Sasa kwa mtizamo huwo kosa la mondi nilipi kwani mondi ndo alipanga utaratibu za show nyie wote mlialikwa , pili umesema unahisi, neno nahisi linamaanisha ,hauna ushahidi
@doctorpillo
2 ай бұрын
Yaaani Kila mtu akitaka jambo lake liende lazima amtaje diamond
@thelightindarknessapp.8209
2 ай бұрын
Kweli
@sadamissa5687
2 ай бұрын
Mtaje na ww tuone kama utaenda mbali😂😂
@user-rt6ki6cc6l
2 ай бұрын
Fuatilien Chanzo mpaka kufikia hapo achen kukurupuka Bambo anajielewa
@mohammadoman8963
2 ай бұрын
Huyu mnafiki tu
@HenryNuhu
2 ай бұрын
Yaan wasanii wetu bila mondi kwenda nishida sana sana yaaan mond mond kila sku
@omaar5693
2 ай бұрын
mboso haangalii nyuma,, najikuti nacheka tu😅😅
@MajutoElliasi
2 ай бұрын
Mboso ni fata upepo hata kwa harmo ametengeneza chuki ata haihereweki
@user-cv4yx4uf8u
2 ай бұрын
Unazeeka vibaya bambo unabaniwa nn wakati huna mpya
@eveliynejoseph7944
2 ай бұрын
Ila wewe jaman 😂😂😂😂
@magidalenarauya4286
2 ай бұрын
Jamani wewe mchekeshaji,diamond na wewe wapi na wapi?Acha kiki,hamtoki mpaka diamond mwacheni mtoto wa Sandra,wanga wakubwa na hamumwezi
@victaboy7273
2 ай бұрын
Mimi nimemuelewa Jamaa, yaani anamanisha, mfano choo cha kuchangia harafu mtu anaingia ndani, anaanza kuchezea simu , wakati watu wapo nje wamebanwa na haja . Siyo sawa
@benedictormulagha9022
2 ай бұрын
kkkkk
@DENNISMUTUA-nf7qt
2 ай бұрын
Kama huyo mondi wenu ni mshezi,atabaki kuwa mshezi tu,,kitambo alikuwa mzuri bt anaendelea kujiaribia sifa zake
@user-zq2be4xr1o
2 ай бұрын
Muache kutumiya jina la mondi kwakutaka kupandisha vipaji vyenu anapambana kama mwanaume na nyie pambaneni kivyenu
@user-cr6xk7cy1v
2 ай бұрын
Mzee bambo umekua chawa wa makonde
@aidanmaganga7051
2 ай бұрын
Mtangazi mwenyewe choko,hajui kuhoji maswali
@methordbuzinza9378
2 ай бұрын
Wewe babo umeshachoka turia murikuwagawapi zamani tusapotisana hakunana murichokifanya
@user-sw7tf1ob1b
2 ай бұрын
Baba badilisha kazi wabongo hatuna furaha utamuchekesha nani tuna hasila bro hata Baar zenye mziki siku hizi hatuingi mawazo maisha ni magimu sana alafu nyinyi munach
@ladislausmoris9638
2 ай бұрын
Bambo kama unatafta kiki hapo sawa ila kwa kudai wenae msanii mmmmmh kweli
@user-eu5uy8vm6i
2 ай бұрын
Siku diamond atakapoanza kufuatilia hizi lawama watafungwa wengi sana .huyo kiongozi aliyewalipa kina bambo mbona hasemi jambo ?
@khamismgunya4519
2 ай бұрын
Kwani bambo umenuna au umefrahia maana sikuelewiiii😀😀😀😀😀
@MwemajaphetyZackalia
2 ай бұрын
Jamani Alrmasi NAE mtu na kama walitakiwa kupanda bambo awakupewa nafasi kwanini Kuna kitu apo
@aminaomary5567
2 ай бұрын
Nakujibu zigge. Mimi siko kwenye list. Mimi niko mashambani tu huku LInd vijijini. Nampenda tu Nassibu mwanangu namwelimisha tu.
@frankmwinuka6298
2 ай бұрын
Wasanii wa kizazi cha leo ni wavuta bangi hawaoni matunda ya malegend
@ladislausmoris9638
2 ай бұрын
Bambooo kwa hili huna jipyaaaa jipange upya na huna la MSINGI ktk unacho semaaaaa
@Hsmufalme-vv3rn
2 ай бұрын
kiekiekiekiekie hatumujuwi congo huyo anatafuta treding na jina la platnumz
@Ommyblacktz13
2 ай бұрын
Kawaida kwenye shoo kila kitu kipo kwa mc anaratibu muda wa pafomance na muda na ww unamuliako acha umanga bambo kutembea magomen to fire imekuchanganya😂😂😂😂😂😂😂🎉
@emmanuelmayunga1518
2 ай бұрын
Huyu mzee nae njaa inamsumbua mda mrefu sana huwa anamtukana kiba na kumsifia Mwambino kama mme wake,,sasa leo unajitilisha huruma ya nini...achana na vijana kaa kwako utulie ulee watoto 😅
@SelinaMdoe-jv1pu
2 ай бұрын
Kwani aliekuwa ana panga wasanii kuim ba ni diamond hebu muulize swali bamb o aliekuwa anapang a wasanii kupanda jukwaani ni Nani ma nake msipende kum laumu mtu bila kosa
@priscusnyoni8933
2 ай бұрын
We bambo umetumwa kumuharibia mond,a
@user-gn8zs4qx2y
2 ай бұрын
Ukweli lakini msamehe
@tausikiyabo6302
2 ай бұрын
Mtangazaji unarudi rudia maswali mtu anahasira Halafu unamwambia anapenda wimbo gani wa adui yake ni aibu
@barrynzeyimana6270
2 ай бұрын
Diamond Ina maana alikua MC
@user-zq2be4xr1o
2 ай бұрын
Mondi mumuache mondi ni brand kubwa , lazima awe makini ,sio kila mwenye kutaka jina apatiye kwamondi , wewe pesa ulipata ugali wako uliula Sasa nini tena, unaroho mbaya na wivu Kama unataka sapoti kwa mondi wewe sema
@philimonmwakio647
2 ай бұрын
Kaka bambo nichuma cha zamani sana
@mushtaqakram9843
2 ай бұрын
Katoka kwa konde kunywa bia sasa anamchafua simba wasanii wa bongo hamna kitu kichwani
@BonaBonala-bp5qm
2 ай бұрын
Bambo Tuuungane wasanii tumuombee kifo huyo ni jini mtuuu kuwapoteza wengi kina rich mavoko nk wengi mimi ata radio yake sisikilizagi kama kumkataa baba yake mzazi mzee Abduli Utakua Wewe Bambo??? sasa ivi anajiita ukooo WA muuza mchele huku kwetu tandale sokoni
@rashowshine7849
2 ай бұрын
Kalee wajukuu mzee acha kuzunga Media kuntukana momdi
@user-yq4sn6cq1l
2 ай бұрын
SIMBAAAA ni brandi kubwa daraja
@MusabmusakotiKoti
2 ай бұрын
Yani apa duuh Amna ata ukweli ila mjue mnavojitaftia chakula ivo hamjuy tu Yani mnazidid kumuongezea rizki tu Yan mtasubiri sana duuh mtakufa wajukuu zenu ndo watashuudia akianguka simba
@dorothmsuya1686
2 ай бұрын
Mondi apendwe na.watu wote kwani yeye pesa! Mwacheni mtoto wa watu apite na maisha yake! Mondi brand kubwa sasa na huyu mzee mwenzangu hajamaliza tu!!
@Boyluke-luke
2 ай бұрын
❤❤❤❤❤ yes good
@nashnene6326
2 ай бұрын
Diamond ni tunu ya taifa! Kwanza anauma sana, na kila alie potea ktk game anatumia jina lake kutaka kurudi mjini 😅 sasa diamond show ya mwenge ni yake? Enzi zenyu zishapita hamkutumia umaarufu wenyu ipasavyo acheni wivu nendeni ITV
@annasolomon9855
2 ай бұрын
Nani alikuambia bamboo anachukaga 😂😂 neno Moja tu la kuchekesha tayari yupo mjini😂😂 .. hapo Enyewe anaongea ni vichekesh 😂😂
@user-dy8yc5ml1p
2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣Sasa hapo diamond anahusika nanini?.
@user-vh4rz4qp8z
2 ай бұрын
Mbona nyinyi wambongo munafituko sana why kila mtu simba fanyeni kazi asheni simba in peace
@user-fp4ir4ej9v
2 ай бұрын
Hata alichokiongea hakieleweki bamboo Acha uchiz
@JofuAmuko
2 ай бұрын
POLE SANA,, BAMBO,, NIMEKUELEWA VIZURI SANA, WEWE NI COMEDIAN,,, MZURI SANA SANA, NA WALA UJAZEEEKA KIIIVYO, NIMEANGALIA, MAIGIZO YAKO YOOOTE KABISA, TOKA ENZI HIZO HUJAWAHI KUCHUJA, BADO UKO VIZURI MNOOO, WEWE NA MTANGA, WASAMEENI BURE TU, KWA WALICHO WAFANYIA, MIMI NAWA KUBALI SANA.
@kilogreekachananawatuwasio4054
2 ай бұрын
RAKINI MACHO YANGU WEWE NA DAIMOND MSIKITI NA KANISA MUPO MBALI MBALI SANA WASANII WETU MJIPANGE SIO CHUKI NA ROO MBAYA 😂😂😂
@omaar5693
2 ай бұрын
5:37 eh banaee mstari uu
@JumanneMungula
2 ай бұрын
Mtu mjinga na mpuuzi ndio atasikiliza huu ujinga shughuli ya serikali WCB ni nani kupanga nani atumbuize huyu ni chuki na mfitinishaji.
@aidanmaganga7051
2 ай бұрын
Daaaah!kweli diamond ni mti wenye matunda cz kwa hapo sioni kosa la diamond
@WISDOMMUSANYA-kt1ry
2 ай бұрын
aukuwepokwenye ratiba
@DelightfulMacawBird-tl5hf
2 ай бұрын
Pole bambo
@user-xx1je7sy4h
2 ай бұрын
Sasa bambo naye apande stejini kupaform nyimbo zipi sasa?mzee bambo unazingua
@Lilmbunah
2 ай бұрын
Jamaa haja nyooka mm mwenyewe si muelewi yani ana baniwaje mtu kama hakua kwenye ratiba
@isayajoram2434
Ай бұрын
Zee zima akili chenga
@user-ml1yx5jk8z
2 ай бұрын
Kwann usimfuate mwenyewe unaongea mitandaoni na una levo gn ya kupanda stage na diamond halafu bambo we mshamba Sana au tuseme ni mjinga uliezeeka
@abdallahmindika1641
2 ай бұрын
hahahaha
@user-vm4zq7kf4e
2 ай бұрын
Nimekupenda bambo umenyooka sana
@emmanuelmpuya8164
2 ай бұрын
Huyu jamaa n muongo coz ile sherehe ya kupokea mwenge ilikuwa ya kiserikali..na diamond na team yake ya wasafi walikuwa waalikwa na ile show ilikuwa na ratiba zake sasa huenda hamkuwa kweny ratiba ya show za mwenge...mzee acha kuzeeka kwa ktafuta kiki ...si ungemwambia aweso na si diamond .
@MJ-rr6dy
2 ай бұрын
huyu mbwa tu mchekeshaji atakuwa yeye? tafuta pesa mzee kwanza hata huchekeshi, acha njaa njaa zako kajambe mbele huko
@piuskusenge-jf2ob
2 ай бұрын
Bambo kwani ulikuwa kwenye ratiba, ya performance, au ni chuki tuu.
@davidpaschal778
2 ай бұрын
😅😅 kwaiy ela alilipwa y nn au alienda kufanya Nini japo anachekesha😂😂
@user-sf3ys8rm5s
2 ай бұрын
Nyie wapumbavu sn kutafuta riski zio lazima kuwa kijana wala mzee ndio nyie munawatoa wazazi wenu mafala wa kibongo
@user-nw3ie8yq1x
2 ай бұрын
bambo acha zako una lolote wana kijiji wametaka mpafomu inaonekana hamkua mumepangiwa sasa la wama zanini kwa daymond wala hakujua kama ukopale
@Boyluke-luke
2 ай бұрын
Ni kweliii
@magrethmagonza186
2 ай бұрын
Usipoteze muda na Diamond hana mji wa kujibu na bado utaongea mpaka utajiona mpuuzi inapoteza nguvu zako. Maana unaongea media zote. Take your time..Time is money
@magidalenarauya4286
2 ай бұрын
Kumbe Huna akili yeye alikua mc au muandaaji? Umekwisha nenda songea ukalime au endelea kunywa visungura
@SelinaMdoe-jv1pu
2 ай бұрын
Diamond hana mak osa msipende kuml aumu mtu bila kosa utaratibu pengine s io wa diamond mum laumu aliepanga sio diamond
@JamesThomas-fx5tp
2 ай бұрын
Bambo usha potea jitafute saiz mond anakubalika😅😅😅
@aminaomary5567
2 ай бұрын
Nassibu usiwe na tabia ya kuwazibia wenzio ridhiki sio jambo jema.Wewe ni tajiri sana sio wa kugombana na wenzako. Mimi nakupenda sana Nassibu. Ukipata show za kwa pamoja waachie wa chini yako.
@ziggertv3185
2 ай бұрын
Kwani ulikua kweny list
@mushtaqakram9843
2 ай бұрын
Mbona aeleweki kwani iyo show ilikuwa ya simba mpaka awazuie wao wasipande
@steverwillecha8559
2 ай бұрын
Simba yeye anakuwa kimbele mbele kila sehem kama mtu mkubwa anaeweza kuamua chochote ndo alichokifanya kwa kina bambo
bambo mhuni anatafta Hela tuu hahahah uongeaj wake tu niuhun anausanii gan mkubwa wakati joti peke yake tu amuwezi hahahahah
@user-rk9ut4nz3z
2 ай бұрын
Mpuuzi uyoo anaongea pumba
@salehekaswahili3236
2 ай бұрын
Sa we upaform unapaform nn vitu vingine bwana
@abdallahmindika1641
2 ай бұрын
salehe umetisha hahahahahahha
@kasandaRichard
2 ай бұрын
Nahona majabu yeye diamond amelipwa naww umelipwa Sasa awezi kumzuhiya msani wowote
@zainabmuhammed6294
2 ай бұрын
No .sorry kwa storry ndogo niliyyo sikia bc my bro ulitakiwa uwa kuze pleas say sorr for that my bro
@chandechande9642
2 ай бұрын
Iliii msanii afanikiwe nilazima amchane diamond? Huu ni ushamba tena ushamba mkubwa
@user-cr6xk7cy1v
2 ай бұрын
Sasa wewe ulilipwaje alafu uzuiliwe kuingia mimi nazani umetumwa na hamo
@jacksonmsendo3478
2 ай бұрын
Bambo mkongwe sana kwenye fani
@saidmikongomi3457
Ай бұрын
Pambo acha ushamba wewe tokea umeanza sanaa umemsaidia nani?kama umeshindwa kutoka Enzi zako basi,usitembelee nyota ya nasibu tafadhali.
@robertj.4484
2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nyumanyuma kama wachezaji ngonjera....🤣🤣🤣🤣🤣😅
@chandechande9642
2 ай бұрын
mond hanakosa kwa hapi
@kindulijumanne7632
2 ай бұрын
Mwacheni aseme ya Moyon kwenye Music kuna kubaniana Sana
@chandechande9642
2 ай бұрын
Hapo umemuone mzeee pia huo siouungwana bambo
@robisonikadogo7371
2 ай бұрын
Uchawi
@shamamamalisa6513
2 ай бұрын
Bambo mbona hujanyooka maelezo yako halafu mtu mzimaa
@VisentiPatrik
Ай бұрын
Changamoto tunazo mpaka mitaan ko wewe jitafutie namna
@boniphacejames3356
2 ай бұрын
Aliogopa kufichwa Mbwa yule pole sana Bambo
@ronaldngwavi8993
2 ай бұрын
😂😂😂 eti aliogopa kufichwa
@hirizonetz9558
2 ай бұрын
Hivi huwa mnataka diamond awanyenyekee? Hata mkimchukia haimpunguzii kitu huyu bambo kalipwa na harmonize juzi tu alikuwa na harmonize nyumban kwake et leo anaongea utumbo na maelezo yake hayaeleweki kwan diamond ndo alikuwa promoter
@user-uo8xw9kr4b
2 ай бұрын
Sasa una mlaum mtu sio mwenye sherehe na wala hujaongea nae na wala yy hakuelewa lengo laww kuepo hapo je km ulienda tu km wengne yy atajuje .
@officialAlAbdul
2 ай бұрын
Atulize pumbu
@feelNice-vi3lo
2 ай бұрын
Dogo acha uchawi ww unasema ndele sio ndole aliekulipa kamlipa na mwana huo ndio uchawi boya ww nikuwa shabiki wako sikupendi tena bambo mm ndio alienipa afya hadi leo tembea ww boya
@priscusnyoni8933
2 ай бұрын
Huyu wakunyumba mwenzangu lakini bwege sana aache urevi,mond ni mkubwa
@MamaBaraka-gw9sw
2 ай бұрын
Duuu Atari laxana mwamba ndoyuko ivyoo😂😂😂
@user-fy3um6vu2i
2 ай бұрын
13:41
@herinzigo669
2 ай бұрын
Acha shobo. Mwache mondi
@Juma-de9uh
2 ай бұрын
uyo choko mbona diamond akuwepo alikua dubai
@RehemaHaruna-di6sk
2 ай бұрын
Kiki hzooooo
@jamilajamila4572
2 ай бұрын
Kama mbwa koko😂😂
@alisuleiman303
2 ай бұрын
Hamna tunu wala nini ana roho mbaya
@ramadhankombe2643
2 ай бұрын
Sasa ww bambo nae kuanzia lini unaimba?au unatafuta tu kiki.km ungealikwa c ungepandishwa na wenye shuhuli?
Пікірлер: 150