Hakuna aliebora kwa Allah s w ispokua anaemuabudu yeye tu kama unaamini like
@AliamryBakar
14 сағат бұрын
Kama unaamini sote ni wa Mungu mmoja gonga like
@carolmuchiri9921
14 сағат бұрын
Hakuna Siku Mzungu Atapenda Mtu Mweusi,Hata Akikupenda Huwa Na Kachuki Fulani,Ogopa Mzungu 😭😭😭😡
@Chettymlambalipsi-lb9km
14 сағат бұрын
Aki nimeumia roho 😢😢😢
@user-ly9lp2ed4m
14 сағат бұрын
Hainishtui kiasi cha kunifanya niwaze sana kuhusiana na hii ishu coz I know I’m the best in front of my creator and I believe that there’s a reason behind why I were created black, so I’m very proud to be the way I am and I’ll never ever regret to, Code ni moja tu akikubagua mbague.
@user-es7jn7cp5d
14 сағат бұрын
Mimi siwenzi kushangaa kwa ngonzi nyeupe kuhusu ubanguzi Kama sisi kwa sisi tunabaguana wafrica kwa nn isewe kwa nzungu Africa tuungane
@moseskulola6913
14 сағат бұрын
Hakuna chakushagaa hapo wazungu wote hawatupendi sisi weusi
@HamadKhamis-l9e
14 сағат бұрын
Ifike wakat cc watu weusi tujitambue km tunabaguliwa tusilazimishe kujichanganya nao Ni bora zaid tuish maisha yetu mana haitokuja tokezea ubaguzi WA watu weusi kuondoka duniani kwasababu hata watoto wao huwasomesha namna ya kutubagua
@fahadhassan1714
14 сағат бұрын
Ndo ache shobo za wazungu yy ashajiona kima anakwenda vipi kwa nguruwe mweupe ndo akome
@andrewokbazil1018
14 сағат бұрын
Ubaguzi Marekani haujaanza leo,una historia yake.
@jumashedafa
14 сағат бұрын
Haya Ruto umeona kaz hiy adi unapendwa ujue wana shida zao..Na huy mbibi wa kizungu kama ndio alimuanzishia kiran yan alianz kumbagua kitambo...mie ushaur kama upo huko we tafuta pesa urud mambo yao waachie ila nk vyema kaongeza kura kwa trump hasa kwa watu weusi walioumizwa na hilo...trump naye keshapata hoja ya kumkaanga na kufanyia kampeni
@HappyatHome-bn8wm
14 сағат бұрын
mbaguz huyu jamaaa. ameisha
@user-el6mm4lh4m
14 сағат бұрын
Uyoo..so Raisi ni mubaguzi wa Rangi.....🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ hafai kuwa mtawala
@rajah9328
14 сағат бұрын
Tunashabikia sana wazungu tena ao ao ndio wanasema Human Rights ila ubaguzi kwaio umezidi
@user-jd6vr9xw1o
14 сағат бұрын
Kweli kabisa ,amebagua huyu mdada mweusi ,amekosea sana
@wallaceexpert4081
14 сағат бұрын
Dah kuna aibu nyingine zinaumiza tena asa kwa mtu unaemuamini.
@Brunotarimo10
14 сағат бұрын
Kutoka Gikombaa Nairobi leo sijakusikia kaka ulivyotokea nimefurahi sana big up family ya sns
@GiftAbduly
12 сағат бұрын
Hakuna watu wabaguzi kma hawa ngozi nyeupe sijui wanajiona kina nani hapa dunian aiseee hata mimi nishakosa kaz dubai sababu tu ni rangi n mweusi🙌🏾🙌🏾
@AbumishAbu-cz9su
9 сағат бұрын
Sisi watu weusi Mungu alivyo tuumba ndio tunao jali utu wa watu wote dada your still strong don't be so sad
@user-cw8zn2dn6m
12 сағат бұрын
Jmn mrembo mzuri mwamfrica yaani anapendeza kazidi hawa weupe kama vile wana ugonjwa wa ukoma. Dada mweusi mzuriii sana, angalia tu macho yake tu jmn mtoto huyu dahhh!! Wazungu jmn Mbinguni hawataingia!! Sisi sote ni wa Mungu mmoja. Amen.
Пікірлер: 683