Akiondoka sunak nitaludi uingereza maana alivyoingia tu baada ya Yule Mama nilitamani yule mama aludi kweli uongozi wa siasa unagusa kila aina ya mtu...atoke tu...
@mussaabobakar7537
2 күн бұрын
Huyu mbora aondoke muhid anatuumiza sana hapa njaa imekuwwa kali sana kila sehem wahidi wapo
@user-gb5vz6wm2q
3 күн бұрын
Ali Masubi noma sana unaeleza kwa ufanisi sana
@farujohn622
3 күн бұрын
kenya USA Germany UK Canada France vyama tawala vitapoteza katika chaguzi zao
@Kaambale-ve5el
3 күн бұрын
Wote waliompinga putin lazima waondoke madalakani
@mariyamgharib940
3 күн бұрын
Asirudi sunak kabisa hali imezidi kuwa ngumu tafran tupu. Apa Birmingham km tuko India sikufichi walivoingiya Wahindi nchi hii hawaapi Waafrika kuingiya humu ndani. Wanoko kweli terminal 4 heathrow km India walivojaa job zote wamechukuwa wao
@SimuliziNaSauti
3 күн бұрын
Sunak amewavuta Wahindi wenzie kama wote?
@salwasuleiman3525
3 күн бұрын
Kweli hali imekua mbaya ata mimi sipendi kumuona karudi yeye
@mariyamgharib940
3 күн бұрын
@@SimuliziNaSautitoka alivoingiya yy madarakani wamemenika ila mbaya na wanapitiya apo terminal 4 wahindi wanakuja as student or kufanya job izo za care home alimradi acha tu. Halafu pesa wamedhibiti sana kuwapa citizen hao conservative bora labour ije ifanye mabadiliko pesa watowe kiukweli zamani labour ukizaa mtoto unapewa £500 nyumba ukihamiya unapewa zaid ya £1000 kwenda mbele saiv hakuna kitu
@FatimaAli-of4gh
2 күн бұрын
@@mariyamgharib940 Mimi nimevote sikuchagua hasa chama chao miaka yote nachagua Lab huyu muhindi sasa hivi anataka tufanye kazi 48hrs kisha walemavu waende kazi hakuna anaempenda
@SaidHassan-ot3un
2 күн бұрын
Mumeyaona,tungelikuwa sisi ndio tungesema hivyo tungaliambiwa wabaguzi
@frankkitomary3878
2 күн бұрын
awa waingereza wana jifelisha wenyewe wao wako bize kusapoti ukeren kupigana wana msikiliza mmarekani
@ramadhaniseifuledi513
3 күн бұрын
Sns 🎉
@khadijaalimohd1320
3 күн бұрын
SAFI SANA SHENZI LAKIHINDI LIMETOKOMEYA.😅 TUSHAPUMUWA SASA🎉
@melchiadepaschal3097
2 күн бұрын
Tena lakitanzania, halitaki kusema nimtanzania
@serianjamal8254
3 күн бұрын
We vote for change , tumechoka na ubaguzi wa sunak, maisha yamekuwa magumu he needs to go 🚶♂️ 😄
@naslimtz1247
2 күн бұрын
Mamb
@naslimtz1247
2 күн бұрын
R
@Sidrasidra636
3 күн бұрын
Huo mhindi aondoke😏
@emanuelidamiani2943
3 күн бұрын
Uchaguzi wao ni kila baada ya miaka mingapi?
@hafidhyakoub8369
3 күн бұрын
Onengea haraka haraka km una kimbizwa
@zahorhemed1045
3 күн бұрын
Mmejifanya nyumbu kumshambulia putin sasa wote mtaondoka mmoja mmoja
@melchiadepaschal3097
2 күн бұрын
Kuna kitu kinaitwa cold War, soma utaelewa
@omarymwaluko9765
Күн бұрын
@@melchiadepaschal3097Putin mwamba kiboko ya mashoga hakuna cha nn wala nn
@itNeza
2 күн бұрын
Sunak ni Kenge aondoke tuu. 😎
@mtzhalisi2232
3 күн бұрын
Haya wabongo mlioko wingereza semeni basi nani arudi???
@FatimaAli-of4gh
2 күн бұрын
Hatuhitaji mtu tunataka chama huwezi ukamrudisha alieshakwisha pita tunachochagua ni chama na sera zao watatufanyia lini kuna mdada juzi aliomba kura akisema anasaport mambo ya jinsia moja huyu dada jina lake JABU ni black sijui wa west Africa mimi kura yangu sijampa kikubwa tunasoma kwanza aliyoyasema atayaleta Sunak anapeleka wakimbizi Rwanda wengi walichukizwa na hili kiko wapi sasa
@mtzhalisi2232
2 күн бұрын
@@FatimaAli-of4gh dah nimeona matokeo sunak pigwa chini mbaya kabisa
Пікірлер: 30