Lilian Achieng juma I am warching from Germany 🇩🇪🇰🇪Asahnte yesu kwa kutufinika na damu yako,wakati ime karibia wa kuja kwako ee kristo tuna jitayarisha sote kukulaki,mapezi yako yatimize LOVE YOU J❤️E❤️S❤️U❤️S 🙏🕎✝️
@sinaloa5698
Жыл бұрын
Nani kakuliza where are u Eti am from Germany mkimbiz kutokea kenya
@mysskibe
Жыл бұрын
Amen, siz!! 🙌🏾
@getolamsela1944
Жыл бұрын
Watching from Tanzania tandika dar es laam
@shubebunyesi542
Жыл бұрын
Tatizo kubwa la wakristo wanapofundishwa na watumishi wako wanalishwa Sumu kupiga vita uislamu pasipo na ushaidi sisi tunafundisha ukweli wa dini ipi sahihi na yakuifata kwa vielelezo sio propaganda, tunaamini Mungu mmoja hajazaa wala hajazaliwa wala hana mshirika ktk kuumba dunia hii YESU ni nabii kama ilivyo kwa yusufu, daudi, mussa na c vinginevyo yaaani mnapigwa kamba na muhuni mmoja nyie mnashangilia , eti kasoma Osama, eti na kasoma na Alibashir duu kweli wajinga ndio waliwao Mazuzu wakubwa tafuteni ukweli ata wa kuhuliza wenyewe wawajuze alafu mpime kwenu na kwetu angalau wp kuna mashiko
@naketizainabu7803
Жыл бұрын
Amen
@janenjenga5639
Жыл бұрын
Jina la Yeshua Messiah Lihimindiwe milele na milele Amina 🇰🇪
@marianaduncan6330
Жыл бұрын
Kwa BWANA YESU KRISTO ndio sehemu sahihi kuliko zote Duniani na Wala hakuna Mungu mwingine zaidi ya yeye Utukufu na heshima ni Kwa BWANA YESU KRISTO milele na milele amini ukombolewe
@sarahkeivaly3351
Жыл бұрын
Davista nimeamini ww Sasa channel yako imekuzwa na Kristo. Yaani mpaka umefanikiwa kumpata mtu huyu mkubwa wa Mungu!! Tumshukuru Sana Mungu kwa ajili ya Jambo hili la Kimungu
@israelgershom4198
Жыл бұрын
This is blessing
@rosepallangyo1352
Жыл бұрын
Kweli
@Ntirampeba
10 ай бұрын
Jamani na itaji nambari ya huyu BaBa eeeeh Yesu Asante kwakusikia huyu ujumbe yani reo hii nabadirisha maombi kweri
@rithasimoni6212
Жыл бұрын
Asante bwana yesu kwkutuletea watu muhimu Kama hao
@sakinamo3109
Жыл бұрын
Hayo yote unayosema Ukombozi umekuja hii duniya kutuokowa na kwenda Binguni Msikilize Baba wetu Nabii BG Malisa Ameen
@shepherd1x84
Жыл бұрын
Wakristo tuombeni sana watu wafunguliwe katika mafunzo hayo ya upotovu waje kwa Kristo Yesu, Mwokozi!
@chriscao9828
Жыл бұрын
Wana kiburi sanaa waislamu, hawaambiliki
@Milkah.Nyakio.20
Жыл бұрын
Jesus christ is the way the truth and the life,, my the lord remember all the muslim to accept the Lord in Jesus name i pray.
@emilynyaga5947
Жыл бұрын
The name of our LORD JESUS CHRIST be praised ,honoured and exalted forever
@jaymandy8136
Жыл бұрын
Jesus Christ isn't God you have to accept it 🤣🤣🤣 God can't live with humans Jesus Christ lived with humans.
@safiamother1202
Жыл бұрын
Uislam bora utoweke Kabisa ulimwenguni
@nyamogafamily9549
Жыл бұрын
Unatoweka mbona,,na MUNGU WA MBINGUNI ATUSAIDIE
@juliuskalama2746
Жыл бұрын
Kabisa
@sharifahamisi6589
Жыл бұрын
Huyu hakua muisla bali yupo hapa kuuchafua uislam tuu na hutofanikiwa kuizima nuru ya uislam Abadani
@juliuskalama2746
Жыл бұрын
@@sharifahamisi6589 hata kama hatofanikiwa lakini anathibitisha wazi kuwa uislamu nkupotea na watapotea wengi
@nyamogafamily9549
Жыл бұрын
@@sharifahamisi6589 Hukuna nuru huko ,ona mlivyofubaa na mashekhe wenu,,huko kuna giza,,NURU IPO KWA YESU KRISTO
@hellendiana625
Жыл бұрын
Tunajifunza kwamba, Ukristo ndio dini ya kweli na sahihi tena ya Mungu wakweli
@kapalatu7322
Жыл бұрын
Hujui kitu wewe, dini ya kweli kaisome kwenye kitabu Cha Jacob 2.1..
@glorybura4554
Жыл бұрын
Dini haimpeleki mtu mbinguni maandiko yanasema kumkiri Yesu kuwa bwana na mwokozi wa maisha yako na kumuamini yeye ndio tiketi yako,unaweza kuwa mkristo na usione mbingu.
@jackiemaggy2484
Жыл бұрын
Ameeeeen nimebarikiwa saaana
@philipmbaabu6169
Жыл бұрын
Uliza zaidi kuhusu Allah wao waliokuwa nao kule baharini.
@JaneDoe-hf3zy
Жыл бұрын
Bwana mungu uwema baba
@safiamother1202
Жыл бұрын
Stori yenye mafundisho kazi njema Davista
@djwinnertz9787
Жыл бұрын
Yesu kuzimu ndio nyumbani kwake kwa sababu watu wake wote anawachukuwa kuzimu anaga uwezo wa kuwachukuwa waislamu wa kawaida uwezo uwo ana tuletee shuhuda ambayo yesu ajamtoa mchungaji wake kuzimu
@chriscao9828
Жыл бұрын
Unaugua wazimu, mtume wenu wa kuzimu huwezi kumlinganisha na yesu..hiyo Quran yenu ya kuoza inasema yesu atakuja kuhukumu dunia..
@kimsamespa8490
Жыл бұрын
Last Sunday nilisikia Bishop Gwajima akitoa huu ushuhuda wow kumbe ilikua niwewe
@kasiniapotatoes9804
Жыл бұрын
Kwa nini uongee uongo ili kuwavuta watu katika ukristo wewe hukuwahi kuwa mwislamu hata usomaji wako wa kiarabu chako unakoseakosea wadanganye wengine sio sisi waislamu
@kipchorngwonektiroto457
Жыл бұрын
I love this brother so much.
@praxedajovinary4560
Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu
@Sarahsaid2648
Жыл бұрын
Ameeen🙏🙏
@chriscao9828
Жыл бұрын
Dini ya uislamu ina mambo ya kishetani sanaa
@fatumamwalimu5765
Жыл бұрын
Udude unaitwa ukiristo ndio uchawi na wachawi wote wako uko, na makanisa ya DEVOLWASHIPER
@chriscao9828
Жыл бұрын
@@fatumamwalimu5765mtume alikuwa anaugua wazimu.wewe unafuata mwenda wazimu mwenzako..😆😆
@fatumamwalimu5765
Жыл бұрын
@@chriscao9828 lete andiko, hau propaganda zakutosha maana uzushi kwenu ni bora kuliko maandiko? Sasa ikiwa alikua na wazimu mbona yuawalaza macho?
@fatumamwalimu5765
Жыл бұрын
@@chriscao9828 na uko na abari za mungu wako Paulo? Eti mtume alikua anaugua wazimu!!!!! Ili mradhi umezua kama huyo kafiri mwenzio hapo anae ongea uongo hana ushahidi wowote!!! mungu wako Paulo ndie aliekua na wazimu,mimi simfuati mwenda wazimu Paulo!!!! Huyo mwenda wazimu Paulo niwako na nakuona unaongea wazimu wazimu kama mungu wako Paulo mwenda wazimu
@chriscao9828
Жыл бұрын
@@fatumamwalimu5765 hampendi kuambiwa ukweli..Quran yenyewe yasema Allah na majini yake wanapenda uwongo na wewe hutaki kusikia..kweli sikio la kufa halina dawa..waislamu na mtume wenu wa kuzimu kazi mnayo😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
@drnow1528
Жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe
@sophiajohn8707
Жыл бұрын
🇯🇵respect davista
@flm1530
Жыл бұрын
Part 3 please
@TheSalma1999
Жыл бұрын
Hapo kwenye Allah wao Ndio amenichanganya mi najua Uislam hauruhusu shirk na uchawi wa haina yoyote na Allah ni mmoja tu wakristo wanamwita Yaweh
@abbyadams8691
Жыл бұрын
Jiongeze,jifunze uokoe nafsi yako. Kuendelea kushikilia dini au dhehebu bila kujua siri iliyo nyuma yake utaishia kubaya.Ndio maana Mungu ameruhusu watu km hawa wapitie mambo mabaya ili wawe mashuhuda kwetu. Ukikataa kataa,ukiamua kukejeli kejeli. Uamuzi ni wako.
@christophermwandemange796
Жыл бұрын
Acha ujinga ndugu uislamu mbona uko wazi sana et majini mnakaa nayo, funguka mwanaume
@tututz100
Жыл бұрын
HUSSEIN MUBARACK ALIESEOMEA UCHAWI
@petermwaibofu3260
Жыл бұрын
alisomea elimu ya uislamu
@heritier5119
Жыл бұрын
@@petermwaibofu3260 mchawi hana dini aweza kuwa Muislamu au Mkristo au mpagani
@chriscao9828
Жыл бұрын
Elimu ya uislamu na uchawi ni moja hakuna tofauti
@nevermind4789
2 ай бұрын
Hao wenyewe wanakwenda kwa waganga kuzindika makanisa halafu wanakaa kudanganya watu
@opionlinetv5052
Жыл бұрын
Davistar,muulize ilikuwaje khumein ,sadam na gadafy waungane ,Ili hal khumein ni mshia ...hawapatani na sunni ..tafadhali
@henrysizya239
Жыл бұрын
Si kweli kuwa Shia na Sunni hawaelewani kwa kila kitu. Kuna vitu huwa vinawaunganisha
@veronicahkhaikwa4929
Жыл бұрын
Mchungaji hataki kueleza story step by step anarukaruka mbona hata baada ya davistar kumueleza hataki kusikia aaeee mbona
@Philipoupdates
Жыл бұрын
Waislamu okokeni maana mnasikia vizuri
@husseingabo5497
Жыл бұрын
Tuokoke Kwa uongo wa huyu mpuuzi Kwa lipi yesu mwenyewe anasema duniani hakuna kuokoka na utaokokaje kabla hujafa? Au unajitia uchizi
@ashajuma8521
Жыл бұрын
Watu mtabisha tu kuhusu YESU sababu hamjua tuu nguvu ya hilo jina na nguvu ya msalabaa. YESU YUPO NA ANAPONYAA 100%
@reyyathu8978
Жыл бұрын
@@husseingabo5497 mpuzi na mbuzi ni wewe
@reyyathu8978
Жыл бұрын
@@ashajuma8521 Amen sema tena
@sokakilumbi9293
Жыл бұрын
Wakristo msijizime data!! Hivi hata uongo wa uyu Mzee nanyi mmenasa!! Ikiwa ni hivyo basi ilikuwa ni halali kwenu kibwetere kuwatia moto💥!!!
@drnow1528
Жыл бұрын
Waislamu acheni imani hii potofu ya kichawi
@agrivaluefarm3353
Жыл бұрын
Huyu jamaa eti tulikaa na Allah kwenye mkutano wetu, Mungu ni mmoja kwa ulimwengu mzima ndio maana ukisoma vitabu vya dini unakuta manabii wanafanana kimajina kwenye vitabu vya pande zote, kwamfano nabii Ayub, yesu ( issa ) na wengineo wapo kwenye vitabu vya dini ya kiislam na kikiristo. Tizama luminati ambao wanauchawi wa juu asilimia 95% ni wakiristo, papa wa wakiristo na wafuasi wao wapo kwenye nguvu za giza
@petermwaibofu3260
Жыл бұрын
hata wewe ukija huku ukajiita nabii waweza kuwa msanii na ukapata wafuasi, ila utakutana na mapigo kutoka kwa "YEYE NDIYE AMBAYE NDIYE"
@agrivaluefarm3353
Жыл бұрын
@@jesuspower2390 Wewe si lolote wala sicho chote hapo ulipo uweza kuwahaidi watoto wako watakwenda peponi kwa vile wewe ni baba yao ( kiongozi wao). Yule atendae mema ndio atakwenda peponi si kwa maneno ya mitume tu useme mtaenda peponi, basi ata wabakaji, wauwaji, wasio gusa kanisa, na wote wafanyao mabaya wa kikiristo wataenda peponi.
@glorybura4554
Жыл бұрын
Papa kuwa illuminati haimaanishi wakristo wote ni illuminati papa atabaki kuwa papa nafasi yake haimpi utukufu wa Mungu ni nafasi ya hapa Duniani na ataiacha Duniani na Mungu atabaki kuwa Mungu.
@gaushehbshshehe3830
Жыл бұрын
Davistar sasa inaoneksna ww unapiga vita Dini flani maans huyu mchngsaji anachambus jinsi waislamu wanvyo fanya alafu anakuuliza kama uko na swali unamjibu tuendelee huu ni ushuhuda kweli
@sinaloa5698
Жыл бұрын
Uyo jamaa nae sindio mpinga dini zingine akitajiwa 2 dini zingine anafurahi akidanganywa waslam wako ivi anachekelea haulizii maswali ysnayoeleweka km miaka yake yt aliyosoma na umri wake mn kasema miaka almost 23 yy alikua anasoma kwaio umri wake nimiaka mingapi jamaa muongo
@heritier5119
Жыл бұрын
Kama siyo ya kweli watakuja yapinga. Davistar ni platform huru haina dini
@kahindiwanje90
Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥💪💪💪
@jumasangya8709
9 ай бұрын
Hii dunia ina mambo
@drnow1528
Жыл бұрын
Waislamu huu ni wakati wa kuokoka
@renatusmtakyawa594
Жыл бұрын
Ulipikwa wapi ulitoa kafara gani
@service4507
Жыл бұрын
Jinatuh lailih
@stevenobunde9345
Жыл бұрын
I didn't know that there wakristu and wakristo!
@selemanihamza4950
Жыл бұрын
Huyu anaongopa Bora hata omari mnyeshani stori yake lakn cyo mzee davistar apounajiaribia brand
@thegreat.9869
Жыл бұрын
Povu😂😂
@henrysizya239
Жыл бұрын
Ili kuthibitisha kuwa mzee huyu ni muongo toa hoja za msingi zinazoonyesha kuwa si mkweli
@fatumamwalimu5765
Жыл бұрын
😄🤣😂😆😄🤣😂😆😄🤣😂, hii Channel kwa ushuuda wa uongo hamjambo, tepeli ameriudi tena na uongo mwengine?
@malengamsombwa3115
Жыл бұрын
Kwakweli akuna mtu mchafu kama mchawi hapa duniani.
@best3959
Жыл бұрын
Wwe ulkwa mchawi ...uislamu hauruhusu uchawi
@christophermwandemange796
Жыл бұрын
Ww ni muislamu Mdg ndo maana umedanganywa, hujui kinachoendelea kwenye panel huyu ni gwiji
@husseingabo5497
Жыл бұрын
Aache uongo Osama amesomea marekani tangu nasari mpaka chuo na anaebisha agugle na ndio maana wamarekani walimtaka aitumikie marekani akakataa kwasababu alikuwa ni hodari sana jeshini huko marekani we unaleta uongo hapa
@egospeltz9486
Жыл бұрын
😂😂
@chriscao9828
Жыл бұрын
Shetani amekuteka wala huwezi kuona nuru
@husseingabo5497
Жыл бұрын
@@jesuspower2390 hakuna kitu kinachoitwa elimu faraq hiyo ni sura inaitwa surat faraq na Ina Aya Tano na hiyo sura ilikuja na malaika wawili jibliri na mikaeli baada ya mtume kurogwa na myahud ili kumtibia mtume na kumuondolea mafundo ya uchawi na alikuwa Kila akisomewa Aya Moja fundo Moja la uchawi linaondoka hadi mafundo yote ya uchawi yakaondoka Kwa mtume na mtume akawa amepona katika Hadith na vitabu vya historia ndio vimesema hivo surat faraq ni tuba dhid ya uchawi na tunaona mtume ilipologwa alisoma hiyo na mafundo ya uchawi yakawa yameondoka yote. Sasa huyo anasemaje et hiyo sura ndio elimu ya uchawi ?yaani anadanganya mchana kweupe kwasababu na nyinyi ni wajinga hakuna lolote mnalolijua basi mnakubali nyie vip?
@oldma90
Жыл бұрын
Ata uchawini hakuna kiraza kama huyu, wew ulisikia wapi wachawi wanatoa PHD .
@service4507
Жыл бұрын
Jinni yadiya
@saidamour9272
Жыл бұрын
Haukua muislam ulikua mchawi
@jaymandy8136
Жыл бұрын
Kuna ushahidi gani kama yy kasoma Na Osama huyo boya?
@fatumamwalimu5765
Жыл бұрын
😄🤣😂😆😄🤣😂😆, wajinga ndio waliwao,unajua wenzetu wa upande wa pili uamini sana porojo na sarakasi, na hii Channel niya mambo hayo, ya uongo uongo kwa hiyo yupo kubeba akili za watu wasio jitambua
@jaymandy8136
Жыл бұрын
@@fatumamwalimu5765 😂😆😆😆😆😆😆 uko sahihi kweli
@yakobomkristo872
Жыл бұрын
Mapinga Kristo Nawaona Mnavyojifariji
@fatumamwalimu5765
Жыл бұрын
@@yakobomkristo872 😄🤣😂😆😄🤣😂😆, tunakupinga mkiristo wewe fake nandio mapigo ya MUNGU yanakuona kujiita mkiristo 😄🤣😂😆😄🤣😂, (WATU HAO UNIESHIMU KWA MIDOMO LAKINI MATENDO YAO YAKO MBALI NAMI) naona umajitangaza kabisa mpinga kristo! Unadhani ukijiita mkiristo ndio unakua sio mpinga kristo? Wale wanaojiita wakiristo ndio wapinga kristo 😄🤣😂😆😄🤣😂😆😄🤣😂😆, nakuona unavyo jifariji na jina umejibandika !
@elizag.edmond7637
Жыл бұрын
Soma suratarujinu 13,ujifunze
@seifmohammed9167
Жыл бұрын
Wewe ulikuwa mchawi unaongea uongo unaupaka matope uislam lakini uislamu uko juu wewe mganga njaa
@amirimbago8325
Жыл бұрын
Davista hawa wazee uwapime akili kabla hujawaleta...kwanza kwa elimu yake ya miaka 22 kwenye uislam mpe Quran atusomee surah Al-Baqarah kuanzia mwanzo hadi mwisho. Huyu mzee hakuwa Muislam alikuwa mchawi kama wachawi wengine.
@juliuskalama2746
Жыл бұрын
Njoo kwa Yesu Allah hatakusaidia babu
@ibrahimaziz7158
Жыл бұрын
Naaam huyu mzee ni mchawi tu na asihusishe uislamu na uchawi wake mbwa uyu
@juliuskalama2746
Жыл бұрын
Mnamtukana kwasababu aneokoka nyinyi, chuki tu hamna lolote
@juliuskalama2746
Жыл бұрын
@@ibrahimaziz7158 Acha chuki kwasababu amebadilisha njia nakumfuata Yesu wewe
@athumanijumanne4685
Жыл бұрын
Huyu hakua muislam aalikua muilam jina nuuma ya pazia nimchawi
@Philipoupdates
Жыл бұрын
Wewe una jini makata okoka toka kwenye ushetani Yesu kristo ndo njia kweli na uzima okoka
@Sarahsaid2648
Жыл бұрын
Bado unayo nafasi ya kumpokea YESU KRISTO
@Philipoupdates
Жыл бұрын
@@Sarahsaid2648 ubarikiwe nimekuelewa Sana
@mahbibabdulkarim8632
Жыл бұрын
Mungu wangu huyu baba eti walikua na Allah hivi huyu anamchezea kwa kipi kwanza alichonacho mpk akutane na Allah alafu ww mtangazaji kwann unafanya viti kama hivi au unapanga ili uharibie vituu...kwanza huyo yesu mnasema mungu je alipokufa dunia inakua inasimamiwa na nani na je alivyokua hajazaliwa alikua anaendesha nani dunia acheni kusababisha watu waangalie vitu vya uongo mtakuja kujuta.. alafu huyu hakua muislamu mpk jina kataja la uongo hii story mmetumga kabisa Kwanza hilo jina la Allah tu alivyolitaja ni uongo mtupu kwamba anadanganya sio muislamu...ebu tupisheni sie Allah alijua watu kama hawa watatokea tu ndomana akaleta surahtul kafiruni ndo sasa itafanyia kazi
@omarkombo3474
7 ай бұрын
Dah jamaa muongo sana aisee aseme . aseme alikua mchawi sio muislamu , dini haihusiani na uchawi
@andrewmhagama9816
4 ай бұрын
Kubalini kujifunza na kukubari ukweli yeye sio mjinga ni mambo ambayo yamemkuta na ameyafanya.Akili zenu zimefungwa hameni hiyo sio dini kabla ujafa na kwenda jehanamu. Kuna dini hapa dunia shetani ndio anatenda kazi ili apate kwenda nao kuzimu ya moto.Shituka dini zimeletwa na watu hiyo sio kabila badilika .
@gaushehbshshehe3830
Жыл бұрын
Mtu makini nina swali huyu mchungaji akisema alipigwa wakiea na Allah wao anamaanisha nn ?
@juliuskalama2746
Жыл бұрын
Shetani nawe
@husseingabo5497
Жыл бұрын
Muongo mkubwa huyu kitu kingine amechodanganya eti alikuwa shehe mkuu wa afrika mashariki na kati hiv nyinyi niwauze Toka mnazaliwa mmeshawagi kusikia Kuna cheo Cha ushehe mkuu wa afrika mashariki na kati ? Kuhusu mambo ya dini Kila nchi inajitegemea kivyake utasikia tu mufti wa Kenya au muft wa Uganda au mft wa Tanzania we umeshawahi sikia Kuna mufti wa afrika mashariki na kati? Yaan anawadanganya had anawafanya machakubimbi ? hakuna cheo hicho aache kudanganya watu au kama Kuna yeyote ameshawahi kujisikia atwambie na kwanini anaongea uongo ? Na Kwa uongo wake anapata faida gani haswa?
@reyyathu8978
Жыл бұрын
Hahaha ukweli unauma
@mamananga2849
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣mchawi uyu
@florencerose859
Жыл бұрын
Mbona munatesa sana hivi???kaeni wapole mujue makosa yenyu
@husseingabo5497
Жыл бұрын
@@reyyathu8978 hoja yangu hamjajibu acheni kulukaluka niwauliza swali mlitakiwa mjibu lini na wapi mmeshawagi kusikiaga Kuna cheo Cha ushehe mkuu wa afrika mashariki na kati ?ili asionekane ni muongo mlitakiwa mje na Majibu ya swali langu na SI vinginevo nyie vip
@danielotenyo4017
Жыл бұрын
@@husseingabo5497 kama hujui ni wewe peke yako,kasema sio mtume ninyi mnamwita mtume hata vitabu vyenu hamsomi vizuri
@latifaonesmo7629
Жыл бұрын
Nilichojua mm maelekezo yake akuwa naimani thabiti ya mungu bali aliingia kwenye upande wapili wakuabudu uchawi nandiomana akajikuta anayatenda aya ila ujiandae tu baba usitegemee msamahaa wakilaisi kama unavizani umeumiza watu sasaivi unajisafisha kupitia njia ya kuchafua jina la mungu ila siku azigandi mungu atasemanawe
@theblackandrew4119
Жыл бұрын
Hii sasa imekuwa channel ya dini tena sio ya dini tu nitakukashifu dini za wengine. Hayo matendo unayosema sio kila muislamu anafanya embu tuheshimu dini za watu usifanye kana kwamba ubaya wako umetokana na dini yako
@heritier5119
Жыл бұрын
Kwani uislamu unaruhusu uchawi, naona wengi walikuwa wachawi waliojificha kwenye uislamu kama walivyojifichia kwenye Ukristo wasimuliaji wengine pia.
@kulthumbashiru864
Жыл бұрын
😄 🤣 😂 😆 ila wakristo mnashida sehemu mpe Quran atuletee aya hatuendagi kwa porojo zawalevi sisi
@fatumamwalimu5765
Жыл бұрын
Hao no kama mazombi ubebwa ufala nandio unaona EZRAEL mpaka kufikia sasa wakiristo ni 2% pekeyake, umeshindwa na uislam mara 9 uislam uko juu sana
@abbyadams8691
Жыл бұрын
Sawa mshika dini tumekusikia huyu nae kanunuliwa.
@thegreat.9869
Жыл бұрын
Kumbe ndio mnavyodanganywa misikitini wakristo ni 2% basi km asemavyo hussein wajinga ndio waliwao
@fatumamwalimu5765
Жыл бұрын
@@thegreat.9869 😄🤣😂😆😄🤣, wajinga ni wale wanaojiita wakiristo wanaolipishwa sadaka kila kukicha wakiambiwa watabarikiwa wakati mnawapa wenzenu wanunue magari, miskiti niya waislam kusali sio mahali kwakudanganya kama makanisani, wewe kweli mjinga, Google apo usibebwe ufala, ingia Google ulizia % ya wakiristo EZRAEL watakuletea
@fatumamwalimu5765
Жыл бұрын
@@thegreat.9869 sasa unajiita the great ya nini mwenyewe unakaa kubebwa ufala!!! Unashindwa kujua niwapi utaupata ukweli unalaumu misikitini!!!
@kasiniapotatoes9804
Жыл бұрын
Anatafuta umaarufu
@yakobomkristo872
Жыл бұрын
Wewe Ndiyo Umemjua Leo?!!
@kasiniapotatoes9804
Жыл бұрын
Rafudhi yako tu haifanani na ya kiislamu,,,,,tena wewe hukuwahi kuwa mwislamu ,,,,,ila ulitokea katika familia ya kichawi,,,,,, UISLAMU SI UCHAWI HAYO NI YA KWAKO WEWE.
@chidybwax8080
Жыл бұрын
Hakuna story yamafumzo hap
@Mimi-oe9nt
Жыл бұрын
Makubwa si madogo Sheikhe gani mshirikina, sasa wewe mwenyewe mshirikina inategemea msaada… suratul ihlas inasema… sema mimi ni mmoja, Allah ndie mwenye kukusudiwa kutegemewa, hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana mshirika…. Sasa uwe una elimu falaq or what so ever you are nothing but mtumikia shetwani uwe muislamu or any others religion
@mussakilo4916
Жыл бұрын
Wewe bhana muogope mungu ipo cku utakuwa kaburini pekeyako na utajuta kwa uongo wako
@danielotenyo4017
Жыл бұрын
Anacho kisema ni ukweli usiopingika,tatizo nikwamba wanaojua ukweli hawawambieni mnabaki kufuata tu bendera,mwislam asipo amini uchawi anakuwa anaipinga Quran moja kwa moja,Yesu ndiye njia pekee,ya kweli na uzima,tangia misingi ya ulimwengu kuwekwa aliitwa Mungu,lakini toka mwaka 500-600 eti allah,Njooni kwa Mungu aliye watoa watu wake kwenye utumwa misri,aliye mpa ibrahim uzao,aliye mtoa mwanye kwa ajili ya ulimwengu ili kila mmoja apate neema kuzungumza na Mungu binafsi
@yakobomkristo872
Жыл бұрын
Huyu Ndiyo Kiboko Cha Waislamu
@optimamarenda7082
Жыл бұрын
Hata vyoo vya wakristo walio koka vinahao majini.
@yakobomkristo872
Жыл бұрын
Thubutuuuuuuu....
@humoudseyd7310
Жыл бұрын
Huyu jamaa uongo ameupitiliza anatukanisha wakristo kuwa waongo wakristo wa ukweli hawawi wango kama huyu jamaa analeta hadisi kama anahadisia waroto wa chekechea
@abbyadams8691
Жыл бұрын
Takbiriiiiiiii? Huyu tumkate mapanga😄😄😄😄😄😄😄😄
@saidamour9272
Жыл бұрын
Made up story
@ibrahimrajabu1113
Жыл бұрын
Sema huyu mzee ni muongo sana
@service4507
Жыл бұрын
Hahahaha
@ibrahimaziz7158
Жыл бұрын
Hhhhhhhhhhhh walikua saba na mungu wao Jehovah wa nyonyi walikua nae
@abbyadams8691
Жыл бұрын
Huyu nae kanunuliwa. Takbirii!!!
@chriscao9828
Жыл бұрын
Waislamu na mtume wenu wa kuzimu wanaabudu Allah wao anayependa uwongo..
@mercykariithi7919
Жыл бұрын
This charlatan is still laying to people?
@reyyathu8978
Жыл бұрын
Well seems like your still tuned in listening to these lies...oh please
@mercykariithi7919
Жыл бұрын
@@reyyathu8978 I still do listen to most of the testimonies but I test the spirit behind the testimonies there are some which are educating it will now depend on how one is going to use the knowledge the get
@D-Man.B-Free
Жыл бұрын
Daaah,hivi mtangazaji anajua kuhoji? Hii ni movie or series?Tafuta tu ugali ,kuna siku utaulizwa uongo wako,ao we ni mchawi,
@abbyadams8691
Жыл бұрын
Na huyu nae kanunuliwa sio bure. Shuhuda zote za Waislamu wanaohamia kwenye Ukristo huwa wamenunuliwa. Hawa jamaa wanahela sana.😄😄😄😄😄
@yusuphkevini8266
Жыл бұрын
Sikuiz jamaa anatangaza dini kaishiwa content
@zainabually5773
Жыл бұрын
Wewe nii mklistu unata kuchafua mashehe wetu
@yakobomkristo872
Жыл бұрын
Huyu Ndiyo Kiboko Cha Waislamu
@patrickm1056
Жыл бұрын
sasa hivi mmeanza kuleta wwvuta bangi ..umepoteza credibility, stor za sasa ni za UONGO NA KUTUNGA. OVYO KABISA.. unajishushia uwezo wako, yani unaona mtu anadanganya kabisa..et osama, 😂😂😂😂
@Philipoupdates
Жыл бұрын
Acha chuki wewe yawezekana wewe ndo mchawi kabisa story za uhongo wapi okoka Mara moja uwe salama
@patrickm1056
Жыл бұрын
@@Philipoupdates acha kua MPUMBAVU WEWE..unajiita pastor na una mawazo ya kipumbavu , kwanza hakuna mapasta kwa sasa mmejaa uongo na unafiki tu, mmekaa hapa mnasikiliza uongo wa kutunga , shame on you, mnamchezea Mungu nyie pumbavu
@Philipoupdates
Жыл бұрын
Mungu akurehemu hujui unalolifanya Karibu kwa Yesu na wewe okoka hiyo ndo point kubwa Yesu akutane na wewe uokoke
@ZAMB334
Жыл бұрын
@@patrickm1056 wewe utakuwa mjukuu wa shetani mohammed kabisa
@patrickm1056
Жыл бұрын
@@ZAMB334 kama mimi.mjukuu, wewe utakua mchepuko wa shetani kumamako
Пікірлер: 179