchungaji leo nimeelewa Mungu akubariki sana
@rebeccaonyando7214
11 ай бұрын
Amen and Amen katika jina la Yesu.
@user-pq8xy3tv7l
11 ай бұрын
Ameeene papa pasteur kwa mafundisho
@user-zf1tx7dg2d
10 ай бұрын
Mchungaji mungu akubaluki sana uende mbali
@SifaelNoah
2 ай бұрын
Naomba unisaidie maombi naumwa pumu na presha.
@ephrasienasifiwe3393
11 ай бұрын
Amen amen
@agiebukutsa8539
11 ай бұрын
Amen Wacha Mungu akutane Na haja ya Moyo wangu
@gracejames2395
11 ай бұрын
Pr BWANA asifiwe naitwa grace nipo katolo geita niombee BWANA anipe mume anaelicha jina lake
@kazidotto8675
11 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@margaretwanjiru9096
11 ай бұрын
Kweli MUNGU anafanya muujiza kukupitia nimeyaona kabisa na ninashukuru sana Mungu
@SifaDimatasi-om2rj
11 ай бұрын
❤Ameeeeeeen
@JeremiahGuragura
11 ай бұрын
Mungu akutendee mema
@ericksonsteve4075
11 ай бұрын
Amina
@estherkahindo2994
10 ай бұрын
Mungu akubariki zaidi mzungaji naendeleye kukupa hekima .mapenzi Ya mungu itimilike kwangu kulingana na maombi yako
@omankadara6418
11 ай бұрын
Ameen Mungu akuzuze sana
@user-zf1tx7dg2d
10 ай бұрын
Mchungaji mhombee mama angu apone na aanze kazi tena
@rehemanashon3739
11 ай бұрын
Mungu akubariki sana Mchungaji🙏
@ednaaswile6631
11 ай бұрын
Amen mtumishi 🙏
@lucynyigana2801
11 ай бұрын
Amina kubwa
@psftv6478
11 ай бұрын
Barikiweni.
@KASICHANANDARO-ud1eh
11 ай бұрын
Mtumishi wa mungu nahitaji maombi Kwa familia yangu tuwe na Amani...
@MahubiriPrMmbaga
11 ай бұрын
Mungu atendee muujiza
@saighilunyangusi4986
11 ай бұрын
Bwana azidi kukulinda na kukuwezesha mchungaji
@leticiabaziwani5234
11 ай бұрын
Pastor naitwa Leticia John Baziwani naomba uniombe nipate kuwa na nguvu ya Roho Mtakatifu ili niweze kushinda majaribu ya ndoa yangu mme wa ni mkenya na amezamia huko natamani sana kuongeza mtoto ila yeye hataki kuja Tanzania na yeye hataki kunipeleka anakoishi Nairobi japo kwao ni migori
@user-fx2so9dy5l
8 ай бұрын
🎉❤😂
@jayras501
2 ай бұрын
Ata mm nimejua burton ni ngani
@pacshalfrenk8982
10 ай бұрын
Niombee nipate mototo, na ubarikiwe pr.
@molooanne
10 ай бұрын
Pasta naomba uniombe nipate muchumba
@claraelengabulunda6750
11 ай бұрын
Na mimi naitaji kitabu, Niko nachinda sana nikiokoka tena najikuta narudi nyuma nimateso kwangu
@kabalizasekanabomarko6063
11 ай бұрын
Amen mtumishi wa Mungu. Ningependa kupata namba yako pia. Kuna rafiki yangu hana mtoto kwa myaka 10. Ila nimeongea naye na kumwambia pia utapata mtoto.Mungu halali.
@eunicewacheke5874
10 ай бұрын
Pastor naomba ukanikumbuke Kwa maombi nipate kujenga nyumba yangu.
@MarwaTimasi
9 ай бұрын
mchungaji naitwa marwa timas wa kitunda dsm naomba yako
@rosejoseph7982
11 ай бұрын
Pr nami niombee familia yangu imeishi na magongwa plz niombee
@GuzuraJonas-ux6yx
11 ай бұрын
Chungaji naomba uniombe kuhusu ndoa yangu na uchumi
@user-fr3of9cq1o
5 ай бұрын
Pr changamot yang kun mtt anaaguk mapep mtaan kwet ila anataj mtaa mzim nakunalet kutopatan mtaan tusaidie kuomb mung aingilie kat
@tracysally-im7fw
11 ай бұрын
Kuna rafiki yangu anaitwa Judy ametafta mtoto na hapati TAFADHALI muombee
@sarahmosiori9774
11 ай бұрын
Hata nami niombee niwe na Imani.maanake nimeishi na fibroids Kwa miaka ishirini.Baba afungue umbo langu.
@upendoloondokalembekela7748
11 ай бұрын
Waebrania 11:1,uwe na uhakika umepakata tayari ,fanya maombi ya kushukuru maana Mwenyezi Mungu ameshatenda tayari,Bwana amekupa aja ya moyo wako.
@user-cc3ct9su2n
11 ай бұрын
Pasta bwana akubaliki ninabalikiwa sana na vipindi vyako naomba unikumbuke kwa maombi kila nikibeba mimba zinahalibika nasasa ninamimba tena hivyo naomba uniombee sana
@doricapeter545
8 ай бұрын
Mbaga nakosa pakucoment naomba namba nahitaji kuonana na ww mtumishi
@MahubiriPrMmbaga
8 ай бұрын
WhatsApp +255 755 932 283
@user-fr3of9cq1o
5 ай бұрын
Pr nafwatilia mahubir yak yana nitia moy na kun shid nawez be kupat namb yk
@divinahmoraaongaki8666
10 ай бұрын
Je hivyo vitabu tutazipata wapi Kenya?
@MarwaTimasi
9 ай бұрын
nsmba yako ya simu
@user-bv1pf9pe6d
6 ай бұрын
Ninaomba unisaidie namba yako
@user-uo9lc8dk2q
11 ай бұрын
bwana asifiwe mutumishi nimebarikiwa sana naomba uniombe juu ya mama yangu alipotea Sasa ni miaka 13 sijui aliko. kama uko hai
@MahubiriPrMmbaga
11 ай бұрын
Mungu atende
@dorisgesare7707
5 ай бұрын
One day I asked God for lunch while walking on the road then I saw money beside the road and another day I asked for my children mattress while I was walking on the road I saw a matress beside the road but I feared to pick
@deogratiasmazangi-mk4fp
9 ай бұрын
Amen
@user-id6vb9rc8m
11 ай бұрын
Mchungaji niombeeee nipate mchumba mwenye hofu ya mungu na mwanaume wa imani s.d.a Kwa umri wangu nimepitia changamoto nyingi kwenye uhusiano nahitaji kuwa na ndoa takatifu ifungwe kwenye mimbari ya wadventista wasabato ni imani yangu mchungaji nimepata mchumba na tutahama kutoka Sengerema na kurudi geita
@magigesabai8674
11 ай бұрын
Amina
@user-zf1tx7dg2d
10 ай бұрын
Mchungaji mhombee mama angu alikua vizuli tu lakin saivi Yuko kama kachanganikiwa hatujuh chanz nn
Пікірлер: 95